Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,517
- 1,044
Hamjiongezi hadi mgongwe na CCM ndo mnakurupaka...chadema inaongozwa na maamumaKesho tunaweka pingamizii.sheria ifuate mkondo wake. Mazoeaa yamepitwa na wakatiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamjiongezi hadi mgongwe na CCM ndo mnakurupaka...chadema inaongozwa na maamumaKesho tunaweka pingamizii.sheria ifuate mkondo wake. Mazoeaa yamepitwa na wakatiii
Ndo kuna wajinga wengi hukoHalafu wanaokosea kujaza form ni upinzani peke yako. [emoji848]
Kamuulize Polepole, bashiru ally ndyo viongozi waoWewe unaamini wakishaapishwa huwa wanauvua uanachama?
Sio yeyeKuna rafiki yangu anaitwa jonas nka sijui ndio huyu
Ndio mnavyodanganywa, sasa si mlisema mwisho wa kuonewa, kinukishe "basi"Yaani utafikiri lengo ni kupata mjazaji fomu bora, jamii inahitaji zaidi ya mjazaji fomu.
Wengine wanatekwa, wengine wanabambikwa kesi na wengine wanakataliwa kurudisha fomu, wengine wanapokea vitisho ili tu chama fulani kishinde.
Kisha utamsikia mwenyekiti wao, 'tutamngulize Mungu kwa kila jambo'. Naona wanambeep Mungu kwa kulitumia jina lake kufunika maovu yao, wacha tuone..
Bado tuna safari ndefu kama taifa, kujificha kwenye hila za kipuuzi namna ile then watu wanaamini hiyo serikali ina nia ya dhati ya kulipeleka taifa mbele.
Ruangwa na Kavuu kulikuwa na kazi nzito sana kwa wapinzani, wamehangaishwaTakribani wagombea 20 wamepita bila kupingwaView attachment 1548149
Hii yaweza kuwa sababu. Wamehongwa kabisa. Haiingii akilini mtu upo serious eti ukosee kujaza form ?Hivi uongozi wa chama haukuwafundisha jinsi ya kujaza form? Maana form zinafanana Tanzania nzima. Hivyo mnaweza photocopy na mkajaza na mkasambaza kote mkaacha zile sehemu za majina tu. Hivyo mtu anaangalia na anajaza original.Vyama vya upinzani zero kabisa,yanahongwa yanajaza fomu ovyoovyo
Uongozi wa chama uko bize na mgombea wa urais. Hiki chama kinawajinga wengi sanaHii yaweza kuwa sababu. Wamehongwa kabisa. Haiingii akilini mtu upo serious eti ukosee kujaza form? Hivi uongozi wa chama haukuwafundisha jinsi ya kujaza form? Maana form zinafanana Tanzania nzima. Hivyo mnaweza photocopy na mkajaza na mkasambaza kote mkaacha zile sehemu za majina tu. Hivyo mtu anaangalia na anajaza original.
Baba yake alikuwa mzungu mama mswahili... Hapo hakuna kitu, I know the guy.Ni mholanzi?
Mnasherehekea dhulma.Hiyo ni CCM 9 - 0 Upinzani
Mmekubali kuingiza timu kwa mazingira Haya, tusianze kusingizia dhulmaMnasherehekea dhulma...
Tupo vizuri hatuna pressure maana ni mashabiki wa asernal pia hatutetereki hataChadema pumzi inakata kabla hata ya kampeni.. Poleni sana