Majibu ya Rais Samia Suluhu hata Kama yangekuwa uongo lakini Yanaridhisha

Majibu ya Rais Samia Suluhu hata Kama yangekuwa uongo lakini Yanaridhisha

Naungana nawe keama wanaodai Katiba mpya waanze na yanayowagusa watu wengi.

Madai ya Katiba mpya ni dhana potofu ya wanasiasa, wenye uchu wa madaraka, kwa kuamini kuwa itawapa uwanja mpana wa kuingia madarakani.

Kwenye Katiba iliyopo sijaona kifungu kinachominya Demokrasia, Haki na Uhuru nchini. Kama kipo naomba wadai Katiba mpya wakitaje
Mimi binafsi nilihoji toka mwanzo kwamba mnataka katiba mpya ili iweje?

Sijawahi pata majibu toka kwa machadema
 
Mpaka sasa hivi watanzania bado hamjui mnataka nini.

Wakati huu watu wanamsifia magufuli ambae walimpinga sana,lakini sasa hivi watu wanamsifia kwa misimamo yake hasa kuhusu chanjo.

Tehehehhe ndio maana simsikilizi mpuuzi yeyote anaejaribu kuniaminisha na kunilisha mabaya dhidi ya raisi yeyote yule.
Tuko pamoja mkuu!

Binafsi utawala wa JK na Magu umenifundisha mambo mengi sana kuhusu watz na sasa hivi hakuna mbwa yeyote ataniambia kitu nimsikilize! Ntatumia akili zangu.
 
Rais kuchagua viongozi wa tume ya uchaguzi wakati hatuna marais waadilifu. Matokeo yake tume ya uchaguzi inafanya atakavyo rais. Na udhaifu huu tumeushuhudia kwa macho yetu.
Kwa hiyo madai yenu ya katiba ni kwa ajili ya tume ya uchaguzi tu?
 
Tuko pamoja mkuu!

Binafsi utawala wa JK na Magu umenifundisha mambo mengi sana kuhusu watz na sasa hivi hakuna mbwa yeyote ataniambia kitu nimsikilize! Ntatumia akili zangu.


Nawe Kama hukuwajua Watz, je nikuite Mpumbavu??
 
Ukweli halisi unathubutu kuuita uhuni, chadomo jifunzeni kuelewa mambo kwa kina dhana ya ukaidi na ubishi na kujifanya kujua sana kana kwamba mna akili nyingi sana mnajidanganya sana wajukuu zangu tunakuangalieni tu kwa macho yetu manne nyinyi vijana wa Djs na kazi ya Dj ni moja tu kupigisha disco kule mlio wengi mnakata tu mauno.
Achane nae huyo!

Mwanzo alimdemkia sana Samia, sasa hivi akiona haya yanayotokea anachanganyikiwa.
 
Poweplay .
Kawapa kitu kingine cha kuwa keep busy badala ya makelele ya katiba mpya now..

Sasa watakuwa busy 'free Mbowe now'..
Until further notice


Upinzani hawana Agenda wanayoipigania.

Ni Kama ngedere anayerukia Tawi hili na hili

Kama wangekuwa na Agenda moja wakaipigania mpaka ikakamilika huenda wangekuwa mbali.

CCM wanachoringia ni kuwa na Upinzani dhaifu sana
 
Poweplay .
Kawapa kitu kingine cha kuwa keep busy badala ya makelele ya katiba mpya now..

Sasa watakuwa busy 'free Mbowe now'..
Until further notice
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upinzani hawana Agenda wanayoipigania.

Ni Kama ngedere anayerukia Tawi hili na hili

Kama wangekuwa na Agenda moja wakaipigania mpaka ikakamilika huenda wangekuwa mbali.

CCM wanachoringia ni kuwa na Upinzani dhaifu sana
Sasa kama watu waliacha shughuli zao zote wakaanza kupambana kusaini petition ili Diamond atolewe kwenye tuzo za BET hao watu wana akili kweli?
 
Mpaka sasa hivi watanzania bado hamjui mnataka nini.

Wakati huu watu wanamsifia magufuli ambae walimpinga sana,lakini sasa hivi watu wanamsifia kwa misimamo yake hasa kuhusu chanjo.

Tehehehhe ndio maana simsikilizi mpuuzi yeyote anaejaribu kuniaminisha na kunilisha mabaya dhidi ya raisi yeyote yule.
Walimtukana sana JK, alipotoka madarakani wakmshangilia weeeee huku wakumvurumishia matusi JPM, sasa amekufa wanaanza kumsifia na kumtukana Mama Samia. Akiondoka akija mwengine muendelezo ni ule ule tu.
 
Unasifia ujinga, Samia kajibu kiwepeiwepesi tu, yaani kapalazapalaza

Wewe unaulizwa haki za mikutano ya kisiasa ya vyama wewe unajibu kuhusu vikao vya ndani vya vyama,
Vikao vya ndani vya vyama ni vya mipango ya namna ya kwenda site kwa wananchi ili kuhuisha chama, na kuvuna wanachama

Isitoshe sheria ya vyama inavipa vyama haki ya kufanya mikutano ya hadahara ya kisiasa, halafu wewe kirahisirahisi unakataza tu, hayo mamlaka ya kukataza mikutano ya hadhara ya kisiasa iliyoko kiheria unaipata wapi?
 
Samahani mzee, naona hujavaa miwani yako ya kusomea, hivyo hujaweka nukta wala koma. Mtafute mjukuu wako akusaidie kuhariri huu uhuni ulioandika hapa.
Hoja kwa hoja, hoja kwa hoja mkuu na wala sio matusi!

Naomba kukumbusha
 
Rais kuchagua viongozi wa tume ya uchaguzi wakati hatuna marais waadilifu. Matokeo yake tume ya uchaguzi inafanya atakavyo rais. Na udhaifu huu tumeushuhudia kwa macho yetu.
Marais waadilifu ni kina nani?? Ni nini kinakuonyesha tulienae sio muadilifu?? Atapatikanaje huyo muadilifu?? Ni lazima huyo muadilifu atoke Chadema??
 
Poweplay .
Kawapa kitu kingine cha kuwa keep busy badala ya makelele ya katiba mpya now..

Sasa watakuwa busy 'free Mbowe now'..
Until further notice
Her excellency is very smart.

Just the timing of the interview itself hahaha.
 
Back
Top Bottom