Uchaguzi 2020 Majimbo ambayo CCM imeshinda hata kabla ya Uchaguzi mkuu Oktoba 2020

Nchi hii bora kuwaomba NATO kufanya kama Libya iwapo CCM haitaki kuheshimu uchaguzi na kulazimisha watakavyo.

Lisu yuko nao jirani, muombeni awasilishe ombi lenu huko NATO.
 
Kwa aliyekuwa mbunge wa Hai, siyo tu kuna convincing evidence bali it is obvious hatarudi bungeni kwani tayari amesalimu amri na kuamua kugombea uraisi badala ya ubunge. Anajua fika urais hawezi kushinda.
 
Dogo mambo mengine unajidhalilisha hivi watumishi wa NEC Tanzania haturuhusiwi kujiunga humu JF?
 
Tusubiri Sanduku la kura, Ndio litaamua nani awe mbunge na nani asiwe mbunge, binafsi naamini Upinzani utazidi kuchukua viti zaid katika Bunge lijalo.
 
Dola ndo inayoshinda. CCM (RIP) kilishakufa tangu 2015.
 
Matusi hayasaidii,uchaguzi umekaribia.


Fanya kazi Mkuu Magufuli anakula Jokate , Zitto anakula Halima Bulembo, Mbowe anakula Joyce Mukya ... Wewe unapumzikia mtaa wa Fisi sinza ...wanasiasa sio wenzako elfu 7 nindogo sana .
 
Natamani NATO waje hata .....sho
 
Mbowe kakutieni mimba mnacheua jina lake tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…