Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wanawake mnapenda sana kuzira na kususa ila ningekuwa karibu ningekubembeleza.Kabisa huu ndo ukweli, nakumbuka nilienda kumbatiza firstborn (nilimpa jina la kiswahili) akasema hilo jina halipo kwenye biblia nitafute lililopo kwenye biblia, nililichukia hilo kanisa RC na sikurudi tenaaaaaa niko zangu Lutheran saiv
Walinikera kwa hilo jibu, mtoto nimbebe miezi 9 nimzae kwa uchungu halafu unichagulie jina la kwenye biblia kwamba nililompa halifai !!!! Nyoooooko zaoWanawake mnapenda sana kuzira na kususa ila ningekuwa karibu ningekubembeleza.
Niliwahi kuwa na pisi moja inaitwa Naomi ni mixture ya Maasai na Mang'ati aisee ni 🔥MAASAI MEN
Losaru
Lobulu
Logotu
Longishu
Loo Mbesai
Losujaki
Lomayan
Loserian
Losyeku
Naomi
MAASAI WOMEN
Nossim
Nana
Nasyeku
Naserian
Namayan
Nongishu
Noo Mbesai
Naisujak
Nabulu
Naomi
Wewe mwenyewe tatizo City Owl ndio nini ?Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Sio pwani sema Zanzibar huko.Pwani ndio kabisa ni mwendo wa Nasri Nassoro Abdalah hakuna tena kina mbonde Wala mbwinde
Huu ni udhaifu mkubwa ndani ya jamii yetu.Na kwa kuchekana kisa majina yetu ya kiafrika ndo hatari..!!!
Sisi akina Mapunda, Ngonyani, Nguruwe, Fisi (Mbiti), Mang'ombe, Tembo, Katembo, Mhanga etc huwa tunachekwa sana na wasiotambulika kwa majina ya namna hii.
Kwanini usijiite kufa kunoga?City Owl ni kifungu cha maneno "phrase' ya kiingereza.
Kwa vile tunatumia majina feki hapa JF, City Owl linafaa kwa matumizi feki.
Tatizo ni kwamba kizazi chetu ndiyo tunathamini majina ya ukoo.Majina ya ukoo yako pale pale, maybe hawawapi watoto wao lakin hayapotei
Uko sahihi kabisa. Majina yetu ya asili, ambayo mengi yana maana kama Mabula, Mayala, Mwooga, nk. Tumemeba majina ya ubatizo. Mbeleni tutapoteza identity kabisa!Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Mimi hili Jina la asili ya Tanzania wewe lako City Owl sio la asiliWewe mbona unajiita ndengisivili na sio kufa kunoga?
Mimi mke wangu walitaka ku question maana ya jina lake wakati anapokea kipaimara ila wakaishia kukubali kishingo upande.Walinikera kwa hilo jibu, mtoto nimbebe miezi 9 nimzae kwa uchungu halafu unichagulie jina la kwenye biblia kwamba nililompa halifai !!!! Nyoooooko zao
Huyo mpuuzi hakuna kitu kibaya kuhusu waisrael utamuambia akakuelewaHapo ukute anaona mtoto wake anaenda mbinguni kwa kumuita Israel.
tatizo le2 2nachamba wima!!Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?