Majibu ya wife baada ya kumwambia nina mtoto nje

Majibu ya wife baada ya kumwambia nina mtoto nje

Maana ya Ndoa ni kumuita kwa mbembeleza Mtoto wa watu ukae naye halafu anazaa Ndugu zake halafu akishakaa na ndugu zake wanajipanga kugawana mali zako
Alisikika mlevi mmoja huko Bar
 
kwa majibu hayo anaamini wewe ndiye utakayetangulia mbele ya haki 🤣🤣🤣
 
Sina mtoto, nilikuwa nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikuwa sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.

Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavyomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.

Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatizo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.

Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa Rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mimi nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Tunashukuru kwa kushare

Pole ssna mkuu, hapo anapoongelea mirathi ujue kabisaa akilini mwake ameshapanga kukutanguliza.

Shika moja kichwani
 
Ila wanaume jaman, mie mume wangu katamka kabisa ameza nje na ataendelea na hakuna kitu ntamfanya! Nimeamua kusamehe tu. Mungu anipe nguvu maana sijamuwazia kifo! Ila Najua Mungu hatoniacha hivi hivi....wanaume wanaume wa ndoa tulieni jaman siyo kila shimo ni la kumwagia shahawa
 
Ila wanaume jaman, mie mume wangu katamka kabisa ameza nje na ataendelea na hakuna kitu ntamfanya! Nimeamua kusamehe tu. Mungu anipe nguvu maana sijamuwazia kifo! Ila Najua Mungu hatoniacha hivi hivi....wanaume wanaume wa ndoa tulieni jaman siyo kila shimo ni la kumwagia shahawa
Dawa yake na wwe endelea kumzalia hadi watoto 11 team ya mpira hiyo ndiyo atatulia ndani!!
 
As long as mwanamke bado anakutegemea in more than 80% lazima awaze sana ukifa ataishije, akifa yeye kwanza hana cha kuwaza maana atakua katua mzigo 🤣
Kwanini usimuombee maisha marefu mumeo anayekuhudumia badala unawaza tu kifo chake.....??
 
Ndoa zinalalamikiwa sana lkn naamini shida sio ndoa, shida ni waliopo ndoani akili zao zipoje ndio kitu muhimu cha kuzingatia.
Unaamini haya ukiwa kwenye ndoa au nje ya ndoa
 
Na ndio ukweli wenyewe huo, haupingiki.
My take, wanaume inatakiwa tuwe na packge yetu ya maisha, kwa sababu hatuishi umri sawa na wake zetu. Japokuwa nao pia wakiwa wajane hawaishi tena maisha ya furaha, nasikia huwa wanakumbuka na kutamani hadi makofi waliyopigwa na marehemu waume zao.
Daaah😂
 
Back
Top Bottom