Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Naandika huu uzi baada ya kumsoma kamikaze kwenye uzi wake: Mafanikio ya mwanamuziki Burna Boy, Nini tunajifunza!
If anything wasanii wabongo inabidi walalamikie ufinyu wa watanzania wengine nje ya nchi hususani in the boardrooms.
Nigerians wapo wengi ndani na nje ya nchi yao. Unaposikia msanii wa naija kajaza ukumbi nje unakuta zaidi ya watu humo ndani ni Nigerians wenyewe. Unategemea Dayamondi ajaze ukumbi vp nje? Nyie wabongo mpo wangapi? Nani wakulalamika hapo dayamondi au nyie?
Nigeria ina timu ya basketball ambayo players wake wote wamezaliwa na wanacheza USA. Unashangaa vp msanii wa Nigeria kutumbuiza all-star game? Nyie bongo mna players wangapi NBA? Nani atawashika mkono huko NBA? Hapo wakulalamikiwa ni dayamondi au nyie wabongo wengine?
Nigeria ina hadi timu ya Bobsleigh sport, probably hujawahi usikia. Ni mchezo wa kwenye ice ila Nigeria hamna ice kabisa kama bongo tu, unadhani wanajuaje kuucheza? Players wake wote wamezaliwa na wanaishi USA. Utashangaa vp msanii wa Nigeria kuitwa kwenye function ya bobsleigh?
Bado NFL. Watu wenye asili ya Nigeria ni wengi kuliko kawaida kwenye huu mchezo. In a yr or two kuna msanii wa NG atatumbuiza kwenye superbowl believe me you. Nyie mna wachezaji wangapi NFL?
Kanu, Okocha, Ihenacho, Obi Mikel, Victor Moses na sasa Osimhen wa Napoli wote ni Nigerians, nyie wachezaji wenu wangapi wamefika UCL? Timu yenu ya taifa lini imeenda World cup? Bado unashangaa wasanii wa Nigeria kuitwa kwenye stage ya UEFA?
Viongozi wa Nigeria wamewahi na bado wanashika nyadhifa mbalimbali duniani more than any other country in Africa. Wapo kwenye boardrooms za maamuzi, nyie mpo wapi? President wa Toronto Raptors Masai Ujiri ni mnigeira, Ime Udoka aliyekuwa kocha wa Boston Celtics ni mnigeria. Unadhani wakiambiwa walete mtumbuizaji watamleta Marioo au msanii wao?
Kama you're reading btn the lines utagundua uraia-pacha plays a big part as well. Wanigeria kibao wamezaliwa na kukulia nje including Burna boy mwenyewe aliyekulia UK, Davido kazaliwa US ila wanapeperusha bendera ya NG. Nyie mna uraia pacha?
If anything wasanii wetu wamefanya kazi yao, hawana deni kabisa. Dayamondi, Samatta na wasanii wengine walipofika ni juhudi zao binafsi and they can only do so much. Wanaenda kwa speed ambayo wabongo wengine hawana, we're letting them down. Samaki ndani ya aquarium hawezi kuwa mkubwa zaidi ya aquarium yenyewe.
Nipo around mazee.
If anything wasanii wabongo inabidi walalamikie ufinyu wa watanzania wengine nje ya nchi hususani in the boardrooms.
Nigerians wapo wengi ndani na nje ya nchi yao. Unaposikia msanii wa naija kajaza ukumbi nje unakuta zaidi ya watu humo ndani ni Nigerians wenyewe. Unategemea Dayamondi ajaze ukumbi vp nje? Nyie wabongo mpo wangapi? Nani wakulalamika hapo dayamondi au nyie?
Nigeria ina timu ya basketball ambayo players wake wote wamezaliwa na wanacheza USA. Unashangaa vp msanii wa Nigeria kutumbuiza all-star game? Nyie bongo mna players wangapi NBA? Nani atawashika mkono huko NBA? Hapo wakulalamikiwa ni dayamondi au nyie wabongo wengine?
Nigeria ina hadi timu ya Bobsleigh sport, probably hujawahi usikia. Ni mchezo wa kwenye ice ila Nigeria hamna ice kabisa kama bongo tu, unadhani wanajuaje kuucheza? Players wake wote wamezaliwa na wanaishi USA. Utashangaa vp msanii wa Nigeria kuitwa kwenye function ya bobsleigh?
Bado NFL. Watu wenye asili ya Nigeria ni wengi kuliko kawaida kwenye huu mchezo. In a yr or two kuna msanii wa NG atatumbuiza kwenye superbowl believe me you. Nyie mna wachezaji wangapi NFL?
Kanu, Okocha, Ihenacho, Obi Mikel, Victor Moses na sasa Osimhen wa Napoli wote ni Nigerians, nyie wachezaji wenu wangapi wamefika UCL? Timu yenu ya taifa lini imeenda World cup? Bado unashangaa wasanii wa Nigeria kuitwa kwenye stage ya UEFA?
Viongozi wa Nigeria wamewahi na bado wanashika nyadhifa mbalimbali duniani more than any other country in Africa. Wapo kwenye boardrooms za maamuzi, nyie mpo wapi? President wa Toronto Raptors Masai Ujiri ni mnigeira, Ime Udoka aliyekuwa kocha wa Boston Celtics ni mnigeria. Unadhani wakiambiwa walete mtumbuizaji watamleta Marioo au msanii wao?
Kama you're reading btn the lines utagundua uraia-pacha plays a big part as well. Wanigeria kibao wamezaliwa na kukulia nje including Burna boy mwenyewe aliyekulia UK, Davido kazaliwa US ila wanapeperusha bendera ya NG. Nyie mna uraia pacha?
If anything wasanii wetu wamefanya kazi yao, hawana deni kabisa. Dayamondi, Samatta na wasanii wengine walipofika ni juhudi zao binafsi and they can only do so much. Wanaenda kwa speed ambayo wabongo wengine hawana, we're letting them down. Samaki ndani ya aquarium hawezi kuwa mkubwa zaidi ya aquarium yenyewe.
Nipo around mazee.