Majibu ya CCM Mdahalo wa Odemba: Tunasikitishwa na jinsi alivyoupotosha umma, tumeshangazwa na machozi yake!

Majibu ya CCM Mdahalo wa Odemba: Tunasikitishwa na jinsi alivyoupotosha umma, tumeshangazwa na machozi yake!

Hakika...

Hata mimi ningeshangaa kama CCM wangehudhuria.

By the way:
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Odemba na StarTV kwa ujumla ni unprofessional, wajinga na wapumbavu kiasi hicho warushe hewani kupitia vyombo vya habari mbalimbali tangazo ambalo linaitaja CCM au mtu fulani kuwa atashiriki kwenye tukio fulani bila wao kuruhusu na kuthibitisha ushiriki wao...!
!

Huu ni uongo na ulaghai uleule wa siku zote wa CCM ambao tunaujua.....

CCM mambo ya wazi na ya haki hawayawezi. CCM imezoea maisha ya uongo, wizi, udanganyifu, utekaji, kutesa na kumwaga damu za watu wasio na hatia iwe ni serikalini ama ndani ya chama chao wenyewe...!

Kuwaamini CCM kwa chochote wasemalo, lazima uwe na akili nusu kisoda...!
Kama wana barua walioandika kwa chama si waionyeshe hadharani? Kumwalika katibu mkuu wa chama cha siasa kwa SMS ni upunguani. Makatibu wakuu waliokubali mwaliko kupitia SMS ni mapunguani.
 
Odemba njoo uutarifu umma. Umetukosea sana, unatafuta kick kwenye mambo ya msingi kiasa hicho!!
 
Hivi bwana Tindo hujui kuwa CCM ni taasisi?
Najua kuwa ni taasisi ya majizi, sio zaidi ya hapo. Unasema ni taasisi huku katibu mkuu anashindwa hata kutuma mwakilishi kwenye mdahalo. Au kwakuwa hakukuwa na mbeleko ya vyombo vya dola?
 
Najua kuwa ni taasisi ya majizi, sio zaidi ya hapo. Unasema ni taasisi huku katibu mkuu anashindwa hata kutuma mwakilishi kwenye mdahalo. Au kwakuwa hakukuwa na mbeleko ya vyombo vya dola?
Bwana Tindo ukitaka kuwasiliana na taasisi huwa unatumia njia gani? Je, unatuma taarifa kwenye x.com?
 
Kama wana barua walioandika kwa chama si waionyeshe hadharani? Kumwalika katibu mkuu wa chama cha siasa kwa SMS ni upunguani. Makatibu wakuu waliokubali mwaliko kupitia SMS ni mapunguani.
Wewe MamaSamia2025;

Waliokanusha kuwa hawakualikwa ni nyie CCM. Na ndo kusema wanaopaswa kuthibitisha kwa ushahidi wa kuonekana, kushikika na kuaminika ni nyie CCM bila kujali mlipata taarifa kwa njia gani....

Kikubwa hebu JIBU hili 👇👇swali:

Kwamba mnataka umma uamini kuwa nyie CCM ni werevu na waungwana sana na kwamba Management yote ya StarTv na waandaaji wa kipindi hicho ni very unprofessional, wajinga na wapumbavu kiasi hicho, kwa siku kadhaa watangaze ushiriki wa CCM kwenye mjadala huo wa wazi kupitia kwa katibu wenu bila ridhaa yenu....?

Ndo mnataka tuamini hivi siyo?

Aisee, kuiamini CCM kwa lolote kwa masuala muhimu ya haki yanayopaswa kufanyika kwa UHURU na UWAZI nilisema toka mwanzo na nasema tena, basi ni lazima uwe na akili za kujaa nusu kisoda tu.....!

Nyie CCM mambo yenu siku zote ni ya gizani, ya kiwiziwizi, uongouongo na ulaghai laghai tu....
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusu kutoshiriki kwa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kwenye mdahalo ulioandaliwa na Kituo cha Televisheni cha Star Tv, na kuratibiwa na Ndugu Edwin Odemba tarehe 31 Agosti, 2024.

CCM inautaarifu umma kuwa Katibu Mkuu hakukimbia wala hakudharau mdahalo huo. Balozi Nchimbi alifanya kila jitihada za mawasiliano na muaandaji na tunasikitishwa na jinsi alivyoupotosha umma.

Tarehe 10 Agosti 2024 mtangazaji wa Kituo cha Televisheni, Star Tv, Ndugu Edwin Odemba alimtafuta Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kwa kutuma ujumbe mfupi wa simu (sms) akimuomba Katibu Mkuu ashiriki mdahalo huo wa viongozi wa vyama vya siasa uliopangwa kufanyika Jumamosi, tarehe 31 Agosti 2024.

