Kati ya mkoa ya watu wajinga Tanzania pamoja na dodomaMorogoro,Morogoro,Morogoro......!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya mkoa ya watu wajinga Tanzania pamoja na dodomaMorogoro,Morogoro,Morogoro......!
Subiri uone tutafanya niniMtafanya nini?
Morogoro wajinga wengi Sana hasa hao waarabu ndo wanahonga Sana mpaka tume, aboud, shabiby nkBREAKING[emoji779][emoji1241][emoji1491]
Mkoa wa Morogoro una Majimbo 11 hadi sasa CCM Imepita bila kupingwa 6.
Mkuu umewahi kuiona fomu ya ugombea? Hapa utawalaumu wapinzani bure, yaani mtu aliyekuwa mbunge kipindi kilichopita asiweze kuambatanisha passport size?
Ukiangalia hizi kasoro ni za kutengeneza, sasa mfano picha msimamizi akiinyofoa si ndio basi tena? Au mtu anapokea fomu kisha anaongeza maneno kwenye taarifa za mgombea kisha anamuengua.
Kweli rushwa mbaya Sana! Nadhani chama kinayajua haya Ila hawawezi sema hadharani, lakini huko tuendako baada ya kukamata Dola, haya yatatatuliwaTeh teh teh! Hamjiulizi, Mbona Halima Mdee, Sugu, Lema, Msigwa, Mwamba fomu zao hazijakosewa? kwa nini hao?
Biashara mkuu, wameshachukua chao mapema.
Kabla ya mapingamizi, wachunguzeni wagombea wenu kwanza.
CCM 9 Upinzani 0
1.Misungwi,
2.Ruangwa,
3.Ushetu,
4.Morogoro Mjini,...
Hapana, hao wamekoseshwa na wasimamizi. Hakuna aliyejiengua zaidi ya kukamatwa na polisi au kukoseshwa na msimamizi. Kwa mfano Nape, Shabiby na Abood ni wahuni na tunawajua wamezoea kupita bila kupingwa kila ikifikia uchaguzi mkuu. Waambieni kuwa this time wamefeli. Na huo uhuni wao tutauyeyusha!Teh teh teh! Hamjiulizi, Mbona Halima Mdee, Sugu, Lema, Msigwa, Mwamba fomu zao hazijakosewa? kwa nini hao?
Biashara mkuu, wameshachukua chao mapema.
Kabla ya mapingamizi, wachunguzeni wagombea wenu kwanza.
Morogoro kuna shida sana,yaani Zeland!Kwanza yuko kimaslahi zaidi,halafu Mholazi.Hivi Mswahili hakuna?Mara Murad,mara Abood,sasa tena Zealand Mholanzi, hovyo kabisa.Van zeland hii nchi hii
Ndugu asiende mbali, kumwaga damu kwao, wanamaanisha watachinja kuku.Nipo kuwasubiri wazee wa mitandaoni wanaodai watakinukisha.
"Mtu akisema atamwaga damu kwenye nchi hii mwambie anaenda mbali Sana ajaribu hata kumwaga mkojo aone" JPM.
Morogoro mkoa uanaoongoza kwa vyuo vikuu Bora kabisa SUA,MZUMBE nk lkn wanakua mazezeta hv mnaongozwa na std seven wahuni shame!Najiuliza tu hawa matajiri waliogombea ubunge kupita bila kupingwa inatoa tafsiri gani?
Je, wanapendwa sana na wananchi au utajiri wao ndio unapendwa?
Kwa mfano Aboud na Shabiby ambao wamepita bila kupingwa hawa ni wajamaa kweli kweli wanaotaka kazi iendelee?
Anyway, ushindi wao ni ushindi kwa CCM hongera kwao!
kwa uzembe wa vyamaKwa msaada wa NEC
Morogoro kuna shida sana,yaani Zeland!Kwanza yuko kimaslahi zaidi,halafu Mholazi.Hivi Mswahili hakuna?