Majimbo ya Ubunge yaliyosimamisha wagombea wa CCM bila wagombea wa Upinzani
Sasa huyo wa jimbo la Mvomero-Morogoro mbona jina lake halifanani na jina la Mwafrika yeyote popote duniani. Au suala la kuchunguza uraia wa watu linatokea tu pale ukisema umenikanyaga naomba uondoe mguu.

Nyongeza ya hapo suala la kutokidhi vigezo kwa nini linakuwa kwa wagombea wa upinzani tu.

Kuna mambo hata mtoto wa darasa la pili B anajua kabisa kuna hila zinafanyika.
 
Dawa ni fomu kujazwa online hala kila chama kinakuwa na access ya fomu zote lakini baada ya kujazwa zinakuwa kwenye pdf halafu tume inazidownload na kuondokana na hii tabia ya fomu imeshachukuliwa
Na ndicho kitu ambacho CCM hawawezi kukikubali
 
Katika maandalazi ya uchaguzi wa 2020 mambo yameanza kunoga, baada ya majimbo 7 kutokuwa Na ushindani yaani wagombea wamepita bila kupingwa.

Nadhani haijawahi kutokea wagombea ubunge wengi vile kuelea tu hadi kwenda mjengoni Dodoma kula posho zao.

Je, kupita bila kupingwa kwa majimbo 7 ni kupungua kwa kura za Lissu?

Je, ni zipi dalili za Lissu kushindwa?
 
hivi ni wagombea wa upinzani tuu ndio wakosa vigezo?
NEC hili taifa tunalipenda sana maana hakuna sehemu nyingine nzuri kwa watanzania ispokuwa tanzania.
Acheni ngiriba za kupendelea chama kimoja dhidi ya vyama vingine.
mtenda haki hulipenda taifa
Ukichukulia mipaka ya majirani zetu imefungwa kwa sababu za Corona.Sisi tu ndio tupo wazi.Kikinuka sijui itakuwaje?
 
Hilo liwe SoMo kwa chadema uchaguzi ujao na nyie fanyeni the same screnario

Acheni kukaa kiboya boya
 
Uongozi wa chama uko bize na mgombea wa urais....! Hiki chama kinawajinga wengi sana
Wako busy kushangaa mafuriko ya Lisu.

Lisu aliwaambia jazeni hizo form kwa umakini ili yasitokee yale ya selikali za mtaa!

Haw jamaa wakishashiba sifa za humu mitandaoni basi hata seheemu za kutumia weredi wao wamatumia mihemuko
 
Wapinzani kuweni makini! Dodoma na Morogoro itakuwa njia ya kupitisha kura zisizo rasmi za wale majamaa! wana majimbo mengi eti wamepita bila kupingwa
 
Dodoma
Aliyekua mbunge 2010 alichukua fomu kupitia ACT.. naye pia hajui kujaza??
Wako busy kushangaa mafuriko ya Lisu.

Lisu aliwaambia jazeni hizo form kwa umakini ili yasitokee yale ya selikali za mtaa!

Haw jamaa wakishashiba sifa za humu mitandaoni basi hata seheemu za kutumia weredi wao wamatumia mihemuko
 
Wadau mpaka sasa nasikia CCM imeshachukua majimbo nane, namaanisha wamepita bila kupingwa. Yaani kabla ya hata ya kitufe kubonyezwa majimbo yafuatayo wapinzani wamenyanyua mikono na CCM wanayachukua...
Ina maama hata kura za NDIYIO au HAPANA hazipo?
 
Dodoma
Aliyekua mbunge 2010 alichukua fomu kupitia ACT.. naye pia hajui kujaza??
Sasa unategemea ACT ishinde Dodoma kweli?

Huyo kauza jimbo, kaona kuliko nisubiri aibu ya kushindwa bora nibebe hii milion 5 niendelee kula maisha.

Mtu huna hata mia ya kampeni ya nini kupimana ubavu na mwenye nazo?
 
Kushinda haikua rahisi swala hapa ni kupata political mileage ya uchaguzi inayofuata..
Huyu jamaa sio maskin kivile na anashule maarufu dom.
Sasa unategemea ACT ishinde Dodoma kweli?

Huyo kauza jimbo, kaona kuliko nisubiri aibu ya kushindwa bora nibebe hii milion 5 niendelee kula maisha.

Mtu huna hata mia ya kampeni ya nini kupimana ubavu na mwenye nazo?
 
hivi ni wagombea wa upinzani tuu ndio wakosa vigezo?
NEC hili taifa tunalipenda sana maana hakuna sehemu nyingine nzuri kwa watanzania ispokuwa tanzania.
Acheni ngiriba za kupendelea chama kimoja dhidi ya vyama vingine.
mtenda haki hulipenda taifa
Wamechoka na upinzani hivyo wanatumia njia ya kisheria kuunga mkono hoja.
 
Sasa unategemea ACT ishinde Dodoma kweli?

Huyo kauza jimbo, kaona kuliko nisubiri aibu ya kushindwa bora nibebe hii milion 5 niendelee kula maisha.

Mtu huna hata mia ya kampeni ya nini kupimana ubavu na mwenye nazo?
Kweli mkuu, hata km ni mimi.
 
Back
Top Bottom