Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani

Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani

Anakuja EBM kuwastua fursa za nje hata mjue greencard lottery ni nini mkapambane mchukue dola za USA na kurudisha nyumbani bado mnamkamata kama mwizi mnajidai mara ni jasusi, mnashindwa kuelewa volume ya diaspora huchangia sana mambo kama hayo, mmelala usingizi wa pono leo mnaona makongamano makubwa kigali mnatoa macho wakati wenzenu wana urai pacha na wako wengi huko duniani
Nchi yetu tajiri ina kila mali, kuacha utajiri nyumbani na kwenda kutumwa ni ujinga Tanzania kuna fursa nyingi ambazo Nigeria, Rwanda hawa ndiyo maana Raia wao wanakimbia nchi zao, Tanzania nchi nzuri sana wageni wakikanyaga hawataki kurudi makwao, Wazungu wanaiita Zanzibar ni paradise.
 
Tuna Hashim Thabit jamani 🥹🥹

Unayosema ni kweli uraia pacha una faida kubwa sana sijui kwanin wanabana natumain kwenye katiba mpya wataweka
Tu washamba sana na waoga.

Fikiria hata project nyingi tu za movie za Hollwood huwa wanatamani kuja kufanyia hapa ila unakuta vikwazo kibao. wanaamua kuacha na kuchagua sehemu nyingine.
 
point mkuu huwezi kushindana na walio wengi,
 mkiwa wengi mnaweza pia kuwashawishi wanaowazunguka,ndo maana huwezi shangaa foreigners wanatoa support kiasi kwa wanigeria,
lugha pia kikwazo ila ukweli wabongo wengi ni very talented,

huwezi kukuta wachekeshaji wa kibongo kwenye majukwaa makubwa ya stand up comedy huwezi kukuta mbongo amejaza 02 arena UK,
sababu ni mbili> lugha na uchache wetu ughaibuni„
japo pia tumejitahidi kiasi chake maana kuna nchi zina vyote hivyo lakini wapo nyuma yetu sababu ya lack of talent

sisi tuna vipaji ila tumekosa vichache
 
Back
Top Bottom