Wadau mpaka sasa nasikia CCM imeshachukua majimbo nane, namaanisha wamepita bila kupingwa. Yaani kabla ya hata ya kitufe kubonyezwa majimbo yafuatayo wapinzani wamenyanyua mikono na CCM wanayachukua.
CCM imepita bila kupingwa katika majimbo haya:
1. Misungwi,
2. Ruangwa,
3. Ushetu,
4. Morogoro Mjini,
5. Mvomero,
6. Kilosa,
7. Mtama,
8. Gairo
9.Kongwa
10. Namtumbo
11. Kavuu
12. Katavi
13. Morogoro Kusini
14. Chamwino
15. Kondoa
16. Mpwapwa
17. Vwawa
18. Dodoma Mjini
Karibuni tuweke kumbukumbu za clean sheets hapa.
Updates
1. Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro una Majimbo 11 hadi sasa CCM Imepita bila kupingwa 6
- Jimbo la Kilosa
(Prof Kabudi)
- Jimbo la Gairo
(Ahmed Shabiby)
- Jimbo la Mvomero
(Jonas Vanzland)
- Jimbo la Morogoro kusini
(Innocent Kalogeris)
- Jimbo la Morogoro kusini mashariki
Hamis Tale Tale (Babu Tale)
- Jimbo Morogoro Mjini
( AbdulAziz Abood)
2. Mkoa wa Katavi
- Jimbo la Kavuu
Geophrei Mizengo Pinda
3. Mkoa wa Mwanza
- Jimbo la Misungwi
Alexander Mnyeti
4. Mkoa wa Lindi
- Jimbo la Ruangwa
Kassim Majaliwa
- Jimbo la Mtama
Nape Nnauye
5. Mkoa wa Shinyanga
- Jimbo la Ushetu
Elias Kwandikwa
6. Mkoa wa Dodoma
- Jimbo la Kongwa
Job Ndugai
- Jimbo la Chamwino
Deo Dejembi
- Jimbo la Kondoa mji
Ally Juma Makoa
7. Mkoa wa Ruvuma
- Jimbo la Namtumbo
Vita Kawawa