Uchaguzi 2020 Majimbo ambayo CCM imeshinda hata kabla ya Uchaguzi mkuu Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Majimbo ambayo CCM imeshinda hata kabla ya Uchaguzi mkuu Oktoba 2020

Kuna kitu kisheria kinaitwa convincing evidence. Huu ni ushahidi ambao unatumiwa kuthibitisha hasa kwenye kesi za madai,mfano mtu unamdai mtu alafu anakataa kukulipa wewe unaedai lazima uishawishi mahakama kuwa kweli kulikuwa na deni. Na utafanya hivi kwa kuleta vielelezo kuwa kweli una mdai, kama mliandikishina au kuna mtu alisikia kuwa mlikopeshana ikiwa hakuna maandishi.

Nirudi kwenye mada husika, majimbo ya uchaguzi ya Hai na Kigoma mjini kuna ushahidi unaonyesha kuwa yanarudi CCM au kwa ufupi yamesharudi CCM. Hii ni kwa sababu waliokuwa wabunge wa hayo majimbo waliyatelekeza.

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma mjini hana muda kabisa na masuala yayowahusu wananchi wake, muda wote miaka mitano ni kutembea nje za nchi akiiponda Serikali kuwa haifanyi lolote zaidi ya kukandamiza demokraia. Alidiriki kwenda USA kupeleka WB barua ili Tanzania isipate mkopo wa kuendeleza na kuimarisha elimu bila hata kuwa na hoja za msingi. Yeye alitaka watoto wote jimboni kwake na Tanzania wawe wanasoma kama vile shule ni kliniki na wodi za wazazi.

Aliyekuwa Mbunge wa Hai yeye ndio alitelekeza jimbo kabisa hadi wananchi walishamsahau na hata alipofanya mkutano aliishia kuzomewa. Muda mwingi anaumalizia kwenye masuala yake.Na kashfa zinazomuandama ndio wananchi wamemdharau kabisa. Anatuhumiwa kukwapua zaidi ya bil 8 za CHADEMA na hii shutuma ndio imemchafua kabisa,ukijumlisha na kizaa cha kuumia akiwa anatoka kula bata ndio kwisha kabisa.

Kwa hiyo ni dhahiri kabisa kwa namna wabunge hawa walivyoyatelekeza majimbo yao kwa muda mrefu,kuna ushahidi unaotia ushawishi kuwa tayari hawarudi bungeni,ndio maana wadadisi wa mambo wansema itakuwa ni kijani tu mjengoni.
Ccm huwa inashinda dodoma pekee kule ndio haiitaji msaada wa polisi.
 
Fanya kazi Mkuu Magufuli anakula Jokate , Zitto anakula Halima Bulembo, Mbowe anakula Joyce Mukya ... Wewe unapumzikia mtaa wa Fisi sinza ...wanasiasa sio wenzako elfu 7 nindogo sana .
Wewe ni mjinga natakiwa nikupuuze.
 
Ni wajibu wake kwa taifa kama mbunge? Wewe ulitaka asipeleke wakati na yeye alikuwa na benefit of dought katika jambo hilo? Halafu zile ni levels tu za ufanyaji siasa. Kama una wabunge mambumbumbu lazima waone alichofanya sio wajibu wake ila alikuwa sahihi na ndio maana jamhuri imeshindwa kumfungulia mashtaka ya kuisaliti nchi
Kwa hiyo hata wewe unaunga mkono shule kugeuzwa wodi za wazazi?
 
Kuna kitu kisheria kinaitwa convincing evidence. Huu ni ushahidi ambao unatumiwa kuthibitisha hasa kwenye kesi za madai,mfano mtu unamdai mtu alafu anakataa kukulipa wewe unaedai lazima uishawishi mahakama kuwa kweli kulikuwa na deni. Na utafanya hivi kwa kuleta vielelezo kuwa kweli una mdai, kama mliandikishina au kuna mtu alisikia kuwa mlikopeshana ikiwa hakuna maandishi.

Nirudi kwenye mada husika, majimbo ya uchaguzi ya Hai na Kigoma mjini kuna ushahidi unaonyesha kuwa yanarudi CCM au kwa ufupi yamesharudi CCM. Hii ni kwa sababu waliokuwa wabunge wa hayo majimbo waliyatelekeza.

