Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #81
Kuna mchungaji mmoja alikuwa anaitwa KATO anlikuwa anapenda kusema: "Ninachemka bila mfuniko" ni ndugu yako?Makonda angeenda!!
Hivi ccm chama changu hao wanachama tunaowalipa mapesa ya mshahara kama hawana uwezo wa kukitetea chama kwenye midahalo tunawalipa wa nini!!?
Hadi hasira aiseh!!