Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Poleni sana
Mungu awatie nguvu
Kinachouma zaidi ni vijana wadogo

Bora wangekua age go kama babu Grahams au we mzee unaogopa kukata kamba si umeona vingi sana hahahaha
Miaka fulani Mungu akitaka kuchukua roho ya mja wake, alikuwa akitoa taarifa.

Kuna mdau mmoja, alikuwa na umri a miaka 90+ hivi, alipewa hiyo taarifa kwamba "You are next"

Aliangua kilio sio cha Nchi hii, akaanza kumkumbusha Sir God sadaka alizotoa Kwa Yatima na Wajane, plus kumjengea Mungu nyumba ya Ibada.

Baada ya kumlilia sana Sir God, ndiyo akapewa extension period ya miaka 15 zaidi ya kuishi.

Nilitaka kusema, hata Wazee tunaogopa kutangulia

Imagine hawa watoto wa elfu 2 tumwachie nani 😜
 
Hahaha.........kwahiyo nimekuwa mtabiri Babu yako, usisahau kuniletea zawadi ya Kiko tu 🤗

Kapachino najua umepata ujumbe, kazi kwako kufanyia kazi 🤗
Umekosea kidogo sana, kwenye kurudi wewe umeweka kwenda 😹🤣🤣
Nimeshtuka mpk nikahisi ulionana na binti km mimi nini!! (Mana babu kwa safari uko vizuri) 😹

Kiko umepata usiwaze babu G 😍
 
Umekosea kidogo sana, kwenye kurudi wewe umeweka kwenda 😹🤣🤣
Nimeshtuka mpk nikahisi ulionana na binti km mimi nini!! (Mana babu kwa safari uko vizuri) 😹

Kiko umepata usiwaze babu G 😍
Sikutaka kuweka details zote

Hawa Vijana hawakawii kuninunia Babu yao Kwa kuhisi tofauti

Nilikuona, ila sikutaka kupoteza identify yetu.

Tuendelee kuwa ghost hivi hivi 🤗
 
Poleni sana
Mungu awatie nguvu
Kinachouma zaidi ni vijana wadogo

Bora wangekua age go kama babu Grahams au we mzee unaogopa kukata kamba si umeona vingi sana hahahaha
Bado wadogo na mama yao kapambana mpk wamefika hapo, baba yao alikufa aliwaacha wadogo… mama kafight mpk kahamishia biashara dar mwanzo walikuwa tdm..! 🥹

Sasa unataka babu Gram awahi kufa, nani atanichekeshaga mwenzako na hekaheka zake na mibibi yake ya JF 😹😹😹

Nikiingia humu nasomaga comment za babu nacheka, leo niliona kuna uzi wa dhambi kachangia nimejikuta nacheka msibani 🤣
 
😹😹 Chino kuna kitu nimekumbuka hapa nimecheka..

Nilikuwa na rafiki yangu mmoja msukuma, sasa si unajua wasukuma wana masihara na utani mwingi, basi yule rafiki yangu tukawa tunataniana tunaitana babe… siku hiyo bana akanitongoza kweli mi nikajua utani unaendelea niko kucheka mpk machozi 🤣 (Najua utani unaendelea) nikaona kawa mkali niache kucheka nimsikilize, basi mimi ndo nazidi kukauka kucheka, ikabidi mpk na yeye azuge aanze kucheka..

Juzi hapa akanitafuta kwenye simu ananipa hi ndio akanikumbusha, akasema hatokuja kufanya utani tena na mwanamke anayempenda 😹😹🤣🤣
Nikamzingua kwa kumuuliza, “ Hivi kumbe kipindi kile ulimaanisha?” Akajibu, hata ss hivi niko serious hukuona first born wangu nilimpa jina lako, mpk wife kamind 😹
Hahaha
Numemkubali sana mwana
Yuko flexibility ana change gia tokana na mazingira

Si umeona hapo ulivo jikoki kumuuliza kwamba alikua anamaanisha namwamba jibu ni yes

Hi ndo ile ukijichanganya unakuta shwaaa umeshaachiwa manyoya.

Alafu hii hata Mimi ishanikuta humu humu jf haha alafu nashangaa narudia
 
Habari wakuu.

Kama mnakumbuka niliwahi kuandika uzi juu ya ndoto yangu ya kuanzisha Lodge na nikaumba ushauri juu ya biashara hiyo ambayo Kwa mapenzi ya Mungu mwakani nitakua tayari kuifanya InshaAllah🙏🏼.

Sasa ktk harakati zangu za kufanya research juu ya biashara hii kuna mtu akanishauri nipite pite ktk Lodge kadhaa nione wenzangu wanavyofanya na akanishauri ktk Lodge nitakazopitia nisiache kufika ktk Lodge inayoitwa ALAFAYA iliyoko VIKINDU.

