Majina ya Kinyakyusa na maana zake, twenzetu hapa

Ambilikisye : Amenisikia
Ahombile:???
Mbonile:???
Mboka:???
Bupe:???
Lwitiko:Imani
Asumwisye:???
Nsubili:???
Ndimyaki
Ndimyaki........nipo kwake
asumwisye.......ameniamsha
mboka.........nisaidie
ahombile..........amelipa fidia
 
Hakika mkuu,hata mazingira pia yanaweza kutoa maana ya neno la kinyakyusa,upo sahihi
 
Tanesco
Mwabarabara
Mwamaji 😀😀😀😀
Jokes ¡!!!🙁
 



Mkuu, mimi siyo Mnyakyusa, lakini umenipa somo zuri sana kutokana na post yako hapa, ipo haja ya kuanzisha jukwaa lenye sub platforms za lugha zetu za asili, hiyo itasaidia sana:

1. Wale waliokulia mijini kujifunza lugha za asili yao kwasababu lugha za asili zinaanza kufutika polepole

2. Mwingiliano wa makabila katika kuoleana na kuishi na kufanya kazi pamoja kama watanzania, siyo vibaya kujifunza na kujua lugha ya jirani yako ili kuimarisha udugu na ujirani mwema, mfano mchagga akienda Mbeya basi ajue hata sentesi ya kuombea maji, hiyo itamfanya mnyakyusa kujisikia ana ndugu mchagga anayejali lugha yake

Hongera Mkuu kwa somo la leo
 
Mwambile, Mwakalinga, Mwakisunga, Mwakisopile.

Maana yake mheshimiwa tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…