Majimbo ya Ubunge yaliyosimamisha wagombea wa CCM bila wagombea wa Upinzani
Mbona wagombea wameridhika kutokutimiza masharti wewe una shauri nini hapa.

Ukiacha wachache walionunuliwa na wagombea wa CCM ila wengi ni figisu za POLICCM/NECCM kwa maelekezo ya wagombea CCM ,Nilimuona Devoth Minja alivyokuwa anapambania haki yake. Sidhani kama ni kweli hajapeleka picha katika form zake.
 
WABUNGE WA CCM WALIOPITA BILA KUPINGWA UBUNGE

1. Hamis Taletale (Babu Tale) (Morogoro Kusini Mashariki)
2. Alexander Mnyeti (Misungwi)
3. Prof. Palamagamba Kabudi (Kilosa)
4. Abdulaaziz Abood (Morogoro)
5. Japhet Hasunga (Vwawa)
6. Shanif Mansoor (Ngudu, Kwimba)
7. Ahmed Shabiby (Gairo, Morogoro)
8. Kassim Majaliwa (Ruangwa, Lindi)
9. Jonas Vanzland - (Mvomero, Morogoro)
10. Innocent Kalogeris (Morogoro Kusini)
11. Joseph Kamonga (Ludewa)
12. Elias Kwandikwa - (Ushetu, Simiyu )
13. Nape Nnauye - Mtama, Lindi
14 . Job Ndugai (Kongwa)
15. Anthony Mavunde (Dodoma Mjini)
16. Deo Ndejembi (Chamwino, Dodoma)
17. Dk Ashatu Kijaji (Kondoa)
18. Vita Kawawa (Namtumbo)
19. George Malima (Mpwapwa)
20. Geofrey Mizengo Pinda ( Kavuu )

Kwa kilichofanyika au kilichofanywa wala haiitaji Akili kubwa sana kuweza kujua kuwa 'Bwana Mkubwa' anawahitaji sana kwa 2020 hadi 2025 yake.
 
WABUNGE WA CCM WALIOPITA BILA KUPINGWA UBUNGE

1. Hamis Taletale (Babu Tale) (Morogoro Kusini Mashariki)
2. Alexander Mnyeti (Misungwi)
3. Prof. Palamagamba Kabudi (Kilosa)
4. Abdulaaziz Abood (Morogoro)
5. Japhet Hasunga (Vwawa)
6. Shanif Mansoor (Ngudu, Kwimba)
7. Ahmed Shabiby (Gairo, Morogoro)
8. Kassim Majaliwa (Ruangwa, Lindi)
9. Jonas Vanzland - (Mvomero, Morogoro)
10. Innocent Kalogeris (Morogoro Kusini)
11. Joseph Kamonga (Ludewa)
12. Elias Kwandikwa - (Ushetu, Simiyu )
13. Nape Nnauye - Mtama, Lindi
14 . Job Ndugai (Kongwa)
15. Anthony Mavunde (Dodoma Mjini)
16. Deo Ndejembi (Chamwino, Dodoma)
17. Dk Ashatu Kijaji (Kondoa)
18. Vita Kawawa (Namtumbo)
19. George Malima (Mpwapwa)
20. Geofrey Mizengo Pinda ( Kavuu )

Kwa kilichofanyika au kilichofanywa wala haiitaji Akili kubwa sana kuweza kujua kuwa 'Bwana Mkubwa' anawahitaji sana kwa 2020 hadi 2025 yake.
Na Kama Raisi atakuwa Mh Lisu?
 
Ccm 20 chadema 0
.
Hivi ushindi wa Lisu unatokea wapi?
 
Katika jimbo lililoniuma ni Dodoma Mjini, pale alipaswa CHADEMA isimamishe kwa gharama yoyote kwa ajili ya kulibeba 2025 ukizingatia wahamiaji ni wengi hivyo kuchochea mabadiliko.
Kulipoteza hili jimbo litakua na madhara kma yaliyotokea kupoteza jimbo la Nyamagana, itakua ngumu mnoo kulirudisha upinzani.

Dk Slaa kwenye majimbo ya kimkakati alikua vizuri naona Mnyika amepwaya sana hapo.
We can't afford to lose Dodoma Urban for christ sake!! Ni future political base.
Cc CHADEMA
 
WABUNGE WA CCM WALIOPITA BILA KUPINGWA UBUNGE

1. Hamis Taletale (Babu Tale) (Morogoro Kusini Mashariki)
2. Alexander Mnyeti (Misungwi)
3. Prof. Palamagamba Kabudi (Kilosa)
4. Abdulaaziz Abood (Morogoro)
5. Japhet Hasunga (Vwawa)
6. Shanif Mansoor (Ngudu, Kwimba)
7. Ahmed Shabiby (Gairo, Morogoro)
8. Kassim Majaliwa (Ruangwa, Lindi)
9. Jonas Vanzland - (Mvomero, Morogoro)
10. Innocent Kalogeris (Morogoro Kusini)
11. Joseph Kamonga (Ludewa)
12. Elias Kwandikwa - (Ushetu, Simiyu )
13. Nape Nnauye - Mtama, Lindi
14 . Job Ndugai (Kongwa)
15. Anthony Mavunde (Dodoma Mjini)
16. Deo Ndejembi (Chamwino, Dodoma)
17. Dk Ashatu Kijaji (Kondoa)
18. Vita Kawawa (Namtumbo)
19. George Malima (Mpwapwa)
20. Geofrey Mizengo Pinda ( Kavuu )

Kwa kilichofanyika au kilichofanywa wala haiitaji Akili kubwa sana kuweza kujua kuwa 'Bwana Mkubwa' anawahitaji sana kwa 2020 hadi 2025 yake.
Mwana kiona mbali Gentamycine, kwa maana nyingine hao ndio team ya campaign itakayozunguka na JPM kumnadi nchi kotemaana kwao uhakika tayari
 
Ushindi wa Lissu upo kwa wananchi
Wananchi wenyewe hawa waliomkataa Lisu kabla hata ya kampeni?

