lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,479
Jitoe ufaham Tu [emoji1]
Mbagala ni uswazi na hakuna ustaarabu kuanzia majumbani Hadi kwenye daladala.
Nenda Mbezi ya Kimara pale stand halafu nenda stand ya Mbagala usipoona utofauti WA ustaarabu basi utakuwa na akili haziko timamu!
Mbagala ni pa hovyo Acha nyie wazawa na wazaramo mkae huko Ila sisi wahamiaji Bora tukakae Morogoro kuliko Mbagala
Mbagala ni uswazi na hakuna ustaarabu kuanzia majumbani Hadi kwenye daladala.
Nenda Mbezi ya Kimara pale stand halafu nenda stand ya Mbagala usipoona utofauti WA ustaarabu basi utakuwa na akili haziko timamu!
Mbagala ni pa hovyo Acha nyie wazawa na wazaramo mkae huko Ila sisi wahamiaji Bora tukakae Morogoro kuliko Mbagala