Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Ikifika kesho watakuta magoli yamefika 30.Mechi haijaisha. Tupo busy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikifika kesho watakuta magoli yamefika 30.Mechi haijaisha. Tupo busy
All the best G Sam!Hao wakurugenzi wapuuzi wa CCM wala hatuwasikilizi. Narudia tena hakuna muhuni yeyote yule kuanzia waziri mkuu mpaka muhuni wa mwisho kupita kihuni kama walivyofanya. Tutaimba nao kuanzia kesho!
Wana asili ya Uholanzi, baba au babu yao alikuwa mkulima Mlowezi kutoka Uholanzi kule Turiani.Ni mholanzi?
Wameshapita sasa mtangaza vifo. Wabunge wa CCM wameshafika 20 mpaka usiku huu.Kawaambieni waendelee kujitekenya hao wapuuzi waliojiambia wamepita bila kupingwa. Safari hii hatutaruhusu upuuzi wa aina hiyo.
Haya unasubiriwa kwa hamu! Barabarani.Hao wakurugenzi wapuuzi wa CCM wala hatuwasikilizi. Narudia tena hakuna muhuni yeyote yule kuanzia waziri mkuu mpaka muhuni wa mwisho kupita kihuni kama walivyofanya. Tutaimba nao kuanzia kesho!
Hatuwasikilizi hao wehu walioteuliwa ambao walikuwa wakata viuno wa CCM. Hakuna mtu kupita kihuni safari hii! Kawaambie wanajitekenya na kucheka wenyewe.Wameshapita sasa mtangaza vifo. Wabunge wa CCM wameshafika 20 mpaka usiku huu.
Mkuu,unaweza kutueleza kati ya haya majimbo ni mangapi ambayo wagombea wa CCM walikuwa peke yao 'pure' yahani ambayo wapinzani hawakuenguliwa kwa sababu zozote?.*MAJIMBO 18*
*HADI MUDA HUU MAJIMBO HAYA WAGOMBEA WA CCM WAMEPITA BILA KUPINGWA*
1. Misungwi
2. Ruangwa
3. Ushetu
4. Morogoro Mjini
5. Mtama
6. Mvomero
7. Kilosa
8. Gairo
9. Kongwa
10. Namtumbo
11. Kavuu
12. Katavi
13. Morogoro Kusini
14. Chamwino
15. Kondoa
16. Mpwapwa
17. Vwawa
18. Dodoma Mjini
Hiki ni kisulisuli, subirini tufani inakuja Oktoba.
Ikifika kesho watakuta magoli yamefika 30.
Wewe tulishakudharau kila kitu unashindwa tu. Kwenye kutangaza vifo vya corona umeshindwa leo tena ulikuja na ngonjera ya kutekwa kwa wagombea wa saccos nako umeshindwa! Hata hili nalo utashindwa tu!Hatuwasikilizi hao wehu walioteuliwa ambao walikuwa wakata viuno wa CCM. Hakuna mtu kupita kihuni safari hii! Kawaambie wanajitekenya na kucheka wenyewe
Sielewi,Zealand huyu huyu?Mvomero shida ni kubwa.Halimashauri ya Mvomero imeshindwa kabisa ku-deliver kwa wananchi,leo mwenyekiti wake anachaguliwa kuwa mbunge!CCM hamuitakii mema Mvomero na wananchi wake,inatisha sana dah!Yaani kinachotawala ni maslahi na "huyu ni mwenzetu" tu,weledi umetupwa mbali kabisa.Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mvomero Mkoani Morogoro,Hassani Njama amethibitisha kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CCM, Jonas Van Zeland amepita bila kupingwa baada ya kile alichotaja ni kutokana na Wagombea wa Vyama vingine kutokidhi baadhi ya vigezo
Wameenguliwa.awezi kukujibuMkuu,unaweza kutueleza kati ya haya majimbo ni mangapi ambayo wagombea wa CCM walikuwa peke yao 'pure' yahani ambayo wapinzani hawakuenguliwa kwa sababu zozote?
Yule baada ya kushindwa kumpora fomu mkafunga ofisi kule ukerewe.yani nyie majitu ni mashetani halisiWewe tulishakudharau kila kitu unashindwa tu. Kwenye kutangaza vifo vya corona umeshindwa leo tena ulikuja na ngonjera ya kutekwa kwa wagombea wa saccos nako umeshindwa! Hata hili nalo utashindwa tu!
teh teh tehHao wakurugenzi wapuuzi wa CCM wala hatuwasikilizi. Narudia tena hakuna muhuni yeyote yule kuanzia waziri mkuu mpaka muhuni wa mwisho kupita kihuni kama walivyofanyha. Tutaimba nao kuanzia kesho!