Majimbo ya Ubunge yaliyosimamisha wagombea wa CCM bila wagombea wa Upinzani
Daaaah mbona bonge la handicap 9 - 0 . Hapo labda Lisu aka Luca Doncic aka Luca Magic, ndio awakomboe upinzani. Naimani TAL atapiga step back and let all of us Free.
 
Upelelezi ufanyike kama kuna rushwa zimetolewa hao wagombea wa upinzani wafukuzwe uanachama na ikiwezekana wale vichapo mtaani maana wanatuvua nguo watanzania kwa kweli.
 
Wakanunue wapinzani na majimbo mengine ili kufika kesho yawe yamejaa yote tujue tumerudi enzi za ujima tu.
 
Kuna rafiki yangu anaitwa jonas nka sijui ndio huyu
Jonas Nkya aligombea na kupitishwa kwenye kura maoni CCM jimbo la Mikumi, Ila kamati kuu ikakata jina lake ikamteua mtu mwingine anaitwa Lazaro kugombea Jimbo Hilo ambalo atashindana na Joseph haule wa Chadema ambaye anatetea Jimbo Hilo. Tatizo huyo rafiki yako jonas Ni tapeli Sana na mwizimwizi pamoja na elimu yake ya sheria.
 
Wewe tulishakudharau kila kitu unashindwa tu. Kwenye kutangaza vifo vya corona umeshindwa leo tena ulikuja na ngonjera ya kutekwa kwa wagombea wa saccos nako umeshindwa! Hata hili nalo utashindwa tu!
💥🎶🎼💃🕺💃🕺🎧🥁🎤
 
Picha zinakua zimegongwa muhuri na unakua umegusa karatasi..SASA kama alikua mbunge wa viti maalum na alijaziwa kule ofisini na wataalamu ni vigumu kukosea but now kuna pirika kibao kwenye hivyo vyama na kila mmoja anapambana kivyake but we angalia CCM..wenyeviti,makatibu wa mikoa na wilaya wengi wako maofisini kuwasaidia wagombea wao.. tofauti na vyama vingine unakuta kuanzia Mwenyekiti wa Taifa na safu nzima ya Viongozi wa kitaifa,Mkoa na Jimbo wote wanagombea ubunge,udiwani hata urais...as the result hawana officials ambao wametulia kuwapa miongozo na msaada wa kiofisi...na mbaya zaidi siku ya kurejesha form ni moja tuu na deadline ni saa 10.
Na ile ofisi mliofunga siku ya kurudisha fomu deadline yake ilikuwa Juzi? Acha kutetea upuuzi wa kijinga.
 
Hizi za kupita bila kupingwa, sisi kama wajumbe wanatukosesha mitonyo ya kampeni.

Hakika haikubaliki, tume iwarudishe wapinzani. Ama lah watuwekee na kivuli tukichague kuliko hawa wanaojifanya kupita bila kupingwa.
 
Jonas Nkya aligombea na kupitishwa kwenye kura maoni ccm jimbo la Mikumi, Ila kamati kuu ikakata jina lake ikamteua mtu mwingine anaitwa Lazaro kugombea Jimbo Hilo ambalo atashindana na Joseph haule wa chadema ambaye anatetea jimbo hilo. Tatizo huyo rafiki yako jonas Ni tapeli Sana na mwizimwizi pamoja na elimu yake ya sheria
Huyo Nkya ni yule mtoto wa yule Mama aliekuwa Wizara ya Afya?
 
Hakuna kupita bila kupingwa hio ipo tz pekee, hayo majimbo ni lzm uchaguzi ufanyike hata baada ya mengine kupiga kura.
 
Inavyoonekana kujaza form ya NEC kwa usahihi ni vigumu sana kuliko kufaulu mtihani wa APPLIED MATHEMATICS hasa kama ulisoma BAM tu.
Vipi kama ulizipiga zote, Backhouse one and two? 😁😁
 
Roving Journalist,

hii njia ya kupita bila kupingwa ni dhulma dhidi ya wananchi. watanzania wote tunapaswa kuwakataa wezi na matapeli wakisia wanaotaka kulipwa mshahara wa ubunge kwa miaka mitano bila ridhaa ya wananchi. tume haina mamuraka ya kuteuwa mbunge, mbunge anachaguliwa na wananchi kama muwakilishi wao wa mahitaji yao ndani ya serikari kuu.

Sasa kama hujafanya kampeni na kuwasikiliza wananchi wanahitaji nini bungeni unaenda kufanya nini kama sio wizi kulipwa mshahara wa kibumge wakati wananchi unao jiita mbunge wao hata hujui shida zao. lazima tufike mahari hizi sheria za kijinga zifutwe.
 
hivi ni wagombea wa upinzani tuu ndio wakosa vigezo? NEC hili taifa tunalipenda sana maana hakuna sehemu nyingine nzuri kwa watanzania ispokuwa tanzania.

Acheni ngiriba za kupendelea chama kimoja dhidi ya vyama vingine. mtenda haki hulipenda taifa
Haya mambo ndiyo yanayo ifanya tume ilalamikiwe!. Hujuma za wazi hufanywa return officers wa tume na hakuna anaye wawajibisha.
 
Rushwa ni tatizo kubwa wagombea wengi wa Chadema ambao ni Chaguo la Kada wa Chama cha Mapinduzi na mmiliki halali wa Chadema Mbowe ni mamluki walioko after money.

Wanatangaza nia na kumtumia Kada mwenzao Mbowe ili wapige pesa.

Majimbo yote yanayoshikiliwa na mawaziri na Wafanyabiashara hua wanapita bila kupingwa kwa sababu ya pesa zinazotumika kununua washindani wao ili wasipate kazi ya kampeni!

Hayo majimbo ya mawaziri na Wafanyabiashara ni dili kwa Mbowe na vinaraka wake anaowapitisha ili wakagombee. Ndio maana anang'ang'ania wao ndio wagombee. Baadae wanajifanya kuwa Mara wamekosea, Mara wamenyanganywa form kumbe wameshakula mpunga.

Hivi kweli devota anashindwa kujaza fomu?
 
Rushwa ni tatizo kubwa wagombea wengi wa Chadema ambao ni Chaguo la Kada wa Chama cha Mapinduzi na mmiliki halali wa Chadema Mbowe ni mamluki walioko after money.

Wanatangaza nia na kumtumia Kada mwenzao Mbowe ili wapige pesa.

Majimbo yote yanayoshikiliwa na mawaziri na Wafanyabiashara hua wanapita bila kupingwa kwa sababu ya pesa zinazotumika kununua washindani wao ili wasipate kazi ya kampeni!

Hayo majimbo ya mawaziri na Wafanyabiashara ni dili kwa Mbowe na vinaraka wake anaowapitisha ili wakagombee. Ndio maana anang'ang'ania wao ndio wagombee. Baadae wanajifanya kuwa Mara wamekosea, Mara wamenyanganywa form kumbe wameshakula mpunga.

Hivi kweli devota anashindwa kujaza fomu?
Siasa ni mchezo mbaya sana. Kama unataka kuishi maisha marefu, kuzima mishumaa 101 kwenye Birthday yako; kaa mbali na mdudu anaitwa siasa. Na hii haijalishi ni siasa za huku kwetu au za huko wanakotudanganya kuwa kuna demokrasia. 😅😅
 
Rushwa ni tatizo kubwa wagombea wengi wa Chadema ambao ni Chaguo la Kada wa Chama cha Mapinduzi na mmiliki halali wa Chadema Mbowe ni mamluki walioko after money.

Wanatangaza nia na kumtumia Kada mwenzao Mbowe ili wapige pesa.

Majimbo yote yanayoshikiliwa na mawaziri na Wafanyabiashara hua wanapita bila kupingwa kwa sababu ya pesa zinazotumika kununua washindani wao ili wasipate kazi ya kampeni!

Hayo majimbo ya mawaziri na Wafanyabiashara ni dili kwa Mbowe na vinaraka wake anaowapitisha ili wakagombee. Ndio maana anang'ang'ania wao ndio wagombee. Baadae wanajifanya kuwa Mara wamekosea ,Mara wamenyanganywa form kumbe wameshakula mpunga.

Hivi kweli devota anashindwa kujaza fomu?
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom