Majina ambayo ni moja ...yanatofautishwa na jinsia za watoto...tuweke list

Majina ambayo ni moja ...yanatofautishwa na jinsia za watoto...tuweke list

Traditional za wazaramu majina yalikuwa yanatoa ujumbe kule binti alipoenda.. ukweni....so akimuita mtoto shida ana maana huko ukweni shida tupu......akimuita mtoto siwatu manake anawasema hao wakwe si watu...Havintishi manake kuna mambo wanamfanyia lakin hatishiki etc...
Hahahaa hiyo kali.
Wanapenda uswahili sana ila ndio asili yao
 
Back
Top Bottom