Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Bado mtaendelea kujificha uvunguni tu na kujifanya jasiri mtandaoni. Hamna cha Lissu wala nini.Sasa Mungu ametupa Tundu Lissu ambae hasemi tu, anaongoza harakati na kwenda frontline huku sisi tukiwa nyuma yake. Ccm mtaita Maji Mmaaa mwaka huu
Kwani na yeye anaogopa kutekwa7. Mbeya mjini: Sugu anapambana na naibu spika. Kiutawala tu bungeni nani mkubwa?
Kigoma mjini: ZZK ni mfame pale lakini anatakiwa mtu mpole wa kupiga makofi tu bungeni na kuimba mapambio.
👇👇ZITTO AKIWA ANAIMBA MAPAMBIO😁😁😁
Iringa mjini: Msigwa amekuwa mwiba sana bungeni kwaio anatakiwa asirudi kwa vyovyote vile.
👇👇MSIGWA AKIWA MWIBA😁
Ndio maana kuna juhudi kubwa za mikakati ya wizi kutoka kila taasisi ya dola inayohusika na uchaguzi huu. Tume inafanya kila inachoweza kuhakikisha kunakuwa na mianya ya wizi wa kura. Kila DC, kila DED, vyombo vya usalamana kila mtu kwa nafasi yake wanaangalia namna ya kupata ushindi kwa njia ya uhalifu. Hakuna uchaguzi ambao wizi wa kura uko wazi kama uchaguzi huu. Kuanzia zile engua za wagombea, wengine hata kutekwa nyara ili wasirudishe fomu. Wengine walikata rufaa na bado hadi leo hazijatoka. Kitu kama kutopanga vyama kwa alfabeti kwenye karatasi ya kura ya uraisi na vitu kama hivyo. Kuanzia kuapisha mawakala, tutaona na kusikia mengo. Mawakala kuzuiwa kuingia vituoni, mianya ya kuongeza kura kwenye masanduku, kujumlisha vibaya, kutangaza matokeo ambayo sio, kuwanyima mawakala nakala za matokeo n.k tutaona mizengwe mingi kuanzia sasa.1. Kawe: Namuonea huruma sana Halima Mdee (Gwajima hapendwi lakini ndio mbunge mtarajiwa)
2. Vunjo: Kimei sio mwanasiasa ila alienda pale kwa kuelekezwa tu upinzani unapitaje?
3. Moshi Mjini: Jimbo kongwe la upinzani. Mwenyewe jimbo lake kafa(Ndessamburo) upinzani unapitia wapi?
4. Hai: Mbowe ni kama kashatolewa lakini kwa sababu mpira ni dk 90 anaona bora amalize tu
5. Arusha Mjini: Maskini Lema anapambana na aliekuwa rais wa mkowa wake anajua kila kitu kuhusu Arusha.
6. Iringa Mjini: Msigwa amekuwa mwiba sana bungeni kwaio anatakiwa asirudi kwa vyovyote vile.
7. Mbeya Mjini: Sugu anapambana na Naibu Spika. Kiutawala tu bungeni nani mkubwa?
8. Tarime zote(Vijijini na Mjini) si rahisi lakini ni lazima wapinzani waachie hata kwa nguvu.
9. Kigoma mjini: ZZK ni mfame pale lakini anatakiwa mtu mpole wa kupiga makofi tu bungeni na kuimba mapambio.
Wapinzani watapita wasio jua kuongea sana na vijimbo vidogo vidogo tu.
Wekeni alama uzi huu halafu baada ya tarehe 28 mtaniambia kuwa mimi sio muongo. Mimi sina chama ila ukweli ndio huo.
Nimechangia tuu ulichotoa mkuuNahisi ungenielewa ingependeza sana...mm nimetoa mtazamo wangu,mm sio CCM ila ni muumini wa mabadiliko
1. Kawe: Namuonea huruma sana Halima Mdee (Gwajima hapendwi lakini ndio mbunge mtarajiwa)
2. Vunjo: Kimei sio mwanasiasa ila alienda pale kwa kuelekezwa tu upinzani unapitaje?
3. Moshi Mjini: Jimbo kongwe la upinzani. Mwenyewe jimbo lake kafa(Ndessamburo) upinzani unapitia wapi?
4. Hai: Mbowe ni kama kashatolewa lakini kwa sababu mpira ni dk 90 anaona bora amalize tu
5. Arusha Mjini: Maskini Lema anapambana na aliekuwa rais wa mkowa wake anajua kila kitu kuhusu Arusha.
6. Iringa Mjini: Msigwa amekuwa mwiba sana bungeni kwaio anatakiwa asirudi kwa vyovyote vile.
7. Mbeya Mjini: Sugu anapambana na Naibu Spika. Kiutawala tu bungeni nani mkubwa?
8. Tarime zote(Vijijini na Mjini) si rahisi lakini ni lazima wapinzani waachie hata kwa nguvu.
9. Kigoma mjini: ZZK ni mfame pale lakini anatakiwa mtu mpole wa kupiga makofi tu bungeni na kuimba mapambio.
Wapinzani watapita wasio jua kuongea sana na vijimbo vidogo vidogo tu.
