critique
Member
- Aug 7, 2008
- 18
- 1
Asante kwa message yako.
Nilikuwa sijui mtandao wenu hadi majuzi nilipoongea na Mr. Mstsimbe na kuniambia kuhusu suala hilo. Baada ya hapo nilifanikiwa kuingia kwenye mtandao wenu na kukuta mambo mengi sana.
Kifupi ni kuwa nisingependa kujiingiza kwenye malumbano au majadiliano yenu na wala sipingi nyie kuendelea na mijadala yenu na hasa kwa vile wote siwajui na mnatumia majina ya kuficha. Lakini kwa ufupi ni kuwa:
1. Nimekwenda Texas Heart Institute wakati huo nimeshakuwa Registered na Medical Council of Tanganyika in 1995 as a Thoracic and Cardiovascular Surgeon baada ya kuwa nimesomea Shahada ya Udhamili katika Upasuaji wa Kifua, Moyo na Mishipa ya Damu (Masters of Medicine in Thoracic and Cardiovascular Surgery) na kufanya kazi Muhimbili katika fani hiyo hadi nilipokwenda Texas mwishoni mwa mwaka 1996.
2. Nilikuwa sponsored na University of Texas Health Science Center-Houston kwenda Texas Heart Institute kwenye Cardiovascular Surgery Fellowship Program. Nilikuwa Texas Heart Institute kwenye hiyo program kuanzia January 1997 hadi June 2000 na katika kipindi hicho nilishiriki katika kufanya operation za upasuaji wa moyo zaidi ya 1800 (vielelezo vyote vipo).
Kwa mujibu wa maelezo yake hapo juu,mimi kama MD student;
(a)Nakubali kuwa Dr.Masau ni surgeon katika field husika-maana ka specialize katika masters course yake.
(b)Alifanya uamuzi wa busara kwenda kushiriki hiyo fellowship,natumai kuwa ilimuongezewa uwezo kiutendaji zaidi,ukizingatia MUHIMBILI asingeweza kupata hiyo nafasi kwa sababu haikuwa na kitengo hicho cha upasuaji ndio maana wagonjwa walikuwa wakipelekwa India.
(c)Ushauri wangu kwa Dr.Masau/Serikali:Kama hiyo fellowship ilikuwa ni ya kushiriki tu kama vile tunavyofanya tukiwa medical college,na kwa sababu Tanzania hakuna practising seniors katika hiyo field (kama niko sahihi) basi kungepatikana fursa ya wewe kwenda kufanya internship in a hospital under supervision ya seniors kama vile tufanyavyo tukiwa internship kuongeza uwezo wa kuchezesha mkono,inajulikana kuwa pamoja na kuhitajika medical theories,kufanya kwa mikono yako ni muhimu sana katik hii fani ya medicine hususwan ya surgery,na ndio maana ili uwe na medical college lazima uwe na affiliated hospital(najua Dr analifahamu sana hili kuliko pengine mimi).
Serikali ingemsaidia hili,ingeleta taswira ya uzalendo kiasi hata tulioko huku ughaibuni tungefikiria siku moja kurudi Nyumbani....lakini kwa namna hii.....dah...anyway,nyumbani ni nyumbani.
Kama ningejua kuwa una fursa,basi ningekushauri ukafanye PhD kabisa...nafikiri ingekuweka katika position nzuri zaidi,watu wengi wa kawaida wangetuliza ""mtima"" juu yako,maana wanaposikia upasuaji moyo...inashtusha kidogo,tushazoea kuona watu wanaenda India.Hapa serikali ingekuwa na nafasi kubwa ya kufanya haya kama ingekuwa inajali watu wake,maana nina hakika sisi tungerudi na kufundishwa na Dr,Masu na kuparactice THI badala ya kufikiria kwenda Texas.
(d)Hata hivyo,kama ni sahihi kuwa 6 kati ya wagonjwa 10 wanaotibiwa THI wanapona,si mbaya sana...ingawa bado inahitajika juhudi za makusudi kabisa,hususwan za mkono mrefu wa serikali kuongeza hadi kufikia angalau 8/10...,maelezo yake yanaonesha yuko exposed sana katika hii field.kwa maana anatambulika na association nyingi sana duniani,kupitia kwake serikali ingeweza kuona namna gani tungewezanufaika naye.
Ni maoni yangu tu.....
