Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACHA UONGO, kama jambo hujui bora unyamaze, kina EMANUEL ni wapole tena wana akili kinoma, nadhani huyo uliemfanyia utaiti ana jina kama lako, amekudanganya,Hello wana JF ktk tafiti mbalimbali zinaonyesha wazi majina tunayobatizwa au tunayopewa na wazazi hufanana na tabia ambazo tunakuwa nazo tukifika ukubwani. Na hii hugundulika baada ya kulinganisha watu wawili watatu na kuwafanya sample ktk jina wanalofanana na baadhi ya majina huwa na sifa mbaya.Mfano jina la ASHA watu wenye majina haya wengi wao huwa waongeaji saana,wapenda udaku na mengine mengi na kwa wa vulana jina la EMMANUEL- watu wenye jina hili huwa wapenda ugomvi na wenye sura za upole sana. Huu ni mtazamo wangu je wewe nipe majina mengine na tabia zake na ni je unakubaliana kuwa tabia zinaendana na majina?
kina fadhili je?
Vipi akina mwanaasha?
Stela/mariamu ni baa med
acha uzushi wewe
Mary , Mage hao kwa kutoa hawana hiyana
Stella- wakorofi a.k.a ndimu!
Akina Steve ni watundu sana jamani, mwee!