Majibu ya Chid Benz kwenye "red carpet" ya Mahaba Ndi Ndi Ndi

Majibu ya Chid Benz kwenye "red carpet" ya Mahaba Ndi Ndi Ndi

Napendaga interviews za chid Benzi.
Hachoshi na majibu Yake.
Anakuwaga na majibu mafupi yenye kufurahisha,na yenye kutafakarisha wakati mwingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
King kong kama ulishawai kupiga nae story hautashangaa hizo flows zake
 
Kuna jamaa alimuuliza Kuna utofauti gani Kati ya chid Benz huyu wa Sasa na wazamani jamaa akasema utofauti ni yule chidbenz wa Zamani na huyu ni wasasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haha ha utasikia kama mnavyoona ni msiba mkubwa watu wanalia sana tazama marehem amelala kwa huzuni lakini tunae kaka yake hapa hebu tuelezee habari ya kifo cha mdogo wako ulipata wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona uhuni ukiungwa mkono na wengi humu, ndo vitu wajinga wengi husifia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom