Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Mbagala hakuna kiwanja cha 5mil hata chamazi sasa hivi hakuna kiwanja cha 1.5mil.Chanika 1.5ml
Chamazi 1.5ml
Mbagala 5.0ml
Goba 30ml
Boko 50->ml.
Sqm ~600.
Frem kupanga rangi tatu kwa ajili ya biashara laki tano kwa ufupi sikuamini mpaka nilipoona Mtu anasaini Mkataba wa Mwaka kwa Milioni sita .Mbagala hakuna kiwanja cha 5mil hata chamazi sasa hivi hakuna kiwanja cha 1.5mil..
Kwa sasa mbagala hauwezi kupata kiwanja labda ununue nyumba ubomoe
Rangi 3 kuna mzunguko mkubwa sana wa biashara, frame kuwa 500k kwa mwezi ni sawa kabisaFrem kupanga rangi tatu kwa ajili ya biashara laki tano kwa ufupi sikuamini mpaka nilipoona Mtu anasaini Mkataba wa Mwaka kwa Milioni sita .
Maisha yanaenda mbio sana
Sasa jiulize .Ukabaji wa Boko magengeni umeisha lini.Jamaa ni mfanya biashara kariakoo,complains zake ni kila siku alikuwa anavamiwa na wezi,so he decides to shift to Boko!
Rangi 3 kuna frem mpaka za mil 1Frem kupanga rangi tatu kwa ajili ya biashara laki tano kwa ufupi sikuamini mpaka nilipoona Mtu anasaini Mkataba wa Mwaka kwa Milioni sita .
Maisha yanaenda mbio sana
Uko sahihi mkuu,that could be a puzzle?Sasa jiulize .Ukabaji wa Boko magengeni umeisha lini,
Jiulize Panya road Kawe Mzimuni jekule ni mbagala
Je kule Kunduchi Panya road ni Mbagala? Swali Panyaroad kule Tebata ni Panya Road ? Upanyaroad kule Macongo ni Mbagala.
Kwa Hali ya Dar es salaam kila Wilaya inayo Maisha bora na hovyo hovyo hakuna anayeweza kusema Wilaya Ipo best.
Nimekulia kinondoni Toka mwaka 1992 naijua DAR ndani-nje watu wengi wanadharau mitaa tunayoishi ya mbagala bila kujua undani wake na ukiona MTU anaponda mitaa yetu ya mbagala ujue hiyo ni WAKUJA HAPA MJINI...Nimeweka kwa sababu nimesema najibu hoja za uzi ule Nikimaanisha mpaka comments sasa kwenye uzi haikusemwa mbagala pekee yake watu wamesagia kunguni kuwa Temeke nzima ukijumlisha Yombo na Buza ni sehemu za hovyo na kuzisifia Goba ,kimara na Madale sasa nimekuja kuwaprove wrong.
Naishi mbagala chamazi mkuu huku nimejenga Toka Toka 2013 na siwezi kwenda kuishi wilaya nyingine zaidi ya temeke hasa huku mbagala..nafurahia Sana maisha yetu ya chamazi huwa nikienda mitaa yangu ya zamani kinondoni wanakuta ndugu zangu hasa wajomba zangu na mama zangu wadogo jinsi walivyochoka ni sifa Tu za kuishi kinondoni kwenye nyumba zao za urithi tena zimechoka.Rangi 3 kuna frem mpaka za mil 1
Mbande kuna frem za laki 6
Hii kama noma Anyway haya[emoji3][emoji2]Nimekumbuka uzi wa KidukuLilo kwenye kikao chake na matajiri USA akaonyesha picha za mijengo yake Masaki , Ostabei na Posta na kuwaambia nchini kwao huko ndiko kuna wanakaa matajiri rafiki zake walihuzunika mno na kulia kuwa Tanzania kuna maisha magumu mno.
Sasa unakuta Jf mtu yupo kimara sijui ,Goba nk kuna maji shida ,usafiri shida anajiona yupo NewYork inasikitisha sana..
Hata Reginald Mengi alikiri kulala na mbuzi na Ng'ombe nyumba mojaWengi wao ni wale waliotoka mikoani na magari ya ng'ombe wametembea sehemu mbili tatu au usikute hajawahi kufika mbagala kabisa wanakuja kuleta ujuaji wa kijinga.
Wengine walikuwa wanalala pamoja na mifugo sasa sijui wanatoa wapi guts za kuisema vibaya mbagala.
Mbagala ya miaka 90 sio hii ya sasa
Bill Lugano my brother I miss you. Ngoja nikupigie simu, nimeona private jet yako ile mpya Gulf Stream imeegeshwa, najua tu upo nchini kwa mapumziko kidogo. Let me holla at youNimekumbuka uzi wa KidukuLilo kwenye kikao chake na matajiri USA akaonyesha picha za mijengo yake Masaki , Ostabei na Posta na kuwaambia nchini kwao huko ndiko kuna wanakaa matajiri rafiki zake walihuzunika mno na kulia kuwa Tanzania kuna maisha magumu mno.
Sasa unakuta Jf mtu yupo kimara sijui ,Goba nk kuna maji shida ,usafiri shida anajiona yupo NewYork inasikitisha sana..
Hilo Swala halihitaji akili kubwa,eneo linaweza kupanda thamani kutokana na mipango,vitegauchumi,sera za serikali,Tanga Mtwara zote Zina bahati lakini mbona ni Dar ndio imeendelea sana(inachangia 80% kwenye Pato la nchi).Habari za muda huu wana Jf , nimeona na kusoma comments zote za uzi wa Retired wenye kichwa cha habari " Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?
Nilichogundua watu wamekosa umakini kwa kiwango kikubwa watu wengi wanajadili bila facts na porojo nyingi sasa nimejipanga kujibu baadhi ya hoja nilizoziona haziko sahihi na za upotoshaji wa kiwango kikubwa katika uzi ule humu maana imezidi mno kuna watu wamefikia kusema eti wali kwa mama Ntilie unapata kwa Tsh 500/= .
Mimi ni mkazi wa Dar kwa kuzaliwa na kusoma Dar kuanzia awali mpaka form Six ,ndugu na marafiki zangu wengi wametapakaa sehemu mbalimbali za jiji la Dar hali hiyo imenifanya nitembelee na kuishi sehemu nyingi mbalimbali za jiji la Dar kuanzia wanapopoita ushuani mpaka uswahilini hivyo niko well informed na jiji la Dar kama mtani wangu GENTAMYCINE Temeke ,Yombo yote vituka kiwalani na Buza hapo ndio maskani kabisa bila kusahau Mbagala ,Chamazi na mbande ,Upanga ,Tandale nk
Kwa vile naelekea msibani sasa maeneo ya Yombo nina ahidi mida ya usiku panopo majaaliwa nitaleta uchambuzi na kujipu hoja za upotoshaji katika uzi ule maana kuna watu wameletwa Dar na magari ya ng'ombe wametembea maeneo mawili lakini kwenye ID fake wao wajuaji wa kila kitu sasa naomba tukutane katika uzi huu baadae kwa hoja na ushahidi bila blah blah .View attachment 2376724
View attachment 2376726z
#UziUtaeendelea
Ulishawahi kumsikia mengi akitoa kashfa kwa watu fulani?Hata Reginald Mengi alikiri kulala na mbuzi na Ng'ombe nyumba moja
Haohao waliotoka kulala na ng'ombe walisafiri na Ng'ombe mpaka Dsm kisha wakaja kununua maeneo yenu na kuwekeza kisha wakawaajiri ninyi waswahili
Sasa ninyi mmebakiwa na maneno mengi na majungu tu [emoji23]
Mimi mwenyewe nyumbani ni mwenge baada ya kuona fursa nimehamia mbagala mbande wale jamaa zangu niliowaacha mwenge sasa hivi wapo wapo wanapiga day works maduka ya nguo sio kwamba hawajasoma wamesoma vzr tu ila bado wana mentality mbovu kuhusu mbagala.Naishi mbagala chamazi mkuu huku nimejenga Toka Toka 2013 na siwezi kwenda kuishi wilaya nyingine zaidi ya temeke hasa huku mbagala..nafurahia Sana maisha yetu ya chamazi huwa nikienda mitaa yangu ya zamani kinondoni wanakuta ndugu zangu hasa wajomba zangu na mama zangu wadogo jinsi walivyochoka ni sifa Tu za kuishi kinondoni kwenye nyumba zao za urithi tena zimechoka.
Fusra za maisha zilizopo mbagala hauwezi kufananisha na sehemu nyingine hapa Tanzania
Kuna mwamba anaishi buza ana landcruiser,BMW,landrover discover,pembeni terous,Noah,hilux,gorofa magari ya biashara ndo usiseme.Ninachojua kuna Watu wana Maisha mazuri wanaishi huko Mbagala Kunakodharaulika kuliko hata Waishio Oysterbay, Masaki, Mikocheni, Upanga, Kijitonyama, Mbezi Beach, Goba, Sala Sala, Kigamboni, Tegeta na Mbweni.
tunakusbir mtetezi wanaishusha hadhi sana mbagala au TexasHabari za muda huu wana Jf , nimeona na kusoma comments zote za uzi wa Retired wenye kichwa cha habari " Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?
Nilichogundua watu wamekosa umakini kwa kiwango kikubwa watu wengi wanajadili bila facts na porojo nyingi sasa nimejipanga kujibu baadhi ya hoja nilizoziona haziko sahihi na za upotoshaji wa kiwango kikubwa katika uzi ule humu maana imezidi mno kuna watu wamefikia kusema eti wali kwa mama Ntilie unapata kwa Tsh 500/= .
Mimi ni mkazi wa Dar kwa kuzaliwa na kusoma Dar kuanzia awali mpaka form Six ,ndugu na marafiki zangu wengi wametapakaa sehemu mbalimbali za jiji la Dar hali hiyo imenifanya nitembelee na kuishi sehemu nyingi mbalimbali za jiji la Dar kuanzia wanapopoita ushuani mpaka uswahilini hivyo niko well informed na jiji la Dar kama mtani wangu GENTAMYCINE Temeke ,Yombo yote vituka kiwalani na Buza hapo ndio maskani kabisa bila kusahau Mbagala ,Chamazi na mbande ,Upanga ,Tandale nk
Kwa vile naelekea msibani sasa maeneo ya Yombo nina ahidi mida ya usiku panopo majaaliwa nitaleta uchambuzi na kujipu hoja za upotoshaji katika uzi ule maana kuna watu wameletwa Dar na magari ya ng'ombe wametembea maeneo mawili lakini kwenye ID fake wao wajuaji wa kila kitu sasa naomba tukutane katika uzi huu baadae kwa hoja na ushahidi bila blah blah .View attachment 2376724
View attachment 2376726
#UziUtaeendelea
Tuko pamoja Saanaa jirani yangu karibu Sana chamaziMimi mwenyewe nyumbani ni mwenge baada ya kuona fursa nimehamia mbagala mbande wale jamaa zangu niliowaacha mwenge sasa hivi wapo wapo wanapiga day works maduka ya nguo sio kwamba hawajasoma wamesoma vzr tu ila bado wana mentality mbovu kuhusu mbagala.
Wanadhani mbagala ya miaka hiyo ndio hii hii ya leo, mbagala imejitosheleza kwa kila kitu % kubwa mahitaji yote watu wanamaliza mbagala hawaendi k/koo ....
1-stend kubwa kabisa ya mwendo kasi ipo mbagala
2-branches zote za bank zipo mbagal
3-Mzunguko wa pesa mbagala ni mkubwa kuliko mbezi,goba,kimara,mwenge,ubungo,sala sala
4-miundombinu bora kabisa umeme,maji,huduma za afya
5-ni rahisi zaidi kufika ktk ya mji
6-tuna kiwanja bora kabisa cha mchezo cha azam