dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Usiishi na govi kiongozi; govi ni takataka. Ondoa govi kama sehemu ya usafi wa kimwili na kiroho pia. Wazaliwa wa kiume watahiriwe as soon as practicable!kwanini watu wasiofanyiwa tohara wapewe majina ya ajabu ajabu wakati kitendo hicho sio jambo la lazima, na hata mtu asipofanyiwa hapungui lolote