Majina wanaopewa wanaume wasiofanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini

Majina wanaopewa wanaume wasiofanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Naleta majina yanayotumika kwa watu ambao hawajafanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini

Isemboo Kichaga
Warisyaa Kikurya
Isekaa Kimeru
Laiyok Kimasai
Akakata Kinyakyusa
Murajoni Kikaguru

Naomba utaje huko kwenu wasiofanyiwa tohara wanaitwaje

Niwatakie siku njema wapendwa
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naleta majina yanayotumika kwa watu ambao hawajafanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini

Isemboo kichaga
umurisaa kikurya
Isekaa kimeru
Raiyoni kimasai

Naomba utaje huko kwenu wasiofanyiwa tohara wanaitwaje

Niwatakie siku njema wapendwa
Kwa kikaguru wanaitwa MURAJONI. hili neno linajumuisha dharau ndani yake

kwa mtu alietahiriwa na ukamuita MURAJONI anaweza kukufungulia kesi mahakamani au akakutupia majini
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naleta majina yanayotumika kwa watu ambao hawajafanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini

Isemboo Kichaga
Warisyaa Kikurya
Isekaa Kimeru
Layiok Kimasai
Mnyambala Kinyakyusa

Naomba utaje huko kwenu wasiofanyiwa tohara wanaitwaje

Niwatakie siku njema wapendwa
Mnyambala kwa kinyakyusa sio asie fanyiwa tohara ni mwanaume!Asiyetahiriwa tunaita'Akakata'
 
Back
Top Bottom