Katibu Mkuu alimjulisha kuwa masuala ya vyombo vya habari yanaratibiwa na Katibu wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla hivyo awasiliane naye na akampa namba ya simu ya mkononi ya Ndugu Makalla.

Kwa sababu ambazo Odemba anaweza kuzieleza mwenyewe, katika kipindi cha takriban wiki tatu, hakufanya mawasiliano au kumtafuta Ndugu Makalla kama alivyoelekezwa na kushauriwa na Katibu Mkuu Balozi Nchimbi.

Baada ya kuhisi kwamba nafasi ya Katibu Mkuu inaweza kuwa ngumu kupatikana kutokana na majukumu yake ya kazi za chama, Ndugu Odemba alimtafuta tena Balozi Nchimbi akiomba amuandae mwakilishi huku matangazo ya mdahalo huo yakiendelea kumtaja Katibu Mkuu wa CCM kuwa ndiye atakayeshiriki. Badala yake Katibu Mkuu alimwelekeza Ndugu Odemba kutofanya lolote kabla ya kupata mawasiliano na Sekretarieti ya Chama.

Kimsingi Ndugu Odemba alitaka wananchi wadanganywe kuwa CCM kupitia kwa Katibu Mkuu ilikuwa imethibitisha kushiriki katika mdahalo huo jambo ambalo si sahihi.

Katika mazingira ya kustaajabisha tumeshangazwa na machozi ya Ndugu Odemba aliyotoa jana akielekeza lawama kwa CCM na kwa Katibu Mkuu wakati alijua bayana kwamba alikuwa hajapata uthibitisho wowote wa CCM kushiriki ikiwa ni pamoja na ukweli kwamba yeye mwenyewe alishajua kwamba alikuwa akiendelea kutangaza kuhusu mdahalo huo kama "promo" pasipo kupata ridhaa ya CCM.

Katibu Mkuu wa CCM ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti na siku nzima ya jana ambayo ndiyo siku Odemba alipanga kufanyika kwa mdahalo huo, kulikuwa na vikao vya maandalizi ya Kamati Kuu Maalum ambayo inafanyika leo tarehe 01 Septemba 2024, jambo ambalo kwa namna yoyote Katibu Mkuu asingeweza kuwapo katika mdahalo huo hata kama angekuwa amethibitisha awali.

Kushiriki kwenye mdahalo kunahitaji mashauriano na maafikiano kati ya waandaji na waalikwa.

Tunaweza kutamka bayana na kwa uhakika kwamba Katibu Mkuu hakuwa ametoa uthibitisho wa kuhudhuria mdahalo huo. Hakukuwa na makubaliano yoyote rasmi ya yeye au mwakilishi wake kuhudhuria katika shughuli hiyo. Mwisho, Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Nchimbi yupo tayari kwa midahalo, majadiliano na makongamano yanayolenga kujenga umoja wa kitaifa na maridhiano ya kisiasa kadiri ya taratibu zilizopo na ratiba yake ya kazi inavyoruhusu.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

View attachment 3084263

View attachment 3084264

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Kumbe Odemba ni muhuni tu,
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusu kutoshiriki kwa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kwenye mdahalo ulioandaliwa na Kituo cha Televisheni cha Star Tv, na kuratibiwa na Ndugu Edwin Odemba tarehe 31 Agosti, 2024.

CCM inautaarifu umma kuwa Katibu Mkuu hakukimbia wala hakudharau mdahalo huo. Balozi Nchimbi alifanya kila jitihada za mawasiliano na muaandaji na tunasikitishwa na jinsi alivyoupotosha umma.

Tarehe 10 Agosti 2024 mtangazaji wa Kituo cha Televisheni, Star Tv, Ndugu Edwin Odemba alimtafuta Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kwa kutuma ujumbe mfupi wa simu (sms) akimuomba Katibu Mkuu ashiriki mdahalo huo wa viongozi wa vyama vya siasa uliopangwa kufanyika Jumamosi, tarehe 31 Agosti 2024.

Katibu Mkuu alimjulisha kuwa masuala ya vyombo vya habari yanaratibiwa na Katibu wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla hivyo awasiliane naye na akampa namba ya simu ya mkononi ya Ndugu Makalla.

Kwa sababu ambazo Odemba anaweza kuzieleza mwenyewe, katika kipindi cha takriban wiki tatu, hakufanya mawasiliano au kumtafuta Ndugu Makalla kama alivyoelekezwa na kushauriwa na Katibu Mkuu Balozi Nchimbi.

