ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 496
- 570
Acha nikubali hii ni account ya kwanza hapa jf....kwaio nawewe unakubali kwamba ulikosea na unaweza kufungua account mpya ya mwaka 2025 itakayotukuza uafrica? Maana John au Mohamad waliitwa hayo majina bila kupenda na wazazi wao ila wewe City Owl umejiita mwenyewe kwa kutukuza ukoloniUmejiunga JF 2024, Mimi nimejiunga 2014.. Miaka 10 iliyopita. Sikuwa nafikiria kama ninavyofikiria sasa.
Usichukulie hizi title za JF serious sana mkuu. Huwa ni maneno tu unakutana nalo huko.Acha nikubali hii ni account ya kwanza hapa jf....kwaio nawewe unakubali kwamba ulikosea na unaweza kufungua account mpya ya mwaka 2025 itakayotukuza uafrica? Maana John au Mohamad waliitwa hayo majina bila kupenda na wazazi wao ila wewe City Owl umejiita mwenyewe kwa kutukuza ukoloni
Sichukulii serious nilikua nachallenge Mada yakoUsichukulie hizi title za JF serious sana mkuu. Huwa ni maneno tu unakutana nalo huko.
Huwezi linganisha na Jina halisi ambalo ni utambulisho wako na wa jamii yako.
Kwani jina lako lina maana gani? Ni la kabila gani? I ๐๐๐๐Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Shida ni kwamba si watu wengi wanaoona hilo kama kukumbatia ukoloni..Ndugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Jack Chan Bruce Lee hapo vipi si ya kizingu hayoSio kweli.
Mbona wachina Wana nyumba za kisasa na hawajiiti majina ya kizungu au kiarabu?
city owl ni jina la wapi mkuuNdugu wanaJF,
Kufikia mwisho wa karne ya 21, majina kama Masawe, Otieno, Gwamaka, Kamugisha, Masanja n.k yatafutika nchini kwetu.
Imekuwa nadra mno kukuta mtanzania mwenye majina matatu, yote yenye asili ya kabila lake, au hata ya makabila ya hapa Tanzania au Afrika kwa ujumla.
Ubantu unaisha. Unailoti unaisha.
Watu wa pwani walishapotezwa kitambo. Wao wengi wao wana majina ya kiarabu tupu.
Wakina Mohammed Said. Hata Surname za kiafrika walishaacha.
Watu wa bara ndiyo walikuwa badobado, lakini nao sasa watoto wao ni wakina Brian McDonald, Humphrey Jr. Scott au Natasha-Rose Leonard.
Hata wazungu, wachina, wahindi na waarabu wanatushangaa sana.
Wao hawana huu ujinga.
Hakuna mzungu anaitwa Manka, hakuna muarabu anaitwa Mabula wala mchina anayeitwa Mahenge.
Ngugi wa Thiong'o huyaita haya majina colonial tags.
Yeye aliachana na colonial tag yake 'James' akabaki na Ngugi wa Thiong'o.
Je, waafrika tumeshindwa kuthamini majina ya tamaduni zetu na kuachana na majina ya kigeni?
Kwann mkuuMimi binti yangu nimemuita Furiosa wa kiume nimemwita madmax.
Wazungu na waarabu wamefanikiwa kuwahadaa sana waafrika.Dini, wanadai majina kama mabula palamagamba ni ya kishetani๐ค
Usihadaike na hayo majina ya stage mkuu.Jack Chan Bruce Lee hapo vipi si ya kizingu hayo
Waafrika wapo karibu na wazungu na waarabu genetically ndio maana wanakuwa rahisi kukopi utamaduni wa wazungu na waarabu๐๐๐Muafrika na tamaduni za kigeni ni pipa na mfuniko