Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
Nifanyie wepesi u scan kwa camscanner unitumie
😃😃😃
Unazingua ujue
Kitabu kinakurasa zaidi ya 200 niki-scan??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifanyie wepesi u scan kwa camscanner unitumie
Ili ukome kushabikia ujinga, aliyekuwekea tozo mshahara wake haukatwi kodi wala hajui bei ya bidhaa sokoni ikojeTozo ni suala la kikatiba?
Hajui bei ya bidhaa sokoni? Kwamba yeye anapewa bidhaabure?Ili ukome kushabikia ujinga, aliyekuwekea tozo mshahara wake haukatwi kodi wala hajui bei ya bidhaa sokoni ikoje
Ukweli halisi unathubutu kuuita uhuni, chadomo jifunzeni kuelewa mambo kwa kina dhana ya ukaidi na ubishi na kujifanya kujua sana kana kwamba mna akili nyingi sana mnajidanganya sana wajukuu zangu tunakuangalieni tu kwa macho yetu manne nyinyi vijana wa Djs na kazi ya Dj ni moja tu kupigisha disco kule mlio wengi mnakata tu mauno.
Kwa hiyo madai yenu ya katiba ni kwa ajili ya tume ya uchaguzi tu?
Ukishaingia madarakani kwa wizi wa kura, automatically ww sio muadilifu.Marais waadilifu ni kina nani?? Ni nini kinakuonyesha tulienae sio muadilifu?? Atapatikanaje huyo muadilifu?? Ni lazima huyo muadilifu atoke Chadema??
Unasemaje juu ya watu ambao wako tayari na tozo hizi ili kuipa serikali yao pato kufanya mambo mazuri zaidi ?
Sisi Watanzania bado sana. Sijui kwa nini tuna akili hizi?Naungana nawe keama wanaodai Katiba mpya waanze na yanayowagusa watu wengi.
Madai ya Katiba mpya ni dhana potofu ya wanasiasa, wenye uchu wa madaraka, kwa kuamini kuwa itawapa uwanja mpana wa kuingia madarakani.
Kwenye Katiba iliyopo sijaona kifungu kinachominya Demokrasia, Haki na Uhuru nchini. Kama kipo naomba wadai Katiba mpya wakitaje
Huu ndio ukweli.
CCM hawaringii polisi wala Tume ya Uchaguzi, wanachoringia ni kuwa na UPINZANI DHAIFU SANA.
Yaorodheshe hapa tuone kama yana mantiki ili tukuunge mkonoHiyo ni sehemu tu. Una jingine kwa msaada zaidi?
Tatizo lako ni ujinga! Au upumbavu ndio umekujaa!We mpuuzi utajua wapi unaishi kwa shemeji yako? kwa hiyo Ikulu wanatumia mshahara wa Rais?
Mkuu umepiga nyundo balaaKatika Rais ambaye sitaweza kumsimulia kwa watoto na wajukuu Basi Ni JPM,huyu alifanya ya kipumbavu katika nchi.,kwani aliteka, alifilisi watu,aliua,alitesa,alifunga, alifanya Kila ovu katika uso wa dunia,alidhurumu haki za wafanyakazi,HAKUNA SHERIA hata moja ilitungwa kwa Nia njema kwa raia wake,lakini mbali ya yote hayo kuyafanya huwa nasema M/MUNGU anasababu za msingi kumtwaa mje wake.Leo mama SSH Anakuja kivingine anauma na kupuliza, madaraja kwa watumishi amepandisha,Ila demokrasia anaanza kuijaribu kuivuruga.SSH wewe Ni mzanzibar wabara tumekupa nafasi ya kutuongoza hivyo usituvurugie nchi kwani hatuna nyumbani zaidi ya tanganyika.mbowe hawezi kuwa Gaidi hivyo tunakuomba aachiwe bila sharti lolote,leo upo madarakani Ila kesho ipo utakapokuwa raia wa kawaida hutaamini macho yako.kifo Cha mwendazake lazima kiwe mawaidha kwako mh SSH.
Hakuna haja ya wao kujiandikisha kwa sababu tayari wanakatwa.Wajiandikishe ili wakatwe hizo tozo.
Basi nipe utaratibu wapi naweza kidaka😃😃😃
Unazingua ujue
Kitabu kinakurasa zaidi ya 200 niki-scan??
Ndio mana nasema iliyopo inafaa mana hata mimi inanigusaHujui Katiba inagusa mtu mmoja mmoja?
Nani anayelizungumzia,? Tundu Lissu Au Mbowe?Tatizo la tozo linamgusa kila mtu, mbona halirekebishwi?
Hakuna haja ya wao kujiandikisha kwa sababu tayari wanakatwa.
SureHuu ndio ukweli.
CCM hawaringii polisi wala Tume ya Uchaguzi, wanachoringia ni kuwa na UPINZANI DHAIFU SANA.
mkuu samahani naomba nikuulize hiviunadhani nani anafaa kuwa rais ambaye unamuonani mkamilifu kabisa ?Wote wanaomsifia Samia ni Kwa sababu ya udini and nothing else , wanajaribu kumkingia kifua agombee tena 2025 japo indicator zinaonyesha worst to come!!! Kama nilimpinga Jiwe , sina cha kumsifia SSH madam Yale ya Maghufuli anayaendeleza Kwa udhabiti zaid