Majibu ya Chid Benz kwenye "red carpet" ya Mahaba Ndi Ndi Ndi

Kuna jamaa alimuuliza Kuna utofauti gani Kati ya chid Benz huyu wa Sasa na wazamani jamaa akasema utofauti ni yule chidbenz wa Zamani na huyu ni wasasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna kitu kimoja nimekifurahia leo, usibadilishe tena hiyo nanii hapo, iache hiyo hiyo 😊
πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°

Bora umeniwahi maana nilikuwa nataka kumrudisha yule jamaa tenaπŸ˜…

Kwa ajili yako sitoitoa.okay πŸ˜‰πŸ˜
 
Daaah Nimecheka kama fala πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Aahaaaaaahaahahaa,Chchichciiiiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…