Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtanzania,
Mimi Nakwambia Wivu Umetujaa Vibaya Sana Hasa Watu Waliopo Serikali Hata Sijui Walilishwa Nini!
Angekuwa Mzungu Au Hata Angekuwa Ametoka Kenya Au Uganda, Huyu Bwana Asingepata Vikwazo Vyovyote. Sisi Tunaofanya Utafiti Tunajua Sana Haya Mambo. Unaomba Kibali Cha Kufanya Utafiti Sehemu Fulani, Utazungushwa Mpaka Mvi Zikutoke. Lakini Hebu Shirikiana Na Mzungu Hapo, Tena Jina Lake Tu Liwepo Katika Utafiti Huohuo, Utakuta Mkuu Wa Kitengo Anakusaidia Kufukuzia Hiyo Permit Yako Mpaka Unashangaa.
Sasa Huyu Mtu Kasoma Udaktari Wake Muhimbili, Huko Huko Wanakujifanya Wanajua Kuliko Dunia Nzima, Kasoma China, Kapata Fellowship Ya Hiyo Taasisi Ya Texas, Lakini Kuna Watu Wanamuona Maimuna, Hamnazo, Ila Wao Ndio Wanajua!! Makubwa, Na Sijui Bwana Haya Mambo Tutayatatuaje. Tatizo La Roho Mbaya Na Wivu Hauna Tiba, Dawa Yake Ni Kuchapa Kazi Tu, Acha Hao Wenye Roho Za Sebuleni Waendelee Kukuzodoa, Shauri Zao!
Mtanzania,
Mimi nakwambia wivu umetujaa vibaya sana hasa watu waliopo serikali hata sijui walilishwa nini!
Angekuwa mzungu au hata angekuwa ametoka Kenya au Uganda, huyu bwana asingepata vikwazo vyovyote. Sisi tunaofanya utafiti tunajua sana haya mambo. Unaomba kibali cha kufanya utafiti sehemu fulani, utazungushwa mpaka mvi zikutoke. Lakini hebu shirikiana na mzungu hapo, tena jina lake tu liwepo katika utafiti huohuo, utakuta mkuu wa kitengo anakusaidia kufukuzia hiyo permit yako mpaka unashangaa.
Sasa huyu mtu kasoma udaktari wake Muhimbili, huko huko wanakujifanya wanajua kuliko dunia nzima, kasoma China, kapata fellowship ya hiyo taasisi ya Texas, lakini kuna watu wanamuona maimuna, hamnazo, ila wao ndio wanajua!! Makubwa, na sijui bwana haya mambo tutayatatuaje. Tatizo la roho mbaya na wivu hauna tiba, dawa yake ni kuchapa kazi tu, acha hao wenye roho za sebuleni waendelee kukuzodoa, shauri zao!
Mtanzania,
Kuliko kubabaisha vyema kutofanya lolote!
mioyo 1800 tangu 1997 - 2000; very possible; I attended several heart attack victims (myself as a patient); real in a day that group of Doctors used to attend (Surgery) about 20 more patients; but such operation differ, either bypass, adding a pace maker etc etc!
Kwa suala la Dr. Masau, such a shining examples of motivated doctors; if i was a Government official responsible for this issue, i cud have taken a fair solution discussing issues to solve differences and make something constructive come out!
Sijui kwenye serikali hawa watu wame-discuss vipi na Dr Msau, lakini mie naona issue hii siyo problem ni license; the guy is a real professional who can be utilized!!
Mimi nipo hapa Texas kwa miaka 11. Watanzania wenzangu ukweli ni kwamba Dr. Massau anasema ukweli na malumbano ya utalaamu wake hayana msingi. Kama mnataka kuzungumzia mambo mengine sawa lakini ukweli ni kwamba huyu jamaa kabobea na mimi namfahamu kwa miaka yote hapa Texas na familia yake.
Tatizo dogo alilonalo ni la kitabia, ni mbinafsi kidogo na kitu hicho ndicho kibaya tu ambacho nimekiona. Siyo mfisadi na hapendi makuu kwenye maisha na si mtu wa kujilimbikizia pesa lakini ni mbinafsi na hilo si siri. Iliuweze kufanya udoctor binafsi unahitaji kufanya mitihani na kufanya hospitali ili upate Residency lakini kama hutafanya kazi marekani haina maana kwani kila nchi inasheria tofauti. Kwa ufupi watu wanaojaribu kusema Dr Massau hajasoma au si muhitimu ni kichekesho kwani ukienda Texas Medical Cnt ambayo ni kubwa kuliko zote duniani na kuuliza Dr Massau kwa madaktari wengine wanamjua na ukifanya kazi hapo na ni Mtanzania wanakuuliza kama unamjua Masau. Msemeni kwa mangine lakini education na qualification mtachemsha na kuonekana wajinga na washabiki.
Kitila Mkumbo,Mwanakijiji,GT,Kuhani,Maumau,.....
..of course ingekuwa vizuri sana kama Dr.Masau angerudi na licence ya ku-practice USA.
..pia naona hakuna anayeulizia kama alipata licence ya ku-practice China. hapa utajua kuna watu wana malengo yao zaidi ya uwezo na usomi wa Dr.Masau.
..pia kuna anayefahamu Madaktari wasiokuwa na leseni, au Madaktari wanafunzi, kama alivyokuwa Dr.Masau USA, wanapata mafunzo ya namna gani ktk hiyo Program aliyokuwa enrolled.
..ninavyoelewa mimi Madaktari waliohitimu nje ya nchi wanaporudi nyumbani hulazimika kuonyesha VYETI vya kuhitimu, siyo LESENI za kufanya kazi huko walikosomea.
..nashauri tujielekeze ktk kutafuta njia ya kutumia ujuzi aliokuwa nao Dr.Masau. kuna mabingwa wengi tu pale Muhimbili ambao wamehitimu ngambo lakini hawana leseni za ku-practice huko walikohitimu.
Kitila Mkumbo,Mwanakijiji,GT,Kuhani,Maumau,.....
..of course ingekuwa vizuri sana kama Dr.Masau angerudi na licence ya ku-practice USA.
..ninavyoelewa mimi Madaktari waliohitimu nje ya nchi wanaporudi nyumbani hulazimika kuonyesha VYETI vya kuhitimu, siyo LESENI za kufanya kazi huko walikosomea.
.
GT,
..hii iachwe hapa hapa kwasababu ime-base solely ktk kuangalia vyeti na uzoefu wa kitaalamu wa Dr.Masau.
..hii thread inatokana na majibu "rasmi" ya Dr.Masau kuhusu qualifications zake.
..ile thread nyingine ni msitu mkubwa wa malumbano yasiyokuwa na msingi.