[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa alimuuliza Kuna utofauti gani Kati ya chid Benz huyu wa Sasa na wazamani jamaa akasema utofauti ni yule chidbenz wa Zamani na huyu ni wasasa
Alikua kawaka mbaya yaani hata anachojibu alikua anajua mwenyeweHuyu jamaa alikuja na huyo Dada na alimgomea kabisa asiongee [emoji849]
Active na wewe una mademu? Kama chid alivyo sema akina Civilian Coin wanatafuta mademu.Mtangazaji: Unajua muziki ni biashara, kuna Watoto wengine wanafanya Muziki sifa kupata Mademu, unawaambiaje?
Chid Benz: Wapate Mademu
View attachment 2125351
Wacha bhana πNi kilaza tu ndo ataamini kuwa TID anajua kutema yai, niliwahi kuwa hukoβ¦. nikavuka na kuona ni kindergarten English tu.
Naona umejibu kama chid benzy w8Huwa anayatoa maswali yanapotoka...
π§π§Ili hakiri ziwakae sawa[emoji23]
Wacha bhana [emoji23]
Hujambo NK
Ni salama sana sanaππSijambo mtoto mzuri, vipi hali yako.!
Jambo sana my dear furendi ππ
π₯°π₯°π₯°π₯°Kuna kitu kimoja nimekifurahia leo, usibadilishe tena hiyo nanii hapo, iache hiyo hiyo π
π₯°π₯°π₯°π₯°
Bora umeniwahi maana nilikuwa nataka kumrudisha yule jamaa tenaπ
Kwa ajili yako sitoitoa.okay ππ
Dah yule jamaa alikuwa ananikata stimu...ifu yu no wara ai mini
Daaah Nimecheka kama fala πππππUtapenda jinsi Chid Benz alivyokuwa akiulizwa maswali na mtangazaji pale Mlimani City, Siku ya Wapendanao wakiwa Red Carpet usiku wa mahaba ndi ndi ndi
Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza
CHID BENZ : Nalijua hilo
Mtangazaji: Hatujawahi kukuona na mtoto mzuri kama huyu
CHID BENZ: Huyu sio mtoto
Mtangazaji: Kuna tofauti gani kati ya Valentine zilizopita na hii hapa na hii ya leo?
CHID BENZ: Zile zimepita na hii ni ya leo.
Mtangazaji: Unatarajia kuona vitu gani kwenye event hii ya leo
CHID BENZ: Ngoja tuingie ndo tutaona
Mtangazaji: Chidy kwanini unakonda
CHID BENZ: Kwa sababu sinenepi
Jamiiforums
Geita vijijini
View attachment 2122017
Aahaaaaaahaahahaa,ChchichciiiiiiiiiiiiiUtapenda jinsi Chid Benz alivyokuwa akiulizwa maswali na mtangazaji pale Mlimani City, Siku ya Wapendanao wakiwa Red Carpet usiku wa mahaba ndi ndi ndi
Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza
CHID BENZ : Nalijua hilo
Mtangazaji: Hatujawahi kukuona na mtoto mzuri kama huyu
CHID BENZ: Huyu sio mtoto
Mtangazaji: Kuna tofauti gani kati ya Valentine zilizopita na hii hapa na hii ya leo?
CHID BENZ: Zile zimepita na hii ni ya leo.
Mtangazaji: Unatarajia kuona vitu gani kwenye event hii ya leo
CHID BENZ: Ngoja tuingie ndo tutaona
Mtangazaji: Chidy kwanini unakonda
CHID BENZ: Kwa sababu sinenepi
Jamiiforums
Geita vijijini
View attachment 2122017