Nikamwambia why niende mbali kote huko?Akasema wewe nenda amini utajifunza mengi.Siku ya siku nikaenda hapo ALAFAYA nikajifanya mteja.Nilipofika hapo nikaelewa kwanini jamaa yangu alisisitiza niende hapo.

Ni ka Lodge fulani hivi kadogo dogo kenye mazingira tulivu na yenye kuvutia sana ndani na nje.Naweza kusema kwa wilaya nzima ya mkuranga hakuna Lodge Classic kama ile.Vipo vingi nimeiga na kuvifanya vizuri zaidi yao😀😀

Tuachane na hayo.Kilichonishangaza hadi kuandika huu uzi ni majina ya vyumba vya ile Lodge.Nimezoea kuona watu wakiandika room numbers au majina ya mikoa au wanyama ila huyu mwenye hii Lodge sijui aliwaza nini hadi akaweka haya majina.

Hili la haya majina sina uhakika kama ni la kuiga bado linanifikirisha😀😀😀

Jioneeni wenyewe kwenye picha wakuu🙃⬇️⬇️View attachment 3153877View attachment 3153878View attachment 3153879View attachment 3153880View attachment 3153882View attachment 3153889View attachment 3153890
Biashara n ubunifu huyu kaweza jitahidi nawe umzidi huyu naimani utakuwa Bora zaidi
 
Bado wadogo na mama yao kapambana mpk wamefika hapo, baba yao alikufa aliwaacha wadogo… mama kafight mpk kahamishia biashara dar mwanzo walikuwa tdm..! 🥹

Sasa unataka babu Gram awahi kufa, nani atanichekeshaga mwenzako na hekaheka zake na mibibi yake ya JF 😹😹😹

Nikiingia humu nasomaga comment za babu nacheka, leo niliona kuna uzi wa dhambi kachangia nimejikuta nacheka msibani 🤣
Aiseee
Nimemcheki bi mkubwa wao analia vibaya mno.
Acha alie tu
Watoto wanauma

Jana sms nyingi za usia zilikua ni flani nilelee mwanangu,

Kwaiyo babu yako Grahams ana timu ya mpira kabisa eh
 
Hahaha
Numemkubali sana mwana
Yuko flexibility ana change gia tokana na mazingira

Si umeona hapo ulivo jikoki kumuuliza kwamba alikua anamaanisha namwamba jibu ni yes

Hi ndo ile ukijichanganya unakuta shwaaa umeshaachiwa manyoya.

Alafu hii hata Mimi ishanikuta humu humu jf haha alafu nashangaa narudia
Ilikutokea kwa mywani wako 🤣😹
 
Aiseee
Nimemcheki bi mkubwa wao analia vibaya mno.
Acha alie tu
Watoto wanauma

Jana sms nyingi za usia zilikua ni flani nilelee mwanangu,

Kwaiyo babu yako Grahams ana timu ya mpira kabisa eh
Inaumiza sana basi ndio hivyo yashatokea Mungu awatie nguvu..! 😥

Babu anaupiga mwingi, yani nimecheka kwenye ule uzi.. nikitulia ntamkumbusha
 
Habari wakuu.

Kama mnakumbuka niliwahi kuandika uzi juu ya ndoto yangu ya kuanzisha Lodge na nikaumba ushauri juu ya biashara hiyo ambayo Kwa mapenzi ya Mungu mwakani nitakua tayari kuifanya InshaAllah🙏🏼.

Sasa ktk harakati zangu za kufanya research juu ya biashara hii kuna mtu akanishauri nipite pite ktk Lodge kadhaa nione wenzangu wanavyofanya na akanishauri ktk Lodge nitakazopitia nisiache kufika ktk Lodge inayoitwa ALAFAYA iliyoko VIKINDU.

Nikamwambia why niende mbali kote huko?Akasema wewe nenda amini utajifunza mengi.Siku ya siku nikaenda hapo ALAFAYA nikajifanya mteja.Nilipofika hapo nikaelewa kwanini jamaa yangu alisisitiza niende hapo.

Ni ka Lodge fulani hivi kadogo dogo kenye mazingira tulivu na yenye kuvutia sana ndani na nje.Naweza kusema kwa wilaya nzima ya mkuranga hakuna Lodge Classic kama ile.Vipo vingi nimeiga na kuvifanya vizuri zaidi yao😀😀

Tuachane na hayo.Kilichonishangaza hadi kuandika huu uzi ni majina ya vyumba vya ile Lodge.Nimezoea kuona watu wakiandika room numbers au majina ya mikoa au wanyama ila huyu mwenye hii Lodge sijui aliwaza nini hadi akaweka haya majina.

Hili la haya majina sina uhakika kama ni la kuiga bado linanifikirisha😀😀😀

Jioneeni wenyewe kwenye picha wakuu🙃⬇️⬇️View attachment 3153877View attachment 3153878View attachment 3153879View attachment 3153880View attachment 3153882View attachment 3153889View attachment 3153890
Lipia tangazo. Hii lodge ya kwako waallah.
 
Back
Top Bottom