Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani

Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani

Wanatumia Pidgin English ni tofauti na English ya kawaida. Pidgnin english ina mchanganyiko wa maneno mengi ya kilugha. Mimi binafsi huwa siwaelewi wanapoongea na nyimbo zao na native english speakers wengi hawaelewi nini wanachoongea.

Kwa kweli english yao mbayaa [emoji23]
 
Wanatumia Pidgin English ni tofauti na English ya kawaida. Pidgnin english ina mchanganyiko wa maneno mengi ya kilugha. Mimi binafsi huwa siwaelewi wanapoongea na nyimbo zao na native english speakers wengi hawaelewi nini wanachoongea.

Huwa naangalia lylsck
 
Wanatumia Pidgin English ni tofauti na English ya kawaida. Pidgnin english ina mchanganyiko wa maneno mengi ya kilugha. Mimi binafsi huwa siwaelewi wanapoongea na nyimbo zao na native english speakers wengi hawaelewi nini wanachoongea.
Ni kweli,
Ila tunaishi nao, kwenye play list yangu nimejaza nyimbo za Burna na Wizkid ila sina ninachoambulia pia wananisave zaidi nikiwa nafua napata vibe la kumaliza nguo haraka [emoji1787]
 
Huwa naangalia lylsck
"Last Last"

E don cast, last last
Na everybody go chop breakfast
Shayo!
Yeah
Shayo!
Igbo!

You go bow for the result o
Nothing to discuss o
'Cause I dey win by default and without any doubt o
Omo me I be adult o
I no go fit take your
(I no go fit take your insult o)
Omo mind as you dey talk o
I put my life into my job
And I know I'm in trouble
She manipulate my love o hmm
I no holy and I no denge pose
Like baba frio, my eye o
Don cry o

I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
Shayo (Shayo), shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
Shayo (Shayo), shayo(Shayo, shayo)

I dey port-harcourt when dem kill soboma
I dey try to buy motor one toyota corolla
My feelings been dey swing like jangolover
Feelings been dey swing like jangolover
Now you crash your ferrari for lekki burna
Na small thing remain could have been all over
My feelings still dey swing like jangolover
Feelings still dey swing like

Ti n ba ni ke juru e juru
Omo why to'o ki nfe ni suru
Why you say I did nothing for you?
When I for do anything you want me to do
Ti n ba ni ke juru e juru
Omo why to'o ki nfe ni suru
Why you say I did nothing for you?
When I for do anything you want me to do

Maybe another time
Maybe another life you'll be my wife and we'll get it right
E don cast
Last last
Na everybody go chop breakfast
Have to say bye, bye o
Bye, bye o
To the love of my life
My eye o, don cry o

I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
Shayo (Shayo), shayo (Shayo, shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo

Umeambulia nini hapo?
 
Kwa Africa ndio nchi inayoongoza kubet Hawa jamaa wapo mbele kwa kila kitu
Tusisahau pia Nigeria ndio nchi yenye watu wengi zaidi barani afrika ikiwa na population ya watu zaidi ya milioni 220 ambayo ni karibu mara nne ya idadi ya Watanzania. Kwahiyo sio ajabu kwamba wapo kila mahali.
 
"Last Last"

E don cast, last last
Na everybody go chop breakfast
Shayo!
Yeah
Shayo!
Igbo!

You go bow for the result o
Nothing to discuss o
'Cause I dey win by default and without any doubt o
Omo me I be adult o
I no go fit take your
(I no go fit take your insult o)
Omo mind as you dey talk o
I put my life into my job
And I know I'm in trouble
She manipulate my love o hmm
I no holy and I no denge pose
Like baba frio, my eye o
Don cry o

I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
Shayo (Shayo), shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
Shayo (Shayo), shayo(Shayo, shayo)

I dey port-harcourt when dem kill soboma
I dey try to buy motor one toyota corolla
My feelings been dey swing like jangolover
Feelings been dey swing like jangolover
Now you crash your ferrari for lekki burna
Na small thing remain could have been all over
My feelings still dey swing like jangolover
Feelings still dey swing like

