M.Rutabo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 1,031
- 2,647
Mm ni timu kataa ndoa mpaka nakufaHivyo sahii una deal na jinsia gani mkuu..?? Nimeshtuka..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm ni timu kataa ndoa mpaka nakufaHivyo sahii una deal na jinsia gani mkuu..?? Nimeshtuka..!
Aaaaah!.... acha bhana kumchimba huyu kijana .....🙄🙄Hivyo sahii una deal na jinsia gani mkuu..?? Nimeshtuka..!
Mamkubwa Mamndenyi weweeeee...!!!!Utani mwingine siyo mzuri. Nakuapia hawezi kufuta huo usemi hata ukiapa na vitabu vya Bwana.
Atakutenda na mwisho she will kill you
Note me.
Bold hii!Atakutenda na mwisho she will kill you
Huo moto unatakiwa uuzime mwenyewe sI ajabu hata mgodi huchimbi, unacheza na hisia za watuSina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.
Hayupo sahihi,pale alipoambiwa akaanza kuweka mali mbele kabla ya kuujua mustakabali wa kitakachoendelea baada ya kauli hiyo hilo ni tatizo.Yuko sahihi
Ya kuangalia kushoto na kulia kisha akavuka Barbara?Mke wako ana akili sana
KwaniniMke wako ana akili sana
Katika jambo ambalo linaweza kukufanya uishi kwa amani katika ndoa yako ni pamoja na kuijua saikolojia ya mwanamke mapema sana,hutapata shida,wala hutaona ni mtu wa ajabu,maana usipojua hilo unaweza kufika mahali ukasema huyu mbona yuko hivi,wakati hivyo ndivyo alivyo,ni kuomba tu Mungu akupe hekima ili uishi nae kwa amani...Sina mtoto,nilikua nazingua tuu nione reaction yake. Na nilikua sirias kweli kweli nikiwa nnamwambia ili ajue sitanii. Majibu yake yakinifikirisha sana.
Akasema, basi sawa, kuanzia sasa vitu vyote tunavomiliki tubadili jina la umiliki, weka jina langu (lake). Nyumba, viwanja 3 (viwili vina hati). Na nna hela kiasi UTT nibadiki umiliki.
Hoja yake akasema hataki baadae sijui kuwe na matatzo ya mirathi. Aiseeee sikuwaza huko kabisa.
Nimepata wazo huli kushea nanyi sababu jana nmemuambia kuna show ya mwanamziki wa rwanda israel Mbonyi. Akasema kama show inazidi elfu 50 sitaki uende. Nkasema nna hela yangu nmeitenga. Hiyo hela bora unipe mm nkanunue nguo za watoto sikukuu.