Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Hata wahehe na wafipaWatani zangu Wajaluo na wasukuma hawawezi kutokea hapa maana ni jadi yao kutotahiriwa😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wahehe na wafipaWatani zangu Wajaluo na wasukuma hawawezi kutokea hapa maana ni jadi yao kutotahiriwa😆
sijui kwenu wakristo, ila kwetu waislamu kitendo cha kutahiriwa kipo kundi la 'sunna' yani maana yake ni matendo ambayo ni mazuri kuyatenda lakini sio ya lazima.Ni lazima Kwa mujibu wa maandiko
Unahakika siyo lazima?sijui kwenu wakristo, ila kwetu waislamu kitendo cha kutahiriwa kipo kundi la 'sunna' yani maana yake ni matendo ambayo ni mazuri kuyatenda lakini sio ya lazima.
sio lazima. ni 'vizuri' kutahiri mtoto wa kiume. ni vizuri tena sana. ila sio lazima. ikitokea mtu hajatahiriwa utotoni sio lazima atahiriwe.Unahakika siyo lazima?
Kwetu hatufanyi huu ujinga ambao unapunguza raha!Wadau hamjamboni nyote?
Naleta majina yanayotumika kwa watu ambao hawajafanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini
Isemboo Kichaga
Warisyaa Kikurya
Isekaa Kimeru
Laiyok Kimasai
Akakata Kinyakyusa
Murajoni Kikaguru
Naomba utaje huko kwenu wasiofanyiwa tohara wanaitwaje
Niwatakie siku njema wapendwa
Wahaya na makabila yote ya mkoa wa Kagera wanaotahiriwa ni waislamu tu, ila miaka ya karibuni kuanzia mwaka 2000 baada ya serikali kufanya kampeni maalumu kuhimiza wanaume kutahiriwa ndio wakristu wa mkoa wa Kagera wameanza na wao kutahiriwa.Watani zangu Wajaluo na wasukuma hawawezi kutokea hapa maana ni jadi yao kutotahiriwa😆
Wasukuma wanatahiriwaWatani zangu Wajaluo na wasukuma hawawezi kutokea hapa maana ni jadi yao kutotahiriwa😆
Hapa sasa unamaanisha mwanaume au mwanamkeIsemboo siyo asiye fanyiwa tohara bali maana ya isemboo ni mtomb...waji (The one who fuc..ked).
Hao uliowatag ni magovi ?Kwenye kabila la MABICHWA KOMWE mtu asiyetairiwa anaitwa GOVINDA.
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy cocastic Mzee wa kupambania dronedrake The Icebreaker
Wanachuoni Wana kauli tafauti juu ya jambo hili.Unahakika siyo lazima?
Hapana isembo ni fucke...nSio kweli isembo ni mjinga
Pole sana Govinda, huku ndiko kupigwa na jiwe gizani.kwanini watu wasiofanyiwa tohara wapewe majina ya ajabu ajabu wakati kitendo hicho sio jambo la lazima, na hata mtu asipofanyiwa hapungui lolote
Mwanamke aiseee japo dunia inavoenda mbio mbio hadi wanaume wameaga maisha.Hapa sasa unamaanisha mwanaume au mwanamke