Majibu ya Serikali Kuhusu Vitambulisho vya NIDA Vyenye Ukomo na Visivyo na Ukomo

Majibu ya Serikali Kuhusu Vitambulisho vya NIDA Vyenye Ukomo na Visivyo na Ukomo

Na hivi vitambulisho vinavyo expire baada ya miaka 10 maana yake ni nini, kwamba mtu ana expire kuwa raia au uraia wenyewe ndo unao expire? wajuvi tieni neno.....
 
kugawa tu hawajamaliza, alaf wanavipa expire date, [emoji23] au wanajua tanzania nzima tunavyo?
 
ID,ina number na hiyo number ndio jina lako ambalo serikali yako imekupa ,sasa itakuaje jina liwe na ukomo?hii ni shithole country yenye ukomo wa jina,ID number unazaliwa nayo na kufa nayo, Tanzania tumechelewa sana ,inabidi tuanze upya na tuanze na watoto wanaozaliwa, kila mtoto kabla hajawa discharged ni lazima awe na birth certificate yenye number, na number hii lazima iongee kwenye systems nzima ya nchi
Mi hapo ndio panapo nichanganya, unawekaje expire date kwenye kitambulisho cha Taifa?

Faida yake ni nini haswa?
 
Mpuuzi kweli wewe kwani tunavyo apply vyuo binafsi au tunapoomba visa na scholarship huko nje hatujazi hizo taarifa? In fact hata benki Zina access ya taarifa za NIDA mfano CRDB wamewahi niprintia copy ya NIDA sababu Wana access system ku retrieve taarifa zangu. Sasa kama CRDB Wana access taarifa Kuna Nini Cha ajabu wakapewa private sector kuprint.

Kumbuka hata hiyo mifumo ya NIDA imetengenezwa na kampuni za huko nje na ndio wanafanya hata maintenance ya system. Sasa kama mabeberu wanatutengenezea mifumo ndio sembuse washindwe kuihack kama wanataka taarifa?

Karatas za uchaguzi tu za kuamua Rais tunaprint nje, mitihani ya taifa tunaprint nje, silaha za kivita na ndege za serikali, material ya Noti za BOT zote zinaagizwa nje Tena kwa private companies ndio sembuse kitambulisho tu?

Kama huna unalojua Bora ukae kimya tu.
Unataka nikujibu upuuzi?
 
ID,ina number na hiyo number ndio jina lako ambalo serikali yako imekupa ,sasa itakuaje jina liwe na ukomo?hii ni shithole country yenye ukomo wa jina,ID number unazaliwa nayo na kufa nayo, Tanzania tumechelewa sana ,inabidi tuanze upya na tuanze na watoto wanaozaliwa, kila mtoto kabla hajawa discharged ni lazima awe na birth certificate yenye number, na number hii lazima iongee kwenye systems nzima ya nchi
Vitambulisho vyote duniani vina muda wa ku-expire. Narudia tena: vitambulisho vyote duniani vina muda wa ku-expire na inabidi mmiliki a-renew apate kipya. Huwezi kumpa mtu kitambulisho anapokuwa na miaka 18 halafu akitumie maisha yake yote. Watu hubadilika sura na data nyingine muhimu.
 
Vitambulisho vyote duniani vina muda wa ku-expire. Narudia tena: vitambulisho vyote duniani vina muda wa ku-expire na inabidi mmiliki a-renew apate kipya. Huwezi kumpa mtu kitambulisho anapokuwa na miaka 18 halafu akitumie maisha yake yote. Watu hubadilika sura na data nyingine muhimu.
Upumbavu mkubwa, ID ya SA ina time limit?,ID ya Namibia ina time limit?,Botswana nayo?au niendelee na mifano, middle class wa kitanzania wengi ni zero
 
Upumbavu mkubwa, ID ya SA ina time limit?,ID ya Namibia ina time limit?,Botswana nayo?au niendelee na mifano, middle class wa kitanzania wengi ni zero
Hasira za nini? Naanza ya ID ya Germany
1684501648985.png
 
View attachment 2626015
SERIKALI KUANZA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU VITAMBULISHO VYA NIDA VYENYE UKOMO NA VISIVYO NA UKOMO

Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha Wafanyakazi Nchini anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Janejelly James Ntate ameuliza swali lililoelekezwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhusu vitambulisho vya NIDA ambalo lilijibiwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira na Muungano) Mhe. Khamis Hamza Khamis

"Je, wale waliopewa namba za NIDA kabla ya tangazo la GN96 ya mwaka 2003 vitambulisho vyao vitatoka vikiwa na ukomo au vikiwa havina ukomo"? - Mhe. Janejelly James Ntate

"Je, Serikali imejipangaje kuleta uelewa kwa wananchi ili wajue kwamba vitambulisho vyao ambavyo vimekaribia kuwa na ukomo na ambavyo vina ukomo havitawaathiri ili kupunguza taharuki Iliyo kwa wananchi sasa?" - Mhe. Janejelly James Ntate

"Vitambulisho ambavyo vitakuja baada ya tangazo hili havitakuwa na ukomo. Vitambulisho ambavyo vitakuja na tangazo lilishatoka kabla wataendelea kwa sababu lengo la Serikali ni kuhakikisha wananchi hawakosi huduma za muhimu na vitambulisho vilivyokwisha muda vitaendelea kutumika kuwapatia wananchi huduma mpaka pale Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi itakapotoa maelekezo mengine" - Mhe. Khamis Hamza Khamis

"Wananchi watafikiwa na taaluma, kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Waziri ameshatoa tangazo kupitia TV, Radio na Magazeti. Tumeshatoa maelekezo na muda wowote tunaweza kuanza mafunzo kwa Watendaji wote wa NIDA ili waanze kuwafundisha wananchi ili wajue mchanganuo wa kipi kimekwisha ukomo, kipi hakitakwisha ukomo na kipi kitatumika" - Mhe. Khamis Hamza Khamis
Vp nasikia leo wageni waalikwa bungeni ni mondi na majizo

Ova
 
Wengine tuna Manamba tu hata hivyo vy awali hatujui tutavipata link
 
ID,ina number na hiyo number ndio jina lako ambalo serikali yako imekupa ,sasa itakuaje jina liwe na ukomo?hii ni shithole country yenye ukomo wa jina,ID number unazaliwa nayo na kufa nayo, Tanzania tumechelewa sana ,inabidi tuanze upya na tuanze na watoto wanaozaliwa, kila mtoto kabla hajawa discharged ni lazima awe na birth certificate yenye number, na number hii lazima iongee kwenye systems nzima ya nchi
Inatengenezwa mianya ya upigaji hakuna lingine

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Nimepatwa na taharuki leo, nimefika ofisi za serikali nimeambiwa NIDA yangu imekwisha muda wake.

Ni nini msimamo wa serikali kuhusu jambo hili?
 
Back
Top Bottom