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma mjini hana muda kabisa na masuala yayowahusu wananchi wake, muda wote miaka mitano ni kutembea nje za nchi akiiponda Serikali kuwa haifanyi lolote zaidi ya kukandamiza demokraia. Alidiriki kwenda USA kupeleka WB barua ili Tanzania isipate mkopo wa kuendeleza na kuimarisha elimu bila hata kuwa na hoja za msingi. Yeye alitaka watoto wote jimboni kwake na Tanzania wawe wanasoma kama vile shule ni kliniki na wodi za wazazi.

Aliyekuwa Mbunge wa Hai yeye ndio alitelekeza jimbo kabisa hadi wananchi walishamsahau na hata alipofanya mkutano aliishia kuzomewa. Muda mwingi anaumalizia kwenye masuala yake.Na kashfa zinazomuandama ndio wananchi wamemdharau kabisa. Anatuhumiwa kukwapua zaidi ya bil 8 za CHADEMA na hii shutuma ndio imemchafua kabisa,ukijumlisha na kizaa cha kuumia akiwa anatoka kula bata ndio kwisha kabisa.

Kwa hiyo ni dhahiri kabisa kwa namna wabunge hawa walivyoyatelekeza majimbo yao kwa muda mrefu,kuna ushahidi unaotia ushawishi kuwa tayari hawarudi bungeni,ndio maana wadadisi wa mambo wansema itakuwa ni kijani tu mjengoni.
Siunaona jamaa wa Hai, alivyoamua kubadili gia angani akijifanya ETI wazee wamemshauri achukue fomu ya kugombea ulahisi??? kichekesho. Kaishasoma mchezo kuwa hakubaliki kwao, awamu hii jimbo kwa kijani FULL STOP
 
Kuna kitu kisheria kinaitwa convincing evidence. Huu ni ushahidi ambao unatumiwa kuthibitisha hasa kwenye kesi za madai,mfano mtu unamdai mtu alafu anakataa kukulipa wewe unaedai lazima uishawishi mahakama kuwa kweli kulikuwa na deni. Na utafanya hivi kwa kuleta vielelezo kuwa kweli una mdai, kama mliandikishina au kuna mtu alisikia kuwa mlikopeshana ikiwa hakuna maandishi.

Nirudi kwenye mada husika, majimbo ya uchaguzi ya Hai na Kigoma mjini kuna ushahidi unaonyesha kuwa yanarudi CCM au kwa ufupi yamesharudi CCM. Hii ni kwa sababu waliokuwa wabunge wa hayo majimbo waliyatelekeza.

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma mjini hana muda kabisa na masuala yayowahusu wananchi wake, muda wote miaka mitano ni kutembea nje za nchi akiiponda Serikali kuwa haifanyi lolote zaidi ya kukandamiza demokraia. Alidiriki kwenda USA kupeleka WB barua ili Tanzania isipate mkopo wa kuendeleza na kuimarisha elimu bila hata kuwa na hoja za msingi. Yeye alitaka watoto wote jimboni kwake na Tanzania wawe wanasoma kama vile shule ni kliniki na wodi za wazazi.

Aliyekuwa Mbunge wa Hai yeye ndio alitelekeza jimbo kabisa hadi wananchi walishamsahau na hata alipofanya mkutano aliishia kuzomewa. Muda mwingi anaumalizia kwenye masuala yake.Na kashfa zinazomuandama ndio wananchi wamemdharau kabisa. Anatuhumiwa kukwapua zaidi ya bil 8 za CHADEMA na hii shutuma ndio imemchafua kabisa,ukijumlisha na kizaa cha kuumia akiwa anatoka kula bata ndio kwisha kabisa.

Kwa hiyo ni dhahiri kabisa kwa namna wabunge hawa walivyoyatelekeza majimbo yao kwa muda mrefu,kuna ushahidi unaotia ushawishi kuwa tayari hawarudi bungeni,ndio maana wadadisi wa mambo wansema itakuwa ni kijani tu mjengoni.

Bahati mbaya kwenu ni kuwa hayo majimbo watakayogombea hao uliowataja ndiyo hayo hayo CCM hawatashinda...!!
 
