Majibu ya wife baada ya kumwambia nina mtoto nje

Majibu ya wife baada ya kumwambia nina mtoto nje

DAVID PALMER

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2020
Posts
318
Reaction score
1,597
Sina mtoto, nilikuwa nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikuwa sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.

Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavyomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.

Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatizo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.

Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa Rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mimi nkanunue nguo za watoto sikukuu.
 
Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.

Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.

Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.

Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
😂Mirathi,
Hapo anajua utakufa wewe kwanza umuache yeye😂😂
 
Umefanya ujinga mkubwa sana, hata kama utani hilo siyo la kutania na hata leo ukimwambia ulikuwa unamtania hawezi akakuamini.

Unapokuwa ktk ndoa kuna vitu ukiwa kama mwanaume unatakiwa uviweke straight ili ijulikane ndiyo maisha unayoyataka ndani ya nyumba yako hautakiwi hata mara moja kuvifanyia masihara kimoja wapo ni kutunza uaminifu ili mwanamke aifuate hiyo njia sasa wewe unaenda kumwambia umezaa nje it means siyo muaminfu ktk ndoa kesho nae akitoka nje kukulipizia utasemaje?
 
Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.

Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.

Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.

Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.


Wewe bado Gen Z kwenye ndoa au maisha..!! Bado hukustahili kuishi na mwanamke
 
Sijui kwanini wanawake muda wote huwa wanatuwazia vifo vya mapema.......

Yaani wao ni kuwaza utaniachaje na watoto......ukifa nitaishi vipi na hawa watoto.........ukiondoka nitapata tabu na watoto.........

Ifikie hatua sasa vifo vyetu wababa majumbani vichunguzwe kabla ya maziko inawezekana tukawa tunaondolewa kimya kimya.....maana haiwezekani mtu umuwazie mwenzio kifo tu kana kwamba yeye ndio mtoa roho........
 
Kwahyo kaishafahamu kwamba possibly utatangulia wewe mbele za haki. Mm na wanawake nivitu viwili tofauti.
Yuko makini, maana yake mpaka kufikia wewe kuzaa nje haupo makini. Ni hilo tu...
Ana hoja za msingi.
( ingawa ulimtania tu)
Vijana ndoa wanaziharibu wenyewe kwa kuleta mambo ya kitoto na haya yote yanatokana na wanaokoteza content za kijinga tiktok (sijui kama spell zipo sawa) walizoigiza wahuni wasiojua lolote wanaenda kuzi-apply kwenye ndoa zao.

M.Rutabo unasema wewe na wanawake ni vitu viwili tofauti kama una akili kama za mleta mada sawa lakini kama akili hizi huna una nafasi ya kutafuta mmoja ufanye nae maisha maana ndiyo asili ya binadamu.
 
Back
Top Bottom