Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Ni lazima Kwa mujibu wa maandikokwanini watu wasiofanyiwa tohara wapewe majina ya ajabu ajabu wakati kitendo hicho sio jambo la lazima, na hata mtu asipofanyiwa hapungui lolote
😅😅😅 Ndagha nkamuuKinyakyusa anaitwa mnyambala.
Kwa kikaguru wanaitwa MURAJONI. hili neno linajumuisha dharau ndani yakeWadau hamjamboni nyote?
Naleta majina yanayotumika kwa watu ambao hawajafanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini
Isemboo kichaga
umurisaa kikurya
Isekaa kimeru
Raiyoni kimasai
Naomba utaje huko kwenu wasiofanyiwa tohara wanaitwaje
Niwatakie siku njema wapendwa
Teteteeee!Watani zangu Wajaluo na wasukuma hawawezi kutokea hapa maana ni jadi yao kutotahiriwa😆
Sawa Mkuu tupe neno sahihi Mkuu tuweke kumbukumbu vizuriIsemboo siyo asiye fanyiwa tohara bali maana ya isemboo ni mtomb...waji (The one who fuc..ked).
Hicho kimasai siyo?Layiok
Sio kweli isembo ni mjingaIsemboo siyo asiye fanyiwa tohara bali maana ya isemboo ni mtomb...waji (The one who fuc..ked).
ndio ni kimasai mkuuHicho kimasai siyo?
Mnyambala kwa kinyakyusa sio asie fanyiwa tohara ni mwanaume!Asiyetahiriwa tunaita'Akakata'Wadau hamjamboni nyote?
Naleta majina yanayotumika kwa watu ambao hawajafanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini
Isemboo Kichaga
Warisyaa Kikurya
Isekaa Kimeru
Layiok Kimasai
Mnyambala Kinyakyusa
Naomba utaje huko kwenu wasiofanyiwa tohara wanaitwaje
Niwatakie siku njema wapendwa