Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #81
Jaduong Lameck nae unamlaumu? Au sababu alikuwa CCM?Sasa wa kwetu huyo hata ukijiuliza alichofuata humo ?!. Kusema hasemi, na kuhudhuria kwa nadra na bado elimu ya kupewa post hakuwa nayo. Daahh !!. Na bado jimboni alikuwa anaonekana shujaa kwa umasikini ule. Basi tu hata mungu hatukumkosea ni sisi tu