Wekeni alama uzi huu halafu baada ya tarehe 28 mtaniambia kuwa mimi sio muongo. Mimi sina chama ila ukweli ndio huo.
jisemee wewe na familia yako na si kusemea wakoHayo majimbo yamechezewa na upinzani kwa muda mrefu, Wananchi hatuwataki tena Chadema
Tutawachagua CCM
Kazi ya sanaa ni pana sana hawa wakisema hivi wale wanasema vileKwani na yeye anaogopa kutekwa
Kwanini watz hawaelewi maana ya wabunge wa upinzani bungeni kamba ni wabunge muhimu sana
Endeleeni kuwa na fikra za mwaka 47 sasa, wakati tuko karne ya kidigitaliBado mtaendelea kujificha uvunguni tu na kujifanya jasiri mtandaoni. Hamna cha Lisu wala nini.
jisemee wewe na familia yako na si kusemea wako
Pesa kidogo tu unajiona unaishi karne ya kidigitali.Endeleeni kuwa na fikra za mwaka 47 sasa, wakati tuko karne ya kidigitali
Mwaka huu iwe ameshinda Lissu ama kashinda Magufuli lazima tuingie road kuandamana either kwa furaha ama kwa Shari!.Sasa kati ya hao wawili tutajua ni nani kwa furaha na ni nani kwa Shari!.Naona umeandika hapa kujifurahisha tu. Mahera anatoka jasho hajui awasaidie kwa njia gani, wapiga kura hawataki tena ule ujinga wa zamani mnawaibia kura halafu wanakaa kimya, mwaka huu mtaisoma namba.
Mkuu 2019 , japo mchungu ila ndio ukweli wenyewe. Angalia hapa, nilizungumzia nini?.Wekeni alama uzi huu halafu baada ya tarehe 28 mtaniambia kuwa mimi sio muongo. Mimi sina chama ila ukweli ndio huo.
Ujinga na upumbavu hauna gharama.1. Kawe: Namuonea huruma sana Halima Mdee (Gwajima hapendwi lakini ndio mbunge mtarajiwa)
2. Vunjo: Kimei sio mwanasiasa ila alienda pale kwa kuelekezwa tu upinzani unapitaje?
3. Moshi Mjini: Jimbo kongwe la upinzani. Mwenyewe jimbo lake kafa(Ndessamburo) upinzani unapitia wapi?
4. Hai: Mbowe ni kama kashatolewa lakini kwa sababu mpira ni dk 90 anaona bora amalize tu
5. Arusha Mjini: Maskini Lema anapambana na aliekuwa rais wa mkowa wake anajua kila kitu kuhusu Arusha.
6. Iringa Mjini: Msigwa amekuwa mwiba sana bungeni kwaio anatakiwa asirudi kwa vyovyote vile.
7. Mbeya Mjini: Sugu anapambana na Naibu Spika. Kiutawala tu bungeni nani mkubwa?
8. Tarime zote(Vijijini na Mjini) si rahisi lakini ni lazima wapinzani waachie hata kwa nguvu.
9. Kigoma mjini: ZZK ni mfame pale lakini anatakiwa mtu mpole wa kupiga makofi tu bungeni na kuimba mapambio.
Wapinzani watapita wasio jua kuongea sana na vijimbo vidogo vidogo tu.
Wekeni alama uzi huu halafu baada ya tarehe 28 mtaniambia kuwa mimi sio muongo. Mimi sina chama ila ukweli ndio huo.
We umekuwa Mkenya mara hii, nilidhani tupo wote hapa kikinuka?!Mkiyaruhusu haya Watanzania mmekwisha.
Naona umeandika hapa kujifurahisha tu. Mahera anatoka jasho hajui awasaidie kwa njia gani, wapiga kura hawataki tena ule ujinga wa zamani mnawaibia kura halafu wanakaa kimya, mwaka huu mtaisoma namba.
Kama msipoheshimu maamuzi ya wapiga kura sawa, mnadhani mnakubalika Sana na propaganda zenu za maendeleo uchwara
Mwenyekiti tu hana uhakika na kibarua chake ndiyo itakuwa hao wengine.
Mwizi anaibia usiku yani huwezi kuiba mbele ya macho ya watu huko Arusha Lema ni kama anajua hadi mpinzani wake anachokiwaza ameanika kila mpango wa siri wa hao jamaa kuhusu wizi wa kura.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
I know USA very well.Keep on dreaming!! You don’t know USA. For your information JPM is a very potential the Hague remandee in few months to come. And if he insist in rigging this election , very tough sanctions are most likely to cripple him. Wait and see