Mbowe amewatelekeza wananchi wake,hajui hata shida zao. Mimi najua namna Msukuma alivyopambana kusaidia jimbo lake. Muulize hata Waziri Jaffo,kupata zahanati na vituo vya afya na hospital palikuwa mpaka panachimbika. Msukuma alishawekwa lockup kwa ajili ya wananchi wake. Kwa hiyo hajanitega kitu. Point hapa ni kuwatelekeza. Na huyo jamaa yako aliuliza kile nilichomjibu. We unajua jimbo la Msukuma lilivokuwa miaka 5 iliyopita?
Nimesoma argument zako na jamaa kwenye hoja hii. Nashindwa kukuelewa kidogo . Labda kwa kuwa una usongo na majimbo yaliokuwa chini ya wapinzani wa Ccm.

Hebu nieleze kazi ya mbunge kwenye suala la maendeleo ya wananchi jimboni ?!. Pesa za maendeleo zinatoka wapi na kwa ridhaa ya nani ?!.

Mwisho chaguzi hizi ambazo mheshimiwa anawaapisha watendaji kwa mkwara. Nimejupa gari, mshahara, ofisi, ulinzi nk halafu nione unamtangaza mpinzani wangu !!!. Hizi ni chaguzi za kujivunia na kupiga vigelegele ?!.
 
Ukiangalia 2015-2020 yaliyofanyika Kisarawe kwa Jaffo, halafu nenda Mkuranga kwa Ulega nikiitazama na Rorya ya Airo naona TANZANIA si MOJA.
Sasa wa kwetu huyo hata ukijiuliza alichofuata humo ?!. Kusema hasemi, na kuhudhuria kwa nadra na bado elimu ya kupewa post hakuwa nayo. Daahh !!. Na bado jimboni alikuwa anaonekana shujaa kwa umasikini ule. Basi tu hata mungu hatukumkosea ni sisi tu
 
Mwaka huu kutakuwa hamna uchaguzi Bali ni maigizo tuu ukiwa na akili timani usihangaike kupiga kura Magufuli hawezi siasa Magufuli hawezi ushindani. Siasa zitakuja kuonekana 2025 atakapo ondoka ikulu.

Miaka mitano yote kafanya siasa peke yake.
Anaondoka huyu?Tangia aliposema akiondoka flyovers hazitajengwa,madaraja na New Salander,Busisi-Kigongo,sgr,Stiegler's,mabarabara,kununua madege etc alimaanisha haondoki.Hiyo miradi haitakwisha ndani ya hata katika kipindi hiki cha utawala wake.Ni miradi mikubwa yenye kuhitaji gharama kubwa na kwa vyanzo vyetu vya ndani uwezo huo haupo,hivyo kuichelewesha zaidi. Kwa sababu ya aibu yake hiyo atahakikisha anabaki madarakani ili asipelekwe mahakamani.
Hiyo ndiyo maana wapo tayari kutoa uhai wa binadamu atakayeonekana kwenda kinyume nao iwe ndani ama nje ya lichama lao hill LA kigaidi.
Haiingii akilini kiongozi aseyejali mateso ya RAIA wake anatafuta kuendelea kuwaaminisha kuwa yeye ni Yesu/Kiongozi wa Malaika?Halafu bado kuna Wananchi wanampenda,wanamkubali na kuwa imani naye?Nahisi kama tumeingia kwenye daraja LA mwisho LA mahayawani!!!
 
Mbowe amewatelekeza wananchi wake,hajui hata shida zao. Mimi najua namna Msukuma alivyopambana kusaidia jimbo lake. Muulize hata Waziri Jaffo,kupata zahanati na vituo vya afya na hospital palikuwa mpaka panachimbika. Msukuma alishawekwa lockup kwa ajili ya wananchi wake. Kwa hiyo hajanitega kitu. Point hapa ni kuwatelekeza. Na huyo jamaa yako aliuliza kile nilichomjibu. We unajua jimbo la Msukuma lilivokuwa miaka 5 iliyopita?
Jamaa darasa la saba ila nasikia anafuatilia sana na kutekeleza mambo ya maendeleo jimboni kwake kuzidi hata wabunge wenye elimu kubwa.
 
Back
Top Bottom