Majibu ya wife baada ya kumwambia nina mtoto nje

Majibu ya wife baada ya kumwambia nina mtoto nje

Ndoa zinalalamikiwa sana lkn naamini shida sio ndoa, shida ni waliopo ndoani akili zao zipoje ndio kitu muhimu cha kuzingatia.
 
Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.

Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.

Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.

Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Sikia masta. Na wengine wenye mawazo kama yako. Kunamambo mengine hupaswi kumwambia mwenza wako kama utani. Mambo kama nna mtoto nje au ninataka tutalikiane au nnataka kuoa mke wa pili etc.... just say it when you mean it.

Imargine wewe mkeo aje very serious akwambie mtoto wenu wa kwanza sio wakwako. Kisha badae akwambie i was kidding. Utabaki na message gani moyoni?
 
Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.

Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.

Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.

Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Swali la kujifikirisha je na yeye amekuambia ANAMILIKI MALI ZENYE THAMANI GANI,maana kuna kipindi hii jinsia inajiona ina HAKI ya kumiliki mali za Mweziye tu,akifa ni mali za familia yake,AKILI MU KICHWA
 
Hayo ndio mavuno ya utani uliofanywa.

Utani huwa una cost sometimes.
 
Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.

Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.

Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.

Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Hata mimi Mke wangu alishauri hivyo mara tuu alipojua kuna watoto nje. Lkn yeye alitaka niandike majina ya watoto wetu.
 
Sijui kwanini wanawake muda wote huwa wanatuwazia vifo vya mapema.......

Yaani wao ni kuwaza utaniachaje na watoto......ukifa nitaishi vipi na hawa watoto.........ukiondoka nitapata tabu na watoto.........

Ifikie hatua sasa vifo vyetu wababa majumbani vichunguzwe kabla ya maziko inawezekana tukawa tunaondolewa kimya kimya.....maana haiwezekani mtu umuwazie mwenzio kifo tu kana kwamba yeye ndio mtoa roho........
Na ukiangalia familia nyingi ni mzee anatangulia....
 
Tukisema wanawake Wana akili kuliko wanaume...mnatutukana
Ona sasa...unawezaje kuleta masihara kwenye kitu kama hiki
 
Baba yangu mzazi alishaniuliza kama mara mbili siku tofauti,ukifa uzikiwe wapi? Duh! Sikutegemea swali kama hilo. Nikamwambia,yani baba unaniuliza kwa umri huu nikifa nizikwe wapi? Akasikia aibu. Siku nyingine akaniuliza Tena,nikamjibu ningekuuliza wewe si ungesema nataka kukuua? Dah! Ametangulia mbele za haki.
Mzee alikuwa anazingua au Kuna kitu ulikuwa unafanya kilikuwa kinaashiria utakufa mapema
 
Hizi ndoa zenu za utotoni zina taabu!!!
 
Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.

Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.

Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.

Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Piga chini lakini usisahau kujipatia number yake ya simu.
 
Kama ni Mchaga ka chonjo!
Fanya utani kwa mengine lakini siyo kwenye ndoa!
 
Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.

Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.

Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.

Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Na ukiweka vitu kwenye jina lake akifa yeye kwanza mashemeji zako lazima watakufukuza wwe kwenye hiyo nyumba!!
 
Umeweka kovu kwa moyo wake kisa utani wakoo. Anajiandaa kisaikolojia na tegemea revenge
 
Back
Top Bottom