Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mgodi hachimbi kwa sababu ya kuchezea hisia za watu😁😁😜Huo moto unatakiwa uuzime mwenyewe sI ajabu hata mgodi huchimbi, unacheza na hisia za watu
You started you have to finish
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgodi hachimbi kwa sababu ya kuchezea hisia za watu😁😁😜Huo moto unatakiwa uuzime mwenyewe sI ajabu hata mgodi huchimbi, unacheza na hisia za watu
You started you have to finish
Hahaaa imekula kwakeMgodi hachimbi kwa sababu ya kuchezea hisia za watu😁😁😜
Hakuna mtoto haramu,mzazi ndiyo haramu na ndiyo kafanya huo uharamu,mtoto hana hatia yoyote ile!!Says toto haramu. Home wrecker's
Hakuna mtoto haramu,mzazi ndiyo haramu na ndiyo kafanya huo uharamu,mtoto hana hatia yoyote ile!!
We ndo tatizoSina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
HakikaUtani mwingine siyo mzuri. Nakuapia hawezi kufuta huo usemi hata ukiapa na vitabu vya Bwana.
Atakutenda na mwisho she will kill you
Note me.
Ndio zitumike zako, kama zako hazimtoshi basi piga chini.Sasa kama hana akili
We si unajifanya unafanya PRANK sioo ??🤣🤣komaa nayo hiyoSina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Wanawake wote wanajiona wao ni Mungu kuwa lazima wanaume tuanze kufa.😂Mirathi,
Hapo anajua utakufa wewe kwanza umuache yeye😂😂
Na ndio ukweli wenyewe huo, haupingiki.😂Mirathi,
Hapo anajua utakufa wewe kwanza umuache yeye😂😂
Sio wanajiona ni obvious ipo hivyo, wanaume tunafanya kazi kwenye mazingira hatarishi sana ndo maana kifo hatuko nacho mbali.Wanawake wote wanajiona wao ni Mungu kuwa lazima wanaume tuanze kufa.
As long as mwanamke bado anakutegemea in more than 80% lazima awaze sana ukifa ataishije, akifa yeye kwanza hana cha kuwaza maana atakua katua mzigo 🤣Sijui kwanini wanawake muda wote huwa wanatuwazia vifo vya mapema.......
Yaani wao ni kuwaza utaniachaje na watoto......ukifa nitaishi vipi na hawa watoto.........ukiondoka nitapata tabu na watoto.........
Ifikie hatua sasa vifo vyetu wababa majumbani vichunguzwe kabla ya maziko inawezekana tukawa tunaondolewa kimya kimya.....maana haiwezekani mtu umuwazie mwenzio kifo tu kana kwamba yeye ndio mtoa roho........
Amejuaje kama utakuta wewe kwanza?Sina mtoto, nilikuwa nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikuwa sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavyomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatizo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa Rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mimi nkanunue nguo za watoto sikukuu.