Sasa nataka kuamini kuwa Kuhani ama ni Manji ama ni Dr,Dau mwenyewe, sasa hoja hapa ulisema kuwa huyu mzee wa watu hakusoma, sasa unabanwa kwa uongo wako unakuja na kuanza kujibizana na watu ambao wamepost na kukosea vijimistari.
Unapaswa ama kusimamia hoja zako na kuweka the other side uwanjani ama kuomba radfhi kama ulidanganya.
Muungwana ni vitendo, laa sivyo naamini kuwa wana JF hapa watayachukulia maneno yako yote kama uzushi na upotoshaji wa makusudi.
Mkuu Kieleweke,
Heshima mbele, uliyosema hapa ndio yanayotakiwa kwenye kuweka heshima ya hii forum inapotaliwa, huyu mtu asitubabaishe na rangi zake 50 hapa, wewe umeshikwa kubali tu hapa JF hatuna peremende hapa tuna mawe ya ukweli umekosea muombe radhi Dr. Masau na uache hizi tabia za kurukia majina ya watu usiowajua, kila kukicha hapa matusi tu kwa watu leo yamekukuta aibuu kubwa ingekuwa ni mtaani tungekuzomea na kukupa singi za usoni, hilooooooo!
mzushi mkubwa wewe, mwanaume mzima kuja kusutwa mbele ya jamii huna hata aibu, huyu Doctor ukweli ni kwamba humjui na wala hujui lolote linalomhusu, hapa umejaribu sana kuharibu jina la Mwanakijiji, pamoja na Dr. Masau, kwa makusudi kabisa knowingly kuwa humjui na wala hujui kabisa habari zake, halafu huna hata aibu kujaribu kujifanya unajua sana kumbe nonesense tupu, ni ayako ni kuiharibu hii forum huna lolote,
Uache huu mchezo, Mkuu MMJ naomba umuombe radhi Dr. Masau kwa niaba yetu wote hapa JF kwa kumkosea adabu, mwambie ndio matatizo ya PHD za online kama za Nchimbi, unakuwa na muruwe ruwe tu kichwani huwezi kufikiri right, hujali wengine unajijali wewe tu, kila mtu mwingine ni mjinga, wenye akili ni wewe tu sasa unakuja kuwa humbled na masikini dokta wa watu, can you imagine wewe ungekuwa na power bongo, si ungeshamfukuza kazi huyu masikini wa Mungu, Dr. Masau?
Kwa mara ya kwanza I am ashamed kuwa forum moja na wewe mkuu, maana this is the worst aibu toka nijiumnge na hii forum, sasa niambie hivi Dr. Masau atasema nini kuhusu hii forum kokote anakokwenda? Halafu unajaribu kupindisha ukweli kama vile sisi ni watoto wadogo huna hata haya?
Muombe radh Dr. Masau, kama huwezi nyamaza kuna watu hapa watakuombea, lakini next time usilete matusi kwa watu bila ya kuwa na ukweli, maana hii uliyoifanya ni aibu yetu wote hapa JF. A spade is a spade akiongea uongo akisema uongo ni muongo tu hakuna neno tofauti hapa!
You are nothing but a cheap liar!