Gifted Girl
Senior Member
- Jul 16, 2024
- 108
- 241
Wanemba - nilisikia umakondeni huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kiafya uepukaji wa magonjwa yasiyo na ulazima kama UTI, magonjwa ya zinaa.Ni lazima Kwa mujibu wa maandiko
Ohooo...🤸🤭Watani zangu Wajaluo na wasukuma hawawezi kutokea hapa maana ni jadi yao kutotahiriwa😆
Kakate govi ndugu Govinda.kwanini watu wasiofanyiwa tohara wapewe majina ya ajabu ajabu wakati kitendo hicho sio jambo la lazima, na hata mtu asipofanyiwa hapungui lolote
Usikute zote ni IDs zake yani, pori tofauti ila nyani ni wale wale......😂Hao uliowatag ni magovi ?
Imekuwa kama sheria..imeleta mindset kuonekana ni hali ya ajabu ..hata zoezi linapofanywa ni sbb zaidi za kisaokolojia na kiafya..anyway imekuwa mhimu kwa kila kabila..na taasisi za serikali na mashirika yasiyo kiserikali wakiwa na ruzuku utawaona wakihamasisha circumcision hasa kwa wanaume watu wazimq. Sabab za kiafya ndo mhimu zaidi. But one can take care hygiene yake na isiwe tatizo sana. Ila kisaikolojia meeting your partner for sex inaleta kutojiamini.kwanini watu wasiofanyiwa tohara wapewe majina ya ajabu ajabu wakati kitendo hicho sio jambo la lazima, na hata mtu asipofanyiwa hapungui lolote
Biblically kutahiriwa au kutotahiriwa manayake ilikuwa kiroho zaidi..ila kimwili Yes or No ni sawa, ila kama utamaduni fulani na ni kama manhood inatambulishwa kwa tohara, though common sense values nothingsijui kwenu wakristo, ila kwetu waislamu kitendo cha kutahiriwa kipo kundi la 'sunna' yani maana yake ni matendo ambayo ni mazuri kuyatenda lakini sio ya lazima.
Nakumbuka shule huko kanda ya kati, wanapokuja kwa form 1 na form 5 wanakuja na magovi, ile hali ya shule kuchekwa wakienda lilizo tu wakirudi wamekata magovi yao.Watani zangu Wajaluo na wasukuma hawawezi kutokea hapa maana ni jadi yao kutotahiriwa😆
Kama hauamini maandiko?Ni lazima Kwa mujibu wa maandiko
Isembo ni mjingaIsemboo siyo asiye fanyiwa tohara bali maana ya isemboo ni mtomb...waji (The one who fuc..ked).
kwann una penda magovi??Wadau hamjamboni nyote?
Naleta majina yanayotumika kwa watu ambao hawajafanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini
Isemboo Kichaga
Warisyaa Kikurya
Isekaa Kimeru
Laiyok Kimasai
Akakata Kinyakyusa
Murajoni Kikaguru
Naomba utaje huko kwenu wasiofanyiwa tohara wanaitwaje
Niwatakie siku njema wapendwa
Kwambaaa ni Msengeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Isemboo siyo asiye fanyiwa tohara bali maana ya isemboo ni mtomb...waji (The one who fuc..ked).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye kabila la MABICHWA KOMWE mtu asiyetairiwa anaitwa GOVINDA.
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy cocastic Mzee wa kupambania dronedrake The Icebreaker
Ndio ivoKwambaaa ni Msengeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watani zangu Wajaluo na wasukuma hawawezi kutokea hapa maana ni jadi yao kutotahiriwa