Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kufanya upendeleo kwa sababu mimi siyo mchumia tumboNimeuliza kwa mfano wewe ndiye msimamizi wa uchaguzi hapo Morogoro.
Na chama chako ndicho chama tawala. Kisha mgombea wa upande wako akaja na fomu yenye makosa.
Je, ungemtoa kwenye uteuzi?
Hata ungekuwa wewe mkuu, ukijiangalia huna hata mia ya kukuwezesha kuzunguka jimbo zima kupiga kamoeni, sasa kwanini usichukulie zako milion 5 uendelee kula maisha kuliko kusubiri aibu ya kushindwa?teh teh teh
Hamjiulizi, Mbona Halima Mdee, Sugu, Lema, Msigwa, Mwamba fomu zao hazijakosewa? kwa nini hao?
Biashara mkuu, wameshachukua chao mapema.
Kabla ya mapingamizi, wachunguzeni wagombea wenu kwanza
Vipi mmeshaingia barabarani?Subiri uone tutafanya nini
Sio kweli, appellate body ni NEC siyo mahakamaUkishatangazwa mshindi hakuna pingamizi kwenda NEC ni Kufungua kesi mahakamani ambako shauri huenda
likasikilizwa 2024!!😁😁
Hati wamepita bila kupingwa-majimbo 6 mkoa mmoja. Inafikirisha, nafikiri ni yale yale ya serikali za mtaa. CDM waweke mapingamizi tu. Bado ushenzi unatuandama.1. Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro una Majimbo 11 hadi sasa CCM Imepita bila kupingwa 6
- Jimbo la Kilosa
(Prof Kabudi)
- Jimbo la Gairo
(Ahmed Shabiby)
- Jimbo la Mvomero
(Jonas Vanzland)
- Jimbo la Morogoro kusini
(Innocent Kalogeris)
- Jimbo la Morogoro kusini mashariki
Hamis Tale Tale (Babu Tale)
- Jimbo Morogoro Mjini
( AbdulAziz Abood)
Kwani anauwezo wa kupata nyingi????? Kazi ndiyo imeanza atulie akiporomosha mitusi yake NEC inamhusu na jeshi la polisi.Eti kafurahia kupitishwa, hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiTutashuhudia mengi mwaka huu. Maana hata Tundu Lissu atapata kura chache sana
Wewe unatishika na maneno ya Nyumbu, maneno jadi yao.Vipi mmeshaingia barabarani?
Kunywa sumu kama umechukia,Hati wamepita bila kupingwa-majimbo 6 mkoa mmoja. Inafikirisha, nafikiri ni yale yale ya serikali za mtaa. CDM waweke mapingamizi tu. Bado ushenzi unatuandama.
Nec wanapokea mapingamizi ya mgombea kukosa sifa ya kuwa mgombea sio mgombea aliyetangazwa kuwa ameshinda.Sio kweli, appellate body ni NEC siyo mahakama
Mbona lissu kajazA??? Wagombea wenu majanga wanatia aibuuuuuHa ha inashangaza sana.
Kwanini NEC wasitoe mafunzo maalumu ya ujazaji hizo form kabla ya zoezi wa ujazaji kuanza kwa uwazi na haki kabisa?
Wewe unaamini wakishaapishwa huwa wanauvua uanachama?Siwezi kufanya upendeleo kwa sababu mimi siyo mchumia tumbo
Kwa mujibu wa taratibu za Tume, na ile kesi ya Bob Chacha wangwe ya kuhoji uhalali wa wakurugenzi kusimamia uchaguzi, walisema kwamba hao wakurugenzi wanakula viapo vya kujivua uanachama wa vyama vyao ndiyo wafanye hiyo kazi ya usimamizi
pili, mamlaka ya rufaa ipo ambayo ni Tume.
Usisahau wasaliti wengi wameuza mchezo.Ni kawaida ndio maanake walikuwa wanazunguka na maform kufika bei.Upinzani wa kweli bado sana.Yaani utafikiri lengo ni kupata mjazaji fomu bora, jamii inahitaji zaidi ya mjazaji fomu.
Wengine wanatekwa, wengine wanabambikwa kesi na wengine wanakataliwa kurudisha fomu, wengine wanapokea vitisho ili tu chama fulani kishinde.
Kisha utamsikia mwenyekiti wao, 'tutamngulize Mungu kwa kila jambo'. Naona wanambeep Mungu kwa kulitumia jina lake kufunika maovu yao, wacha tuone..
Bado tuna safari ndefu kama taifa, kujificha kwenye hila za kipuuzi namna ile then watu wanaamini hiyo serikali ina nia ya dhati ya kulipeleka taifa mbele.
Chadema sheeeda eti chama kikuu cha upinzani. Duuuu karibu nccr mageuziNec wanapokea mapingamizi ya mgombea kukosa sifa ya kuwa mgombea sio mgombea aliyetangazwa kuwa ameshinda.
Huwezi kushiriki uchaguzi Kwa muda mrefu kama CCM walivyoshiriki na ukashindwa kujaza form, nadhani CCM Wana resources na experience kubwa compared to other parties ambazo to be honest vingine ata ofisi ya kujazia hizo forms hawana..kile kigezo cha kujua KUSOMA na KUANDIKA kitawaangusha wengi Sana..but I still believe NEC wako strictly Sana Kwa wapinzani kuliko wagombea wa CCM but still sio excuse ya wapinzani kuwa reckless katika kufuata maelekezo... Mpinzani kushinda have to be really on point bila dosari yoyote. Wanahitaji kuwa na usaidizi Mpana WA wanasheria ambao unfortunately they don't come cheap especially kipindi hiki.