Ti n ba ni ke juru e juru
Omo why to'o ki nfe ni suru
Why you say I did nothing for you?
When I for do anything you want me to do
Ti n ba ni ke juru e juru
Omo why to'o ki nfe ni suru
Why you say I did nothing for you?
When I for do anything you want me to do

Maybe another time
Maybe another life you'll be my wife and we'll get it right
E don cast
Last last
Na everybody go chop breakfast
Have to say bye, bye o
Bye, bye o
To the love of my life
My eye o, don cry o

I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
Shayo (Shayo), shayo (Shayo, shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo)
I need igbo and shayo (Shayo

Umeambulia nini hapo?
70% unaelewa kinaimbwa nini
 
Wanatumia Pidgin English ni tofauti na English ya kawaida. Pidgnin english ina mchanganyiko wa maneno mengi ya kilugha. Mimi binafsi huwa siwaelewi wanapoongea na nyimbo zao na native english speakers wengi hawaelewi nini wanachoongea.
Hawa jamaa kwenye lugha ni ujanja ujanja tu english gani ile.

Hata sisi tunaweza kiswenglish afu safi tu, sema ndo kama jamaa alivosema kua. Wana mtandao mkubwa wa wakubwa.
 
Kwa Hizi Nyimbo zao Za "Chitaki" labda wakatumbuize majukwaa ya Promosheni za Airtel huko Mbulu
Kwenye hizo hizo nyimbo unazoponda Zimemfanya diamond aitwe big brother kuperform, kuperform tuzo za mwanasoka wa Africa ile aliyochukua Mane, kuperform karibia nchi zote ukanda wa west Africa, kuwa dominated kwenye Tuzo ya BET pia kuperform kwenye platform ya Grammer wewe ujaelewa somo la mtoa mada Diamond mafanikio mengi aliyopata ni kwasababu ya juhudi binafsi ndio anachozungumzia kilichokosekana ni network ya nchi yake abroad ukilinganisha na nguvu waliyonayo Nigeria abroad sijui unachoponda ni nini
 
Tusisahau pia Nigeria ndio nchi yenye watu wengi zaidi barani afrika ikiwa na population ya watu zaidi ya milioni 220 ambayo ni karibu mara nne ya idadi ya Watanzania. Kwahiyo sio ajabu kwamba wapo kila mahali.
Na wameanzisha porn industry yao inaitwa the habib na the castraw
 
Wanasema ukienda nchi yoyote ile duniani, usipomkuta mnigeria basi kimbia hiyo nchi haraka sana ujue hamna fursa huko, ni kama kwa bongo wanavosema ukienda wilaya yoyote usipomkuta mchaga ondoka haraka sana ujue hakuna ishu hapo
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Labda kwenye sekta zingine lakini kwa wasanii hatuna, shoo zao utasikia sema

Labda kwenye sekta zingine lakini kwa wasanii hatuna, shoo zao utasikia sema yeeah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,Mkuu nimecheka kwa sauti kunajirani hapa anaanika nguo kauliza nini shida
 
Kuna miji mikubwa tu Burna Boy anajaza ukumbi mzima ni wazungu hakuna wa nigeria wala SA kama wapo ni wachache sana na anauza tiketi zote kabla ya tamasha.

Dhana ya kwamba wasanii wa nigeria wanafanakiwa kwenye shoo za kimataifa eti kwasababu wananigeria ni wengi huko nje ni dhana potofu na ni kichaka tu cha kukwepa uhalisia kuwa wasanii wa Tz wanaotamba nyumbani hawana identity zao kimataifa kwasababu hawako Original wanacopy kwa hao wanigeria na SA na ndiyo maana wanigeria na SA wanaongoza kuiwakilisha Africa kimataifa.

Mfano: kati ya Asake OG na Asake feki ni yupi kati ya wawili hawa atakayesikilizwa na kuaminika kimataifa zaidi ya mwenzake??
 
Back
Top Bottom