Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikia masta. Na wengine wenye mawazo kama yako. Kunamambo mengine hupaswi kumwambia mwenza wako kama utani. Mambo kama nna mtoto nje au ninataka tutalikiane au nnataka kuoa mke wa pili etc.... just say it when you mean it.Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Swali la kujifikirisha je na yeye amekuambia ANAMILIKI MALI ZENYE THAMANI GANI,maana kuna kipindi hii jinsia inajiona ina HAKI ya kumiliki mali za Mweziye tu,akifa ni mali za familia yake,AKILI MU KICHWASina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Hata mimi Mke wangu alishauri hivyo mara tuu alipojua kuna watoto nje. Lkn yeye alitaka niandike majina ya watoto wetu.Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Na ukiangalia familia nyingi ni mzee anatangulia....Sijui kwanini wanawake muda wote huwa wanatuwazia vifo vya mapema.......
Yaani wao ni kuwaza utaniachaje na watoto......ukifa nitaishi vipi na hawa watoto.........ukiondoka nitapata tabu na watoto.........
Ifikie hatua sasa vifo vyetu wababa majumbani vichunguzwe kabla ya maziko inawezekana tukawa tunaondolewa kimya kimya.....maana haiwezekani mtu umuwazie mwenzio kifo tu kana kwamba yeye ndio mtoa roho........
Mzee alikuwa anazingua au Kuna kitu ulikuwa unafanya kilikuwa kinaashiria utakufa mapemaBaba yangu mzazi alishaniuliza kama mara mbili siku tofauti,ukifa uzikiwe wapi? Duh! Sikutegemea swali kama hilo. Nikamwambia,yani baba unaniuliza kwa umri huu nikifa nizikwe wapi? Akasikia aibu. Siku nyingine akaniuliza Tena,nikamjibu ningekuuliza wewe si ungesema nataka kukuua? Dah! Ametangulia mbele za haki.
Piga chini lakini usisahau kujipatia number yake ya simu.Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Na ukiweka vitu kwenye jina lake akifa yeye kwanza mashemeji zako lazima watakufukuza wwe kwenye hiyo nyumba!!Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Watoto wote wana haki sawa achaa ubaguzi!!Mke wako ana akili sana
Watoto wote wana haki sawa achaa ubaguzi!!
Sasa kama hana akiliIshi nae kwa akili.
🤣🤣😂Mirathi,
Hapo anajua utakufa wewe kwanza umuache yeye😂😂