Majibu ya Rais Samia Suluhu hata Kama yangekuwa uongo lakini Yanaridhisha

Sasa mbona unang'nga'niza wawe na bidhaa moja tu?!
Bakheresa mwenye bidhaa za juice, ice cream, hotel, unga na media biashara yake sio sustainable ?


Mkuu wapi nimeng'ang'aniza?
Nimekuambia waweke bidhaa zenye soko Kwa wateja wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…