Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,236
- 669
Kuhani kakaangwa kama GT alivyokaangwa kwenye issue ya faili la Kigamboni hadi ile issue ilipoibuliwa bungeni ndio alirudi, tutegemee mambo kama hayo kwani wanafikri kila moja hapa yupo kwenye hadithi za esopo.
Bravo kwa members wote wa JF ambao hawaangalii mtoa hoja ni nani bali hoja iliyotolewa.
Bravo kwa members wote wa JF ambao hawaangalii mtoa hoja ni nani bali hoja iliyotolewa.