Majina ya Kihaya na maana zake

Byalugaba/byarugaba inamaanisha nini?
 
Hii inatusaidia nini zaidi ya kueneza ukabila mwanangu? Kesho tutaletewa ya kisukuma, kikurya na mengine mengi ya ajabu ajabu. Je, kwa taifa liliozika ukabila miaka ile inatusaidia nini? Hii ingefaa upeleke Kenya lakini si Tanzania.
Basi nawewe unajiona umekemea ukabila😅😅😅.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…