Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nani anayelizungumzia,? Tundu Lissu Au Mbowe?
Sisi wenyewe tumelizungumzia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anayelizungumzia,? Tundu Lissu Au Mbowe?
Tatizo mnalazimisha watanzania wote waende na hii ajenda ya katiba mpya ukweli ni kwamba ... muda bado wa kuwa na katiba mpya ukifika hakutakua na haja ya kutumia nguvu nyingi.
Kuna matatizo kweli ambayo wanaweza wakayajadili na wakatengeneza ground-base kutaka kuaminisha watz kua kila tatizo ni kwasababu ya katiba mbovu hata kama ni kweli it will take time mpka tuelewe anzeni na ambayo yanamgusa kila mtu moja kwa moja
Pengine wapo walioridhia na pengine wapo ambao hawajaridhia na wala kukubaliana na hali.Wanakatwa kwa ridhaa yao?
Pengine wapo walioridhia na pengine wapo ambao hawajaridhia na wala kukubaliana na hali.
Hivyo suala libaki kila mtu ajisemee mwenyewe,kama mimi nimeshakubaliana na hali
We jamaa naona umeandika kutokana na mahaba yako au ndio mwisho wa uelewa wako ukiangalia kiundani yale mahojiano yameacha maswali mengi kuliko majibu. Pia yameonyesha namna uongozi tuliona unavyoyachukulia mambo yeye maslahi ya kitaifa katika mtazamo finyu, nikiongelea kwenye hizo point zako mbili ulizochukua÷suala la mikutano ya kisiasa na suala la kukamatwa kwa MboweAssalamu Aleykum
Nimemsikia Mhe. Rais, Mama Samia Suluhu akiwa anahojiwa na Mwandishi, Salimu Kikeke. Kwa kweli Maswali yamejibiwa vizuri Sana.
Nafahamu Siasa zilivyo, nafahamu mambo ya kiutawala Kwa kiasi kidogo, Kwa majibu ya Rais Samia ni wazi amejibu kwa kiwango cha juu mno.
Ingawaje amejibu kirahisi sana karibu maswali yote lakini majibu yake yalikuwa yanafungua majibu ya baadhi ya maswali ambayo angeulizwa Mbele.
Hata Kama Samia atakandiwa na mahasimu wake kuwa amejibu Kama mjinga, au ameongea uongo, au vyovyote watakavyo mwambia lakini ukweli ni kuwa amejibu Kwa kiwango kizuri cha juu kabisa. Kama ni uongo basi ni ule uongo unaoridhisha kabisa.
SSH moja ya majibu yake, hasa kwenye mikutano ya Kisiasa ameniongezea Jambo jipya ambalo nikiri kuwa sikuwa nalifahamu.
Jambo Hilo ni kuhusu Katiba ya Vyama vya Kisiasa ambapo ndani yake kuna vipengele vinavyoelezea idadi ya vikao na mikutano Kwa mwaka ambayo Chama kitapaswa kikae.
Mikutano hii Kwa vile IPO kikatiba(ya kila chama kulingana na Chama) ikiitishwa haina haja ya kuomba kibali Kwa polisi.
Hii Kwa kweli sikuwa nafahamu.
Kwa maelezo yake Kama nitakuwa nimekuelewa Sawia, alikuwa anamjibu Kikeke kuwa, Mikutano au vikao vya kichama inaruhusiwa ikiwa vimeorodheshwa ndani ya Katiba. Na Kama havijaorodheshwa basi sharti kuwepo na Kibali kutoka Polisi.
Kwa mujibu wa maelezo ya SSH anajaribu Kueleza kuwa baadhi ya Vyama vya Upinzani hutaka kufanya mikutano hovyo hovyo hata Kama vikao/mikutano hiyo haipo kikatiba(Katiba ya chama husika) na pia hawajaomba Kibali polisi.
Nikiri kuwa sikujua Jambo Hilo. Na niliona Wapinzani wanaonewa lakini Kama ni hivyo basi nilikuwa sipo Sahihi.
