Mpenda vurugu
Member
- Apr 7, 2024
- 98
- 621
Mimi naona nikiandika haitoshi nimerekodi voice note👇
▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။|||။ 03:53
▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။|||။ 03:53
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyingine tumia akili au fikiri kabla ya kufanya jambo inshort mizaha yako inaenda kubadili namna zima ya maisha ya familia yako.Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Anajuaje utaanza wewe kufariki ? Wanawake wako selfish sanaSina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
anajua wewe lazima utatangulia kufa. kila akilala anajua kuna siku tu atakuzika umwachie msala.Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Ndio Imani ya wanawake, na ndio ukweli wenyewe huo😂Mirathi,
Hapo anajua utakufa wewe kwanza umuache yeye😂😂