Baada ya kuhisi kwamba nafasi ya Katibu Mkuu inaweza kuwa ngumu kupatikana kutokana na majukumu yake ya kazi za chama, Ndugu Odemba alimtafuta tena Balozi Nchimbi akiomba amuandae mwakilishi huku matangazo ya mdahalo huo yakiendelea kumtaja Katibu Mkuu wa CCM kuwa ndiye atakayeshiriki. Badala yake Katibu Mkuu alimwelekeza Ndugu Odemba kutofanya lolote kabla ya kupata mawasiliano na Sekretarieti ya Chama.

Kimsingi Ndugu Odemba alitaka wananchi wadanganywe kuwa CCM kupitia kwa Katibu Mkuu ilikuwa imethibitisha kushiriki katika mdahalo huo jambo ambalo si sahihi.

Katika mazingira ya kustaajabisha tumeshangazwa na machozi ya Ndugu Odemba aliyotoa jana akielekeza lawama kwa CCM na kwa Katibu Mkuu wakati alijua bayana kwamba alikuwa hajapata uthibitisho wowote wa CCM kushiriki ikiwa ni pamoja na ukweli kwamba yeye mwenyewe alishajua kwamba alikuwa akiendelea kutangaza kuhusu mdahalo huo kama "promo" pasipo kupata ridhaa ya CCM.

Katibu Mkuu wa CCM ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti na siku nzima ya jana ambayo ndiyo siku Odemba alipanga kufanyika kwa mdahalo huo, kulikuwa na vikao vya maandalizi ya Kamati Kuu Maalum ambayo inafanyika leo tarehe 01 Septemba 2024, jambo ambalo kwa namna yoyote Katibu Mkuu asingeweza kuwapo katika mdahalo huo hata kama angekuwa amethibitisha awali.

Kushiriki kwenye mdahalo kunahitaji mashauriano na maafikiano kati ya waandaji na waalikwa.

Tunaweza kutamka bayana na kwa uhakika kwamba Katibu Mkuu hakuwa ametoa uthibitisho wa kuhudhuria mdahalo huo. Hakukuwa na makubaliano yoyote rasmi ya yeye au mwakilishi wake kuhudhuria katika shughuli hiyo. Mwisho, Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Nchimbi yupo tayari kwa midahalo, majadiliano na makongamano yanayolenga kujenga umoja wa kitaifa na maridhiano ya kisiasa kadiri ya taratibu zilizopo na ratiba yake ya kazi inavyoruhusu.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

View attachment 3084263

View attachment 3084264

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Mdahalo sio kitu kidogo hasa kipindi hiki tunachoelekea uchaguzi ikitokea mmoja ulimi ukateleza inaweza zalishwa ajenda hapo na ikawa fimbo ya kumuadhibu.
 
Kumbe Odemba ni muhuni tu,
........na kwa maana hiyo CCM mnataka kila mtu mwenye akili timamu aamini kuwa Management yote ya StarTv na kila mmoja ktk taasisi hiyo ya habari ni unprofessional, mjinga na mpumbavu kiasi hicho kwamba wanaweza kuwatangaza CCM na katibu mkuu wenu kupitia media platforms mbalimbali kuwa mtashiriki kwenye mdahalo huo wa wazi bila kuwa kwanza mlikubali na kuthibitisha...? Really?

.......Mr/Mrs/Miss chiembe hivi ndivyo mnavyotaka watu wenye akili timamu na uelewa waamini ujinga na uongo huu wa mchana kweupe? Mbona CCM mnatia aibu sana...? Yaani eti lawama na mzigo wote wa dhambi za ma CCM atupiwe Odemba? Really?
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusu kutoshiriki kwa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kwenye mdahalo ulioandaliwa na Kituo cha Televisheni cha Star Tv, na kuratibiwa na Ndugu Edwin Odemba tarehe 31 Agosti, 2024.

CCM inautaarifu umma kuwa Katibu Mkuu hakukimbia wala hakudharau mdahalo huo. Balozi Nchimbi alifanya kila jitihada za mawasiliano na muaandaji na tunasikitishwa na jinsi alivyoupotosha umma.

Tarehe 10 Agosti 2024 mtangazaji wa Kituo cha Televisheni, Star Tv, Ndugu Edwin Odemba alimtafuta Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kwa kutuma ujumbe mfupi wa simu (sms) akimuomba Katibu Mkuu ashiriki mdahalo huo wa viongozi wa vyama vya siasa uliopangwa kufanyika Jumamosi, tarehe 31 Agosti 2024.

Katibu Mkuu alimjulisha kuwa masuala ya vyombo vya habari yanaratibiwa na Katibu wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla hivyo awasiliane naye na akampa namba ya simu ya mkononi ya Ndugu Makalla.

Kwa sababu ambazo Odemba anaweza kuzieleza mwenyewe, katika kipindi cha takriban wiki tatu, hakufanya mawasiliano au kumtafuta Ndugu Makalla kama alivyoelekezwa na kushauriwa na Katibu Mkuu Balozi Nchimbi.