Lakini Kama SSH anadanganya basi Wanasheria mtanieleza kuhusiana na hoja hiyo aliyoisema Mhe. Rais.
Kuhusiana na Kesi ya Mbowe, siwezi elezea lolote isipokuwa naiachia Mahakama, ingawaje maswali ninaweza kuwa nayo, mathalan, iweje Mbowe akamatwe kipindi hiki akidai Katiba mpya na sio kipindi cha nyuma?
Ingawaje SSH ameeleza kana kwamba Tayari kulikuwepo na mchakato wa kesi hiyo na ndio maana Mbowe amejiingiza katika kudai Katiba mpya kujikinga na mshale wa kesi hiyo.
Yote tisa, mwisho ni majibu ya Mhe. Rais ni mepesi Sana lakini Yanaridhisha mno kiasi kwamba hata muulizaji anajikuta maswali mengine aliyonayo kichwani yanayeyuka.
Muhimu:. Tunataka Katiba Mpya Kwa kizazi kipya.
Ishu ya Katiba si suala la kiongozi kuamua liendelee ama liendelee. Ni takwa la kizazi kipya.
Taikon wa Fasihi
Turiani, Mvomero
Sawa mimi najibu hoja sijibu tuhuma.Ww ni mfaidika wa hizi tozo kandamizi, hivyo huwezi kuacha kuridhika.
Nasubiri ufafanuzi wa kuthibitisha hoja yako hiyo kwa ushahidiSisi Watanzania bado sana. Sijui kwa nini tuna akili hizi?
Sawa mimi najibu hoja sijibu tuhuma.
Interview ya Salim Kikeke na Samia jana imefanya mambo makuu manne yafuatayo:
1.Imemfunua Samia ni nani,anataka nini na ana mpango wa kuifanyia nini Tanzania.Imemfunua kuwa ni dikteta muoga na asiejiamini.
2.Imemshusha Salim Kikeke kupindukia.
3.Imeumiza image ya BBC.
4.Imedhalilisha waandishi wa habari.
Kama kuna sehemu nilidai basi naam mimi ni waziriWw ni waziri wa fedha?
Upinzani hawana Agenda wanayoipigania.
Ni Kama ngedere anayerukia Tawi hili na hili
Kama wangekuwa na Agenda moja wakaipigania mpaka ikakamilika huenda wangekuwa mbali.
CCM wanachoringia ni kuwa na Upinzani dhaifu sana
Kuna tatizo gani upinzani wakiwa na agenda zaidi ya moja wanazozipagania katika nchi?
Upinzani hauwezi kupigania agenda ya katiba mpya, uhuru wa habari na tozo za miamala ya simu kwa pamoja?
HuelewekiSijakataa.
Ila wapiganie chenye soko si unajua Siasa pia ni Kama biashara
Na wewe unampinga SSH kwasababu siyo dini yako ?Wote wanaomsifia Samia ni Kwa sababu ya udini and nothing else , wanajaribu kumkingia kifua agombee tena 2025 japo indicator zinaonyesha worst to come!!! Kama nilimpinga Jiwe , sina cha kumsifia SSH madam Yale ya Maghufuli anayaendeleza Kwa udhabiti zaid
Hivi wewe ukoje, tangu lini majibu ya uongo yakaridhisha? Au ni yale mambo ya Zanzibar kuwa tumefungwa lakini chenga tumewala? Acheni uswahili simamia haki wewe.Unaweza kuwa sahihi, ndio maana nikasema hata Kama ni uongo lakini unaridhisha
Hivi wewe ukoje, tangu lini majibu ya uongo yakaridhisha? Au ni yale mambo ya Zanzibar kuwa tumefungwa lakini chenga tumewala? Acheni uswahili simamia haki wewe.
Hueleweki
Kila kitu duniani ni Kama biashara tuu.
Angalia soko linahitaji nini ili Biashara iwe sustainable