JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Majibu ya Tundu Lissu kuhusu kuoa Mzungu na kwa nini hayupo na mkewe wakati akihojiwa na Clouds TV, leo Februari 3, 2023
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaMambo yake
Binafsi ambacho sijapenda ni uvaaji wa hao wanaohoji. Nadhani nia aina fulani ya dharau kwenda kumuhoji mtu mkubwa kama Lissu halafu unavaa kama hao wawili.Majibu ya Tundu Lissu kuhusu kuoa Mzungu na kwa nini hayupo na mkewe wakati akihojiwa na Clouds TV, leo Februari 3, 2023
Tundu Lisu kawaomba wamuhojiBinafsi ambacho sijapenda ni uvaaji wa hao wanaohoji. Nadhani nia aina fulani ya dharau kwenda kumuhoji mtu mkubwa kama Lissu halafu unavaa kama hao wawili.
CHADEMA simamieni mambo kama haya viongozi wenu wanapohojiwa Erythrocyte
Wakienda kumuhoji Rais au hata Speaker tu unadhani wanaweza kujivalia wanavyotaka na kukaa kwenye kochi kama wanaangalia tamthilia sebuleni kwao?Tundu Lisu kawaomba wamuhoji
Usiwapangie namna ya kuvaa