Majina ya Kihaya na maana zake

Kuna dogo alizaliwa mtaani huku sasa bimkubwa wake alijifungulia home tu fasta hata kabla hawajampeleka hospitali dogo wanamuita Kairuki wakasema maana yake aliezaliwa haraka. Wajuzi mtusaidie
 
Kuna dogo alizaliwa mtaani huku sasa bimkubwa wake alijifungulia home tu fasta hata kabla hawajampeleka hospitali dogo wanamuita Kairuki wakasema maana yake aliezaliwa haraka. Wajuzi mtusaidie
Yeah sahihi kabisa😁😁 kambio kakimbiaji
 
Chai
 
NAMBA 1 NA NAMBA 21,zimeneendana vzr sn kwa muhusika
 
Momumo!
 
Hii inatusaidia nini zaidi ya kueneza ukabila mwanangu? Kesho tutaletewa ya kisukuma, kikurya na mengine mengi ya ajabu ajabu. Je, kwa taifa liliozika ukabila miaka ile inatusaidia nini? Hii ingefaa upeleke Kenya lakini si Tanzania.
Wew na waliolike mko brainwashed....sasa mtu kutaja majina ya kabila lake inakuaje ukabila...

Yaan unakataa jina la asili yako na kufurahia majina ya kizungu ambayo hata hujui maana yake...ili uondoe ukabila?[emoji28]
 
Kuna dogo alizaliwa mtaani huku sasa bimkubwa wake alijifungulia home tu fasta hata kabla hawajampeleka hospitali dogo wanamuita Kairuki wakasema maana yake aliezaliwa haraka. Wajuzi mtusaidie
Atafanikiwa kama ukoo wa kairuki unaomiliki mahospitali, vyuo, viwanda nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…