Niwieni radhi pale nilipokosea
Nilikuwa sijui mtandao wenu hadi majuzi nilipoongea na Mr. Mstsimbe na kuniambia kuhusu suala hilo. Baada ya hapo nilifanikiwa kuingia kwenye mtandao wenu na kukuta mambo mengi sana.
Kifupi ni kuwa nisingependa kujiingiza kwenye malumbano au majadiliano yenu na wala sipingi nyie kuendelea na mijadala yenu na hasa kwa vile wote siwajui na mnatumia majina ya kuficha. Lakini kwa ufupi ni kuwa:
1. Nimekwenda Texas Heart Institute wakati huo nimeshakuwa Registered na Medical Council of Tanganyika in 1995 as a Thoracic and Cardiovascular Surgeon baada ya kuwa nimesomea Shahada ya Udhamili katika Upasuaji wa Kifua, Moyo na Mishipa ya Damu (Masters of Medicine in Thoracic and Cardiovascular Surgery) na kufanya kazi Muhimbili katika fani hiyo hadi nilipokwenda Texas mwishoni mwa mwaka 1996.
2. Nilikuwa sponsored na University of Texas Health Science Center-Houston kwenda Texas Heart Institute kwenye Cardiovascular Surgery Fellowship Program. Nilikuwa Texas Heart Institute kwenye hiyo program kuanzia January 1997 hadi June 2000 na katika kipindi hicho nilishiriki katika kufanya operation za upasuaji wa moyo zaidi ya 1800 (vielelezo vyote vipo).
Kwa mujibu wa maelezo yake hapo juu,mimi kama MD student;
(a)Nakubali kuwa Dr.Masau ni surgeon katika field husika-maana ka specialize katika masters course yake.
(b)Alifanya uamuzi wa busara kwenda kushiriki hiyo fellowship,natumai kuwa ilimuongezewa uwezo kiutendaji zaidi,ukizingatia MUHIMBILI asingeweza kupata hiyo nafasi kwa sababu haikuwa na kitengo hicho cha upasuaji ndio maana wagonjwa walikuwa wakipelekwa India.
(c)Ushauri wangu kwa Dr.Masau/Serikali:Kama hiyo fellowship ilikuwa ni ya kushiriki tu kama vile tunavyofanya tukiwa medical college,na kwa sababu Tanzania hakuna practising seniors katika hiyo field (kama niko sahihi) basi kungepatikana fursa ya wewe kwenda kufanya internship in a hospital under supervision ya seniors kama vile tufanyavyo tukiwa internship kuongeza uwezo wa kuchezesha mkono,inajulikana kuwa pamoja na kuhitajika medical theories,kufanya kwa mikono yako ni muhimu sana katik hii fani ya medicine hususwan ya surgery,na ndio maana ili uwe na medical college lazima uwe na affiliated hospital(najua Dr analifahamu sana hili kuliko pengine mimi).
Serikali ingemsaidia hili,ingeleta taswira ya uzalendo kiasi hata tulioko huku ughaibuni tungefikiria siku moja kurudi Nyumbani....lakini kwa namna hii.....dah...anyway,nyumbani ni nyumbani.
Kama ningejua kuwa una fursa,basi ningekushauri ukafanye PhD kabisa...nafikiri ingekuweka katika position nzuri zaidi,watu wengi wa kawaida wangetuliza ""mtima"" juu yako,maana wanaposikia upasuaji moyo...inashtusha kidogo,tushazoea kuona watu wanaenda India.Hapa serikali ingekuwa na nafasi kubwa ya kufanya haya kama ingekuwa inajali watu wake,maana nina hakika sisi tungerudi na kufundishwa na Dr,Masu na kuparactice THI badala ya kufikiria kwenda Texas.
(d)Hata hivyo,kama ni sahihi kuwa 6 kati ya wagonjwa 10 wanaotibiwa THI wanapona,si mbaya sana...ingawa bado inahitajika juhudi za makusudi kabisa,hususwan za mkono mrefu wa serikali kuongeza hadi kufikia angalau 8/10...,maelezo yake yanaonesha yuko exposed sana katika hii field.kwa maana anatambulika na association nyingi sana duniani,kupitia kwake serikali ingeweza kuona namna gani tungewezanufaika naye.
Ni maoni yangu tu.....
Niwieni radhi pale nilipokosea