Nenda kwenye page zao huko facebook uone wanavyoshambuliwa hao wagombea wako
 
Sasa huyo wa jimbo la Mvomero-Morogoro mbona jina lake halifanani na jina la Mwafrika yeyote popote duniani. Au suala la kuchunguza uraia wa watu linatokea tu pale ukisema umenikanyaga naomba uondoe mguu...
Ni mzungu mtanzania alikuwa Diwani kafanya makubwa Sana mvomero

Tanzania Ina waafrika Weusi waarabu, wahindi na wazungu au hujui hilo?
 
Felix Tshisekedi alitangazwa ni Rais akiwa na wabunge wangapi? Trump je? Jiulize upinzani ulipataje kura million 6 ilihali wabunge wake hawakufika 30% ya bunge zima la 11?
Kwanza Tsheked hakushinda bali ule ulikuwa mpango wa Kabila,
Na mpaka sasa hivi Kabila bado ana mamlaka pale Congo kama hujui.
 
Sasa Lisu unamlinganisha na Lowasa kweli?
Hujaelewa swali? Logic ya kura za Urais na mgombea ubunge zinacorrelation?

Kumbuka kura za Urais unazoa majimbo yote ila kiti cha ubunge ni mpka uongoze kura jimbo husika.

Pia majimbo yana disparity, mfano majimbo ya Dar pekee yanaamua almost 15% ya kura za Urais ingawa haitoi wabunge zaidi ya 10. But majimbo ya zenji yanatoa 2% ya kura za Urais ila yanatoa wabunge 50??
 
Hujaelewa swali? Logic ya kura za Urais na mgombea ubunge zinacorrelation?

Kumbuka kura za Urais unazoa majimbo yote ila kiti cha ubunge ni mpka uongoze kura jimbo husika.

Pia majimbo yana disparity, mfano majimbo ya Dar pekee yanaamua almost 15% ya kura za Urais ingawa haitoi wabunge zaidi ya 10. But majimbo ya zenji yanatoa 2% ya kura za Urais ila yanatoa wabunge 50??
Mkuu tutarudi hapa baada ya oktoba kubishania wizi wa kura kama kawaida yenu
 
Wadau mpaka sasa nasikia CCM imeshachukua majimbo nane, namaanisha wamepita bila kupingwa. Yaani kabla ya hata ya kitufe kubonyezwa majimbo yafuatayo wapinzani wamenyanyua mikono na CCM wanayachukua.

CCM imepita bila kupingwa katika majimbo haya:
1. Misungwi,
2. Ruangwa,
3. Ushetu,
4. Morogoro Mjini,
5. Mvomero,
6. Kilosa,
7. Mtama,
8. Gairo
9.Kongwa
10. Namtumbo
11. Kavuu
12. Katavi
13. Morogoro Kusini
14. Chamwino
15. Kondoa
16. Mpwapwa
17. Vwawa
18. Dodoma Mjini

Karibuni tuweke kumbukumbu za clean sheets hapa.

Updates

1. Mkoa wa Morogoro

Mkoa wa Morogoro una Majimbo 11 hadi sasa CCM Imepita bila kupingwa katika Majimbo 6
- Jimbo la Kilosa
(Prof Kabudi)

- Jimbo la Gairo
Ahmed Shabiby

- Jimbo la Mvomero
Jonas Vanzland

- Jimbo la Morogoro kusini
Innocent Kalogeris

- Jimbo la Morogoro kusini mashariki
Hamis Taletale (Babu Tale)

- Jimbo Morogoro Mjini
AbdulAziz Abood

2. Mkoa wa Katavi
- Jimbo la Kavuu

Geophrei Mizengo Pinda

- Jimbo la Mlele
Aloyce Kamwelwe

3. Mkoa wa Mwanza
- Jimbo la Misungwi

Alexander Mnyeti

- Jimbo la Kwimba
Shanif Mansoor

4. Mkoa wa Lindi
- Jimbo la Ruangwa
Kassim Majaliwa

- Jimbo la Mtama
Nape Nnauye

5. Mkoa wa Shinyanga
- Jimbo la Ushetu

Elias Kwandikwa

6. Mkoa wa Dodoma
- Jimbo la Kongwa

Job Ndugai

- Jimbo la Chamwino
Deo Dejembi

- Jimbo la Kondoa mji
Ally Juma Makoa

- Jimbo la Kondoa Vijijini
Dkt. Ashatu Kijaji

- Jimbo la Dodoma Mjini
Anthony Mavunde

- Jimbo la Mpwapwa
George Malima

7. Mkoa wa Ruvuma
- Jimbo la Namtumbo

Vita Kawawa

8. Mkoa wa Mbeya
- Jimbo la (Vwawa - Songwe)

Japhet Hasunga

- Jimbo la Ludewa
Joseph Kamonga

= Orodha zaidi itakujia hivi punde=
Aisee wapinzani wamepigwa vibaya mwanzoni
 
Back
Top Bottom