Baada ya kuhisi kwamba nafasi ya Katibu Mkuu inaweza kuwa ngumu kupatikana kutokana na majukumu yake ya kazi za chama, Ndugu Odemba alimtafuta tena Balozi Nchimbi akiomba amuandae mwakilishi huku matangazo ya mdahalo huo yakiendelea kumtaja Katibu Mkuu wa CCM kuwa ndiye atakayeshiriki. Badala yake Katibu Mkuu alimwelekeza Ndugu Odemba kutofanya lolote kabla ya kupata mawasiliano na Sekretarieti ya Chama.

Kimsingi Ndugu Odemba alitaka wananchi wadanganywe kuwa CCM kupitia kwa Katibu Mkuu ilikuwa imethibitisha kushiriki katika mdahalo huo jambo ambalo si sahihi.

Katika mazingira ya kustaajabisha tumeshangazwa na machozi ya Ndugu Odemba aliyotoa jana akielekeza lawama kwa CCM na kwa Katibu Mkuu wakati alijua bayana kwamba alikuwa hajapata uthibitisho wowote wa CCM kushiriki ikiwa ni pamoja na ukweli kwamba yeye mwenyewe alishajua kwamba alikuwa akiendelea kutangaza kuhusu mdahalo huo kama "promo" pasipo kupata ridhaa ya CCM.

Katibu Mkuu wa CCM ndiye Mwenyekiti wa Sekretarieti na siku nzima ya jana ambayo ndiyo siku Odemba alipanga kufanyika kwa mdahalo huo, kulikuwa na vikao vya maandalizi ya Kamati Kuu Maalum ambayo inafanyika leo tarehe 01 Septemba 2024, jambo ambalo kwa namna yoyote Katibu Mkuu asingeweza kuwapo katika mdahalo huo hata kama angekuwa amethibitisha awali.

Kushiriki kwenye mdahalo kunahitaji mashauriano na maafikiano kati ya waandaji na waalikwa.

Tunaweza kutamka bayana na kwa uhakika kwamba Katibu Mkuu hakuwa ametoa uthibitisho wa kuhudhuria mdahalo huo. Hakukuwa na makubaliano yoyote rasmi ya yeye au mwakilishi wake kuhudhuria katika shughuli hiyo. Mwisho, Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Nchimbi yupo tayari kwa midahalo, majadiliano na makongamano yanayolenga kujenga umoja wa kitaifa na maridhiano ya kisiasa kadiri ya taratibu zilizopo na ratiba yake ya kazi inavyoruhusu.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

View attachment 3084263

View attachment 3084264

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Wadaanueni Mazuzu wenzenu wanaovaa Sanda za Kijani.
 
........na kwa maana hiyo CCM mnataka kila mtu mwenye akili timamu aamini kuwa Management yote ya StarTv na kila mmoja ktk taasisi hiyo ya habari ni unprofessional, mjinga na mpumbavu kiasi hicho kwamba wanaweza kuwatangaza CCM na katibu mkuu wenu kupitia media platforms mbalimbali kuwa mtashiriki kwenye mdahalo huo wa wazi bila kuwa kwanza mlikubali na kuthibitisha...? Really?

.......Mr/Mrs/Miss chiembe hivi ndivyo mnavyotaka watu wenye akili timamu na uelewa waamini ujinga na uongo huu wa mchana kweupe? Mbona CCM mnatia aibu sana...? Yaani eti lawama na mzigo wote wa dhambi za ma CCM atupiwe Odemba? Really?
Mna barua ya kutbibitisha Nchimbi kuhudhuria? Management ya StarTv si ni ndugu na jamaa wa Diallo? Hata vikao wanaweza kufanya kwa kisukuma, maana ni wanaukoo, no proffessionalism
 
Labda mumtishe huyo Odemba. Lakini kila protocol alifuata.
Kaka nimekuuliza maswali muhimu kabisa. Hakuna anayekutisha hapa. Nimekuuliza hivi:
Je ukitaka kuwasiliana na taasisi huwa unatumia njia gani?
 
Mdahalo sio kitu kidogo hasa kipindi hiki tunachoelekea uchaguzi ikitokea mmoja ulimi ukateleza inaweza zalishwa ajenda hapo na ikawa fimbo ya kumuadhibu.
Midahalo ni muhimu sana kwa mustakabali wa Taifa. Ata watoto shule za misingi wanafundishwa kujenga hoja katika debates zao.

Nji hii tunajua midahalo ya UTo na Simba FC tu ila mambo mengine ya kitaifa tupo sufuri. Kenya wapo vizuri zaidi
 